Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Dr F. NdugulileTaarifa hizi si za kweli! Uchaguzi uliisha salama na leo kuna uchaguzi mwingine wa Jumuiya ya Wazazi nao ni wa amani kabisa.
Vipi Zuio la Polisi la Shughuli za Kiasa kipindi cha Sensa nyinyi CCM haliwahusu?
Last edited by a moderator: