Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Leo hii Mama Kate Kamba amechaguliwa kwa kura nyingi (takribani 420) kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es alaam. Uchaguzi huo ulifanyika leo tarehe 2/12/2017 jijini DSM na matokeo yake kutangazwa na Mh Lukuvi.
Hongera sana CCM kwa kuendesha uchaguzi wa haki na wa kidemokrasia.
Karibuni.
Leo hii Mama Kate Kamba amechaguliwa kwa kura nyingi (takribani 420) kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es alaam. Uchaguzi huo ulifanyika leo tarehe 2/12/2017 jijini DSM na matokeo yake kutangazwa na Mh Lukuvi.
Hongera sana CCM kwa kuendesha uchaguzi wa haki na wa kidemokrasia.
Karibuni.