Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,440
- 113,449
Kwa wenye access na Channel Ten, watch kipindi cha Channel Ten on Monday Live!, Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe yuko hewani...
Mwenyekiti Mbowe amesema uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki, ndio sababu ya msingi ya mgombea wa Chadema kususia kusaini ile karatasi ya matokeo na hivyo Chadema kitakwenda mahakamani kuyapinga matokeo hayo.
Mhe. Mbowe amesema, uchaguzi huo umeendeshwa na Tume isiyo huru ya Uchaguzi ambayo imekiuka kwa makusudi baadhi ya sheria, taratibu na kanuni kulikowaondolea haki ya kupiga kura, watu wengi wenye haki hiyo.
Pia serikali, imekiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa kuingia Igunga kama serikali, wakati serikali haukupaswa kujiingiza kwenye direct campaingn za CCM.
Mbowe amesema, Chadema itakwenda mahakamani sio kwa lengo la kutaka matokeo ya Igunga yabatilishwe, bali inakwenda mahakamani ili mahakama kama chumbo huru, kihakikishe haki inatendeka kwa kuimuru Tume ya Uchaguzi itende haki na kupress kupatikana kwa Tume huru ya uchaguzi ili kuweka presedence kwa chaguzi nyingine zitakazofuatia.
Mbowe ameshamaliza kuhojiwa na sasa ni wachangiaji wakichangia kuu iitwayo "Uchaguzi wa Igunga, Tumejifunza Nini?.
Mwenyekiti Mbowe amesema uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki, ndio sababu ya msingi ya mgombea wa Chadema kususia kusaini ile karatasi ya matokeo na hivyo Chadema kitakwenda mahakamani kuyapinga matokeo hayo.
Mhe. Mbowe amesema, uchaguzi huo umeendeshwa na Tume isiyo huru ya Uchaguzi ambayo imekiuka kwa makusudi baadhi ya sheria, taratibu na kanuni kulikowaondolea haki ya kupiga kura, watu wengi wenye haki hiyo.
Pia serikali, imekiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa kuingia Igunga kama serikali, wakati serikali haukupaswa kujiingiza kwenye direct campaingn za CCM.
Mbowe amesema, Chadema itakwenda mahakamani sio kwa lengo la kutaka matokeo ya Igunga yabatilishwe, bali inakwenda mahakamani ili mahakama kama chumbo huru, kihakikishe haki inatendeka kwa kuimuru Tume ya Uchaguzi itende haki na kupress kupatikana kwa Tume huru ya uchaguzi ili kuweka presedence kwa chaguzi nyingine zitakazofuatia.
Mbowe ameshamaliza kuhojiwa na sasa ni wachangiaji wakichangia kuu iitwayo "Uchaguzi wa Igunga, Tumejifunza Nini?.