Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Jijini Dar es salaam, mgombea urais wa CCM, Kikwete ndiye aliyekuwa wa kwanza kurejesha fomu na alisindikizwa na mamia ya wafuasi wa chama hicho waliokuwa wamevalia nguo za rangi ya kijani na njano, wakiimba nyimbo za kumsifia mtetezi huyo wa kiti cha urais.
Lakini Kikwete, ambaye alipata ushindi wa zaidi ya asilimia 90 mwaka 2005, alionekana dhahiri kutobweteka na rekodi hiyo pamoja na uwingi huo wa wafuasi wake na shangwe zao na akaonya kuwa ushindi wa safari hii hautakuwa lelemama
SOURCE: Mwananchi 20 August..
My Intake
Wadau hii kauli nimeshamsikia mara nyingi Rais wetu akisisitiza, hii inatokana na nini????
1- Hofu ya Chadema?
2-Ameongoza nchi kisanii na anajua sasa wananchi wameshashtuka?
3-Anataka kuweka mikakati ya uchakachuaji wa matokeo?
4-Hali ngumu ya maisha inayowakabili wananchi?
5-.................
...toa mawazo yako
Lakini Kikwete, ambaye alipata ushindi wa zaidi ya asilimia 90 mwaka 2005, alionekana dhahiri kutobweteka na rekodi hiyo pamoja na uwingi huo wa wafuasi wake na shangwe zao na akaonya kuwa ushindi wa safari hii hautakuwa lelemama
SOURCE: Mwananchi 20 August..
My Intake
Wadau hii kauli nimeshamsikia mara nyingi Rais wetu akisisitiza, hii inatokana na nini????
1- Hofu ya Chadema?
2-Ameongoza nchi kisanii na anajua sasa wananchi wameshashtuka?
3-Anataka kuweka mikakati ya uchakachuaji wa matokeo?
4-Hali ngumu ya maisha inayowakabili wananchi?
5-.................
...toa mawazo yako