Uchaguzi wa CCM 2022 utakuwa na ushindani sana lakini si kwa nafasi ya uenyekiti

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Apr 19, 2021
1,502
4,408
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba watajipanga kwenye uenyekiti kwenye uchanguzi ndani ya chama 2022 ili waweze kupambana naye vizuri vizuri panapo 2025.

Historia inatuambia kuna watu walijaribu kutaka kufanya hivyo 2012 kwa kutaka kupiga kura za maruhani kwa mgombea uenyekiti lakini walishindwa na akafanikiwa kulinda kiti chake.

Tofauti na miaka ya nyuma ambayo joto la uchaguzi mkuu linaanza kuonekana mwaka mmoja kabla ya uchaguzi hali hiyo imekuwa tofauti na wanachofanya ni kutengeneza mizizi.

Iwe mvua liwe jua, utamaduni huu wa Rais kuwa mwenyekiti utadumishwa kama miaka ya nyuma. Hakuna atakayefanikiwa jaribio hilo

Moja ya wosia muhimu wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni kutotenganisha kofia hizo mbili kwa manufaa ya chama, serikali na nchi.
 
Kweli nimeuona ushindani mkubwa kwenye uchaguzi wa CCM lakini sio kwa nafasi ya mwenyekiti taiga. Utamaduni umeenziwa
 
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba watajipanga kwenye uenyekiti kwenye uchanguzi ndani ya chama 2022 ili waweze kupambana naye vizuri vizuri panapo 2025.

Historia inatuambia kuna watu walijaribu kutaka kufanya hivyo 2012 kwa kutaka kupiga kura za maruhani kwa mgombea uenyekiti lakini walishindwa na akafanikiwa kulinda kiti chake.

Tofauti na miaka ya nyuma ambayo joto la uchaguzi mkuu linaanza kuonekana mwaka mmoja kabla ya uchaguzi hali hiyo imekuwa tofauti na wanachofanya ni kutengeneza mizizi.

Iwe mvua liwe jua, utamaduni huu wa Rais kuwa mwenyekiti utadumishwa kama miaka ya nyuma. Hakuna atakayefanikiwa jaribio hilo

Moja ya wosia muhimu wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni kutotenganisha kofia hizo mbili kwa manufaa ya chama, serikali na nchi.
Samia ...sidhani kama atagombea 2025 maana mwenyewe kesha jua no one love him
 
Tunampenda sana watanzania na 2025 atashinda kwa kishindo
Mtanzania wewe peke yako usitusemee nguchiro we cz una ajira una uhakika wa kula ,maji umeme unapata unadhani ndio hali Iko hvy , tuko Dsm hatuna maji,hatuna umeme hlf nguchiro unakuja ku comment upuuz shiiiit
 
Mungu wa Ibrahimu, Ishmael na Isaka...Wanao wa Tanzania tupo chini ya miguu yako, Tunaomba umuondoe huyu mama umchuke maana huku sisi hatumhitaji. Sisi huku Hatuna njia ya kumuondoa maana analindwa na NEC, Mahakama na jeshi letu wenyewe. Tunaomba uwe muamuzi katika hili swala...Tunaomba umchukue utusaidie sisi wananchi wako watiifu, ili nasisi watoto wa masikini tuishi kwa amani na furaha katika hii nchi yetu pendwa Tanzania...Amin.
 
to me atagombea na ana zaidi ya 60%, ya kushinda.
Siyo kweli awezi kupata kura hata asilimia12% za halali ...ila kitakacho fanya asigombee ni mbilinge atakalo kumbana nayo miaka 5 ya awamu ya pili baada ya kushinda kwa kufoji matokeo kwa zaidi ya asilimia 80%...
Kumbuka unapo foji matokeo inatakiwa angalau ufoji kwa asilimia 10% ....vinginevyo nchi inakwenda gizani , na icho ndicho kinacho mfanya sa100 kupoteza moyo wa kuongoza kipindi cha pili ...ndiyo maana siku hizi kaacha kupiga kelele ya yeye kugombea, tofauti na zamani ..na ndiyo maana unaona team msoga wameanza nao kujipanga maana watakuwa na taharifa kamili ya mama kutokuendelea 2025
 
Back
Top Bottom