Kwa ilipofikia Uvccm inaitaji Kijana aina ya Thobias Mwesiga Richard.
Kiujumla anafiti kuanzia kwenye umri kama kigezo kikuu cha Ugombea naye amekidhi takwa hilo.
Uwezo Wa kusimama na kujitoa kwa ajili ya Chama inanikumbusha 2015 pale ofisi ya Naibu katibu Mkuu ilipo mteua kuwa sehemu ya Timu ya kamati ya Taifa ya Uchaguzi.Tuna fahamu kuwa Uchaguzi juu ulikuwa mgumu lakin mawazo yake naye ni sehemu ya Ushindi Wa Rais wetu Magufuli.
Ushirikiano ni moja ya sifa za kiongozi kuwa karibu na watu wake Thobias Mwesiga Richard ni mtu aliye karibu na kila mtu kwani ndio maana hata alipoonyesha nia ya kugombea Uwenyekiti Vijana wengi wamefurahi na kumuunga mkono.
Jumuiya ili ifikie malengo lazima tupitia kwenye njia ya viongozi bora aina ya Thobias Mwesiga Richard.
Twende na Thobias Mwesiga Richard.
Kiujumla anafiti kuanzia kwenye umri kama kigezo kikuu cha Ugombea naye amekidhi takwa hilo.
Uwezo Wa kusimama na kujitoa kwa ajili ya Chama inanikumbusha 2015 pale ofisi ya Naibu katibu Mkuu ilipo mteua kuwa sehemu ya Timu ya kamati ya Taifa ya Uchaguzi.Tuna fahamu kuwa Uchaguzi juu ulikuwa mgumu lakin mawazo yake naye ni sehemu ya Ushindi Wa Rais wetu Magufuli.
Ushirikiano ni moja ya sifa za kiongozi kuwa karibu na watu wake Thobias Mwesiga Richard ni mtu aliye karibu na kila mtu kwani ndio maana hata alipoonyesha nia ya kugombea Uwenyekiti Vijana wengi wamefurahi na kumuunga mkono.
Jumuiya ili ifikie malengo lazima tupitia kwenye njia ya viongozi bora aina ya Thobias Mwesiga Richard.
Twende na Thobias Mwesiga Richard.