LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
ameshinda nini? Mi nadhani uchaguzi bado,au wewe unazungumzia nini?
Tuwe waelewa!
Ameshinda kura ya maoni.
Tusiwe mizigo kutambua kisemwacho.
ameshinda nini? Mi nadhani uchaguzi bado,au wewe unazungumzia nini?
Kwa mujibu wa redio uhuru Sioi kashind Kwa kura 761 dhidi ya 361 za Sarakikya.
Kwa mujibu wa redio uhuru Sioi kashind Kwa kura 761 dhidi ya 361 za Sarakikya.
sioi kashinda kwa kishindo 761 dhidi ya 361 za Sarakikya kwa mujibu wa RAdio Uhuru
Hongera Nasari
Walisema Sioi sii raia wa Tanzania
Ina maana siku zote hizi ulikuwa ulijui hili!!?? huyu ndio Jacob Zuma wa CCM.Kwa ushindi huu ina maana Lowassa ana nguvu zaidi ya Kikwete na Nape ndani ya CCM. Kazi wanayo!!!
Duuuuh! Mia nne nzimaa!!Sioi Sumari kura 761
William Sarakikya Kura 361
Sioi Sumari kura 761
William Sarakikya Kura 361
Source. Clouds FM
Kwanini nisimtaje Nape wakati yeye ndiye king maker kwa ule upande mwingine, nasubiri kumwona atakavyo mpigia kampeni mkwe wa Lowassa.Na bado utasema yote! Nilitaka kushangaa usimtaje Nape, nyie subiri muanze lawama zenu za kuibiwa kura nyie ndio mliyeimaliza NCCR Mageuzi kwa kuongwa na sasa mmeamia Chadema.
Nyie ndio wapiga debe wa Chadema??
Ningekuwa simwamini Yesu Kristo kuwa Mungu, ningemwamini EL !