Uchaguzi US: 2020

Ha ha haa ! I am here, Mkuu.

Ila mkuu sijajua ni kwa nini hauoni mimi ninachokiona, kuwa kwa kiasi kikubwa, kuna madukuduku mengi juu ya hicho kinachohubiriwa cha ubora wa liberty na demokrasia huko US. Matukio ya hivi karibuni huko US ukweli yananitoa kwenye reli ya kuamini kuna liberty na demokrasia ya uhakika huko Marekani. Ngoja niendelee kuzibugia popcorn :).


TUJITEGEMEE, wakati ukibugia popcorn, jitahidi pia kusoma vitabu vya historia. Soma historia inatufundisha nini hatari ya kuweka madaraka makubwa yasiyo na mipaka mikononi mwa binadamu moja! Wamarekani wengi walizikimbia nchi zao za asili kukwepa kuwa chini ya binadamu ambao ama walikabidhiwa madaraka makubwa yasiyo na kikomo au waliojitwalia kwa nguvu na kujikabidhi madaraka kama hayo.

Cha ajabu ni kwamba binadamu hao wote waliwezeshwa na binadamu wenzao kama wewe na mimi. Binadamu tunatofautiana kulingana na mazingira na mazingara tuliyokulia. Kwa bahati nzuri historia iliweza kutuzindua mapema kidogo baadhi yetu na kutufungua macho. Hivyo ninyi wengine pia endeleeni kuzibugia popcorn mkifuatilia matukio kama haya labda iko siku nanyi mtapata bahati kama hiyo...usiku mwema.
 
..but it seems like republicans want to get rid of donald trump; they are fed up with him.

..if they succeed, donald trump will have to consider running as an independent candidate.

..now, will he be willing to use his own money to support his campaign?

..and what effect will his candidacy have over the republican base?

I think if you are a typical republican, you will get rid of DT as soon as the opportunity arise. I think, the impeachment has offered a small window of possibility to get rid of him constitutionally. I am not sure whether the republicans in the senate will seize that.

If they can’t take advantage of the current situation and impeach Trump, he will present a dilemma within the party, in particular the establishment core of the republican party. For, republicans will be minority in the both chambers of the congress: Senate and the house of representative. And with that in mind, they will need a voice outside the congress to speak for them and galvanize the party and voters. What that voice will be? As of now, it all depends on Trump.

If Trump is impeached by the senate, he will be barred from running for the office, and he will disappear into oblivion. Moreover, the party will have enough time to cleanse itself from Trump’s transgressions before the next election. However, if he isn’t impeached, I am not sure if the republicans will have the guts to expel him from the party. They will have had hard time to sell the idea.

And in case they succussed, their action might precipitate the formation of a new political movement which might split the republican electorates. Trump has always referred what he brought to the republican party and the country as a movement, something that both parties have failed to do in years. Therefore, if he is expelled, there’s a possibility he can stand on his own away from the republican party and cause serious trouble to the republican party. If his followers can travel hundreds or thousands of miles to cause trouble at the center of democracy, they will be able to contribute for his causes.
 
Cha ajabu ni kwamba binadamu hao wote waliwezeshwa na binadamu wenzao kama wewe na mimi. Binadamu tunatofautiana kulingana na mazingira na mazingara tuliyokulia. Kwa bahati nzuri historia iliweza kutuzindua mapema kidogo baadhi yetu na kutufungua macho. Hivyo ninyi wengine pia endeleeni kuzibugia popcorn mkifuatilia matukio kama haya labda iko siku nanyi mtapata bahati kama hiyo...usiku mwema.
Asante sana Mkuu, nawe pia usiku mwema.
====
Mkuu, kama hautojali sana, naomba ujitahidi kutazama na kuchambua kwa tafakari tunduizi kinachozungumzwa kwenye clip hii.

Najua chanzo cha clip kinaweza kisiwe pendwa hasa linapokuja suala la kukosoa ghiliba ya Marekani juu ya demokrasia na "liberty".

 
Zakumi, Mag3, Nguruvi3, Kichuguu,

..samahani kama nitakuwa nimetoka nje ya mada.

..mimi nadhani kinachoendelea Marekani ni tatizo la KIUCHUMI ambalo makali yake yanaonekana kwenye Siasa.

..wanaomuunga mkono DT ni watu ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa waki-struggle kiuchumi, au wameshindwa kwenda sambamba na mabadiliko ya kiuchumi yanayoendelea Marekani na duniani kwa ujumla.

..Wamarekani hao walikosa mwanasiasa wa kuwasemea sasa alipoibuka DT alianza kusema mambo ambayo wanaamini yalipaswa kusemwa na ndio maana leo hii DT ana ushawishi mkubwa unaowashangaza na kuwaogopesha wanasiasa na wachambuzi wa siasa za Marekani.

..Naamini mjadala wenu utakuwa mzuri zaidi kama mtajumuisha suala la mabadiliko ya kiuchumi Marekani na duniani na athari zake ktk siasa za nchi hiyo.
 
Mkuu JokaKuu ahsante sana kwa kupanua mjadala na ndivyo itakavyokuwa tukienda mbele
Nitajadili kwa mabandiko kadhaa kwani mjadala huu ni mzito kidogo

Matatizo tunayoyaona Marekani si mapya, kilicho kipya ni jinsi yanavyopaliliwa.
Social unrest imekuwepo US kwa karne, kinachoshangaza umma ni kuona imegusa watu weupe

Kuibuka kwa akina Martin Luther na John Lewis ni matokeo ya kuweka wazi social unrest kwa black community
Kuibuka kwa Trump ni matokeo ya kuendeleza agenda ya white supremacists

Tatizo la uchumi lipo lakini linawagusa watu colored zaidi kuliko watu weupe. Kwa kila takwimu na kigezo watu weusi na colored kwa ujumla ni waathirika wa mfumo wa uchumi. Hata Covid -19 inaonyesha hilo.

Watu wanaokufa sana ni wale wanaoupigania mkate katika mazingira hatarishi ambao ni colored

Trump ni 'opportunist' na ametumia vizuri sana udhaifu na ufa uliokuwepo kuingia madarakani

Alichokifanya ni kusoma chuki za watu na kuzieleza si kutafutia majibu, nitafafanua baadaye

Trump akatumia udhaifu wa social unrest iliyokuwepo kuingia madarakani hata kama ilikuwa ni kwa gharama za Taifa lake kugawanyika au vurugu zinazoonekana.

Kwanza, Trump alitumia maneno 'forgotten people' . Hapa hakuwa na maana forgotten katika uchumi, alimaanisha watu weupe. Hili lilitumika pale mfumo wa uchaguzi electoral college ulipoeleza kuwa mtu aweza kuwa Rais kwa kuangalia Demography tu. Unakumbuka Hillary hakukampeni baadhi ya maeneo?

Trump akachukua hilo na kusema ' kubadilika kwa demography' kuna tishia watu weupe 'forgotten people'

DT akatumia Race akiongozwa na akina Steve Banon kwa 'Birtherism' ya Obama.

Hapa alionyesha watu weupe kuwa nchi hii inabadilika kiasi cha weusi kuwa Rais na ni tishio.
Hilo ndilo lilizaa kauli ya '' take back our country'

Hata juzi akichochoe vurugu alitumia neno hilo. Fikiria '' take back our country' ?
Hapa aliwaambia proud boys a.k.a white supremacist wapiganie nchi yao.

Inaendelea....
 
sehemu II

DT akatumia udhaifu wa watu wasio na elimu hasa weupe kuwaaminisha kuwa matatizo ya uchumi yanasababishwa na uwepo wa sera kama za Obamacare. Aliwaanisha kuwa Obamacare ni mradi wa kuchukua pesa za watu weupe ili kufidia matibabu ya watu weusi. Ndipo tea party ilipoibuka

Ukitaka kujua aliwahadaa ni pale ambapo kwa Miaka zaidi ya 10 na 4 akiwa WH Trump hajawahi kuandika Healthcare plan hata ukurasa mmoja. Alifahamu ugumu wa suala hilo hata hivyo akaligeuza na kuaminisha white supremacist kuwa matatiz yao yanatokana na Obamacare

Trump akawaaminisha Wamarekani wasio na elimu kuwa misaada inakwenda nje badala ya kujenga nchi yao.
Ukweli ni kuwa misaada ni chini ya 2% ya Bajeti na kwamba pesa nyingi zinatumika kuwasaidia matajiri kuliko watu wa kipato cha chini.

DT hawakuweleza Wamarekani kuwa misaada si keki, msaada wa Marekani unaambatana na faida.
Kila msaada wa Marekani ndani yake kuna masilahi hivyo hakuna msaada kama pipi

Trump akawaamisha watu pesa zinatumika NATO. DT hakujua NATO ni sehemu ya usalama wa Marekani.

Kuondoa majeshi kule Ujerumani n.k. si kwa faida ya Europe bali Marekani kwa ujumla wake.

Ndiyo maana katika lindi la ujinga aliwahi kushauri baadhi ya visiwa viuzwe bila kujua athari zake, lakini ni mzuri sana anapoeleza hasa kwa watu wa vijijini.

DT akawaaminisha uchumi wa Marekani unasimama wenyewe bila Globalisation, ni kweli lakini kiusalama si kweli. Marekani ilipojitoa katika umoja wa nchi za Pacific, China imechukua nafasi hiyo na kuwa na ushawishi.

Trump alipojitoa WHO si kwa faida ya nchi yake, ni kwa hasara kwani ni ngumu kwa US kufanya intervention kama ilivyokuwa kwa Ebola na Obama.

Trump alipoweka vikwazo kwa China, walioumia ni wakulima 'forgotten' kama alivyodai, akabadili msimamo

Ndivyo ilivyokuwa kwa aluminum na Canada. Alipoweka tariff Canada wakaweka 2X, imebidi anywee na abadili msimamo. Ndivyo ilivyo kwa Japan na mataifa mengine. Trump anawaminisha watu wamefanikiwa

Kuhusu Uchumi, hakufanya lolote tofauti, kinyume chake ameboronga tu kwa kushindwa kukabiliana na Covid.

Obama aliwahi Ebola kwa gharama za Marekani akina Trump wakimsema sana katika radio za conservatives.

Leo wanabaini usalama na uchumi wa nchi yao hautegemei ukubwa wa jeshi tu bali nguvu za diplomasia

Lakini pia fikiria kuwa DT aliaminisha watu kuwa Democrats wanataka kuchukua silaha zao ''second ammendment' ili watu weusi wawashambulie weupe 'suburbia' kama alivyotumia katika kampeni kutisha wanawake wa pembezoni mwa miji. Ni uongo tu lakini wapo walioamini

Kuna kuaminisha watu kuhusu wall na kwamba Mexico watalipa!

Orodha ya mambo aliyotumia kama 'opportunist' ni ndefu, inatosha kusema kuwa DT hakuwa na vision na US

Swali ni kuwa je, watu milioni 75 wote wanatoka vijijini?

Jibu ni hapana, kuna watu wengi tu ambao si supremacists na wana elimu ambao wanakubaliana na Trump
Kwa mfano, katika pesa za tax, 80 ct ilikwenda kwa matajiri, 20 cents kwa watu wa kawaida.

Pili, kuna watu wanafaidika na sera za pollution, hao hawataki kusikia global warming, wanampenda Trump

Tatu, kuna watu wanataka Mambo ya Marekani yaende kibabe hata bila sheria

Nne, kuna wenye hofu kutokana na mabadiliko ya demography

Inaendelea
 
..Wamarekani hao walikosa mwanasiasa wa kuwasemea sasa alipoibuka DT alianza kusema mambo ambayo wanaamini yalipaswa kusemwa na ndio maana leo hii DT ana ushawishi mkubwa unaowashangaza na kuwaogopesha wanasiasa na wachambuzi wa siasa za Marekani.
JokaKuu, sidhani kama Donald Trump anao ushawishi mkubwa kama huo unaousema ila ni kweli aliamsha hisia fulani katika jamii ndogo ambayo walio wengi waliamini ilikufa na kuzikwa. Kwamba alikuwa akiwasemea Wamarekani waliothubutu kuingiza confederate flag ndani ya Congress inaashiria nia ovu ya watu hao

Halafu sina hakika uchumi unaouongelea ni wa Wamarekani wa aina gani? Je unakumbuka Rais Obama aliukuta uchumi wa Marekani ukiwa wapi na wakati anaachia madaraka hali ya uchumi ilikuwaje? Tatizo la wengi ni kwamba uongo ukirudiwarudiwa bila kukanushwa vikali mwisho huchukuliwa kama ukweli!

Donald Trump kama kuna jambo atakumbukwa nalo ni kwamba amefanikiwa kuwazindua kutoka usingizini waliojiaminisha kuwa tawala za kifashisti hazina nafasi tena nchini humo na hivyo haziwezi kuibuka tena. Walisahau kwamba misingi na taasisi zilizojengwa na binadamu zinahitaji ulinzi wa kudumu.

Hata hivyo katika siku chache zijazo, hiyo misingi na hizo taasisi kama ziko imara kama wengi tunavyoamini, tutashuhudia zisivyotetereka pamoja na dhoruba za akina Trump na wafuasi wake. Lakini kama zitayumba kama TUJITEGEMEE na Putin wanavyotamani, tutashuhudia taifa la USA likisambaratika...tusubiri!

Breaking News: Vice President Mike Pence calls Vice President-elect Kamala Harris to offer congratulations!


Vice President Mike Pence has called his soon-to-be successor Kamala Harris to offer his congratulations, according to two people familiar with the conversation.

It's the first known contact between the elected members of the outgoing and incoming administrations. President Donald Trump has not reached out to President-elect Joe Biden and has repeatedly questioned the legitimacy of Biden’s win.

Mike Pence.jpg ampongeza Kamala Harris.jpg
 
Lakini kama zitayumba kama @TUJITEGEMEE na Putin wanavyotamani, tutashuhudia taifa la USA likisambaratika...tusubiri!
Ha haa! Mkuu, Binafsi na ihitaji Marekani imara inayoishi yote inayohubiri yafanywe na nchi nyingine.

Mkuu, kuniweka 'kapu' moja na Putin (nadhani ulimaanisha Rais Putin wa nchi ya Russia), kuwa twatamani US iyumbe, ni kutotutendea haki. Kwani mara kadhaa Rais Putin amesikika akihitaji US iliyoimara lakini isiyo na fikra za 'upolisi' wa dunia, ili ashirikiane nayo kuimarisha uchumi wa nchi yake.

Chakusikitisha, ni Marekani hiyo hiyo amekuwa korofi kwa kuzua vikwazo visivyo na kichwa wala guu ( Skripal case, Bomba la gesi kwenda Ujerumani) na kuiudhi Russia. Hata hivyo, mbali na kuudhiwa Russia wameendelea kuwa wanyenyekevu lakini kwa tahadhari.
====
Nikirudi kwenye mada nadhani tusubiri kitakachotokea kama ulivyoshauri.
 
Zakumi, Mag3, Nguruvi3, Kichuguu,

..samahani kama nitakuwa nimetoka nje ya mada.

..mimi nadhani kinachoendelea Marekani ni tatizo la KIUCHUMI ambalo makali yake yanaonekana kwenye Siasa.

..wanaomuunga mkono DT ni watu ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa waki-struggle kiuchumi, au wameshindwa kwenda sambamba na mabadiliko ya kiuchumi yanayoendelea Marekani na duniani kwa ujumla.

..Wamarekani hao walikosa mwanasiasa wa kuwasemea sasa alipoibuka DT alianza kusema mambo ambayo wanaamini yalipaswa kusemwa na ndio maana leo hii DT ana ushawishi mkubwa unaowashangaza na kuwaogopesha wanasiasa na wachambuzi wa siasa za Marekani.

..Naamini mjadala wenu utakuwa mzuri zaidi kama mtajumuisha suala la mabadiliko ya kiuchumi Marekani na duniani na athari zake ktk siasa za nchi hiyo.

Jokakuu;

There’s no doubt that economic issues are at play here. In the US, the rich people have become richer and the gap between poor people and rich people is exceedingly wider. So, one could argue that something is simmering beneath the surface.

The aggregated economic indicators such as GDP and unemployment rate are better here in the US than in many other developed countries. However, in some parts of the country, many communities have lost grounds in the new digital and globalized economy and they feel that something, real or imaginary, is slipping away from them as the new type of economy doesn’t create good paying jobs for them.

Apart from economic issues, for the lack of better terms, I could say there’s a culture or ideological war going on in the country and politicians have consistently cultivated that situation to their own advantage. For instance, if you look at the people who are at the forefront of Trumpism or who have defended Trump vigorously in the media or in the congress, you will not find a single person who is economically disadvantaged or uneducated. Even the rioters who vandalism the US congress last week aren’t categorically poor. For example, among the rioters, there are former military officers, current law enforcement officers, the son of the judge and so forth.

Personally, I agree with you that economic is at play here. However, the actions people have taken to express their anger and frustrations have brought other issues, old wounds and grievances onto surface. Take for example the selections of the conservative judges during the Trump’s administration. Do these selections answer any economic issue? Absolutely not. Do they stir passion during the election? You bet.
 
Jokakuu;

There’s no doubt that economic issues are at play here. In the US, the rich people have become richer and the gap between poor people and rich people is exceedingly wider. So, one could argue that something is simmering beneath the surface.
Hapa sikubaliani kwasababu moja kubwa, ikiwa tatizo ni uchumi vurugu zingetokea wakati wa Bush au Obama. Ikiwa uchumi ni sababu, watu wa kwanza kufanya vurugu wangekuwa colored. Kwanini iwe KKKz?
Apart from economic issues, for the lack of better terms, I could say there’s a culture or ideological war going on in the country and politicians have consistently cultivated that situation to their own advantage.
Katika ideology sina uhakika kwasababu from time immemorial US imekuwa na GOP na Dems ambavyo vyote vina sera za nchi zisizobadilika na zile zinazobadilika kutokana na chama kinachotawala.

Nakubaliana nawe kuhusu culture, kwamba kubadilika kwa ''demography'' kuna tishia sana weupe ambao hawakuwahi kufikiri mtu mweusi anaweza kuwa 'secretary '.

Andrew Young alipochaguliwa balozi wa US katika UN ilikuwa habari kubwa duniani.
Nakumbuka ilikuwa kama furaha ya dunia kwa mweusi wa kwanza kuwa katika nafasi hiyo.

Watu wanasahau John Lewis alipigwa pale darajani kwa kupigania haki ya kupiga kura.Ni miaka 60 tu iliyopita. US kuwa na Rais Mweusi na sasa VP na kitendo cha weusi kuwa na nguvu katika electoral college kinawakera wahafidhina vijijini na White Supremacists

Kinachotakiwa ni Rais anayeweza kueleza kwanini hali hiyo inatokana.
Kwa bahati mbaya Trump anawatumia watu wenye hizo grievances kuwageukia wenzao.

Trump anafanya hivyo akijua ni beneficiary, kwamba, watu weupe walitosha kumweka madarakani.

Inapotokea Georgia , Arizona, Penn state n.k. zinamuliwa na watu colored katika electoral college, weupe wanaoiona hatari, ni mabadiliko ya Culture.
Culture kama Commissioner wa Polisi Mweupe, Senate ina wazee weupe, Cabinet ina weupe n.k.

Ukitaka kujua ni culture ambayo Trump anaitumia, malalamiko kuhusu 'fraud' yapo katika miji ya weusi.

Hapa Trump anaongea na proud boy kwamba weusi ndio wanaoamua uchaguzi !
Ndiyo maana hutumia maneno '' take back our country'' sasa jiulize take back kutoka wapi?

Trump anasema '........you will have no country'' , Jiulize US itakwenda wapi?
For instance, if you look at the people who are at the forefront of Trumpism or who have defended Trump vigorously in the media or in the congress, you will not find a single person who is economically disadvantaged or uneducated.
Majority ni uneducated. Mfano, hivi hawakujua Trump alikuwa anakusanya pesa za kutokea Ikulu!
Ina maana hawajui uchaguzi wa Marekani unaamuliwa kwa njia zipi.

Ni uneducated kwasababu wanamsikiliza Trump, kawaulize fraud ipo wapi na nani anafanya?
Hivi QAnon ni watu educated wale.

Ni uneducated kwasababu hawakumbuki Trump aliingiaje katika Politics.
Mfano, wanaaminije kuwa Mexico italipa gharama ikiwa huku Tz niliona haiwezekani?

Wanaaminije Trump ana Healthcare plan wasioiona na wanaamini ni nzuri sana kuliko Obamacare ?

orodha ni ndefu, inatosha kusema wengi ni uneducated na ndipo Trump anaposhinda.
Polls zote zinaonyesha Trump hana support ya Vijana, educated and urbanite
 
Hapa sikubaliani kwasababu moja kubwa, ikiwa tatizo ni uchumi vurugu zingetokea wakati wa Bush au Obama. Ikiwa uchumi ni sababu, watu wa kwanza kufanya vurugu wangekuwa colored. Kwanini iwe KKKz?

Katika ideology sina uhakika kwasababu from time immemorial US imekuwa na GOP na Dems ambavyo vyote vina sera za nchi zisizobadilika na zile zinazobadilika kutokana na chama kinachotawala.

Nakubaliana nawe kuhusu culture, kwamba kubadilika kwa ''demography'' kuna tishia sana weupe ambao hawakuwahi kufikiri mtu mweusi anaweza kuwa 'secretary '.

Andrew Young alipochaguliwa balozi wa US katika UN ilikuwa habari kubwa duniani.
Nakumbuka ilikuwa kama furaha ya dunia kwa mweusi wa kwanza kuwa katika nafasi hiyo.

Watu wanasahau John Lewis alipigwa pale darajani kwa kupigania haki ya kupiga kura.Ni miaka 60 tu iliyopita. US kuwa na Rais Mweusi na sasa VP na kitendo cha weusi kuwa na nguvu katika electoral college kinawakera wahafidhina vijijini na White Supremacists

Kinachotakiwa ni Rais anayeweza kueleza kwanini hali hiyo inatokana.
Kwa bahati mbaya Trump anawatumia watu wenye hizo grievances kuwageukia wenzao.

Trump anafanya hivyo akijua ni beneficiary, kwamba, watu weupe walitosha kumweka madarakani.

Inapotokea Georgia , Arizona, Penn state n.k. zinamuliwa na watu colored katika electoral college, weupe wanaoiona hatari, ni mabadiliko ya Culture.
Culture kama Commissioner wa Polisi Mweupe, Senate ina wazee weupe, Cabinet ina weupe n.k.

Ukitaka kujua ni culture ambayo Trump anaitumia, malalamiko kuhusu 'fraud' yapo katika miji ya weusi.

Hapa Trump anaongea na proud boy kwamba weusi ndio wanaoamua uchaguzi !
Ndiyo maana hutumia maneno '' take back our country'' sasa jiulize take back kutoka wapi?

Trump anasema '........you will have no country'' , Jiulize US itakwenda wapi?

Majority ni uneducated. Mfano, hivi hawakujua Trump alikuwa anakusanya pesa za kutokea Ikulu!
Ina maana hawajui uchaguzi wa Marekani unaamuliwa kwa njia zipi.

Ni uneducated kwasababu wanamsikiliza Trump, kawaulize fraud ipo wapi na nani anafanya?
Hivi QAnon ni watu educated wale.

Ni uneducated kwasababu hawakumbuki Trump aliingiaje katika Politics.
Mfano, wanaaminije kuwa Mexico italipa gharama ikiwa huku Tz niliona haiwezekani?

Wanaaminije Trump ana Healthcare plan wasioiona na wanaamini ni nzuri sana kuliko Obamacare ?

orodha ni ndefu, inatosha kusema wengi ni uneducated na ndipo Trump anaposhinda.
Polls zote zinaonyesha Trump hana support ya Vijana, educated and urbanite
You have looked at the economy issue from a very different angle. The overall economy of the US is very robust and is much better today than it was 10 or 20 years ago.

However, there’s a huge shift. The manufacturing sector which used to provide good paying jobs has shrunken considerably in recent years and as a result many people, especially whites in the rust belt, feel that the America they used know is slipping away from them. This sense of insecurity coupled with other resentments have prompted people to listen to Trump.

When Trump started talking about running for the presidency, his election theme was in economic dominance. He thought that other countries such as Japan and China rip the US apart. Other issues such as religion rights, law and orders, and nationalism were added later to broaden his base.

So, to me the economic issue was there. But the Jinni is out of the bottle now.
 
TUJITEGEMEE, the strong pillars of democracy have weathered the storm in spite of the constant onslaught by the populist-in-chief and the wannabe dictator Donald Trump and his enablers.

Leo saa mbili jioni kwa saa za hapa Tanzania, Joe Biden ataapishwa kuwa Rais wa 46 wa taifa la Marekani na kufika wakati huo shujaa wako Donald Trump atakuwa tayari ameshafungasha virago na kuiaga Ikulu.

Pamoja na kwamba zimebaki saa chache Rais mpya kuapishwa wapenzi na waumini wa Trump bado wana matumaini ya Rais wao huyo kutangaza hali ya hatari na kumzuia Rais-mteule Joe Biden kuapishwa.

Kama bado unazo popcorn tuungane pamoja nyakati hizo tushuhudie jinsi misingi ya demorasia ikiwa imara kama ilivyo Marekani, hakuna kiumbe wala kikundi cha watu kinaweza kuitikisa na ikayumba.

Kama ilivyotegemewa Donald Trump amezira na anaondoka baada ya njama zake na vitendo vyake vya hujuma kubuma na kwa aibu kubwa amegoma hata kuhudhuria hafla hiyo ya kuapishwa kwa Rais mpya.
 
Kama ilivyotegemewa Donald Trump amezira na anaondoka baada ya njama zake na vitendo vyake vya hujuma kubuma na kwa aibu kubwa amegoma hata kuhudhuria hafla hiyo ya kuapishwa kwa Rais mpya.
Mkuu, Msikilize hapa ndugu Trump akielezea mafanikio na changamotomkatika utawala wake wa miaka minne.

Anasema atarudi kwa mtindo mwingine. Baada ya hapa anaelekea Florida. Umati wa wamarekani unamsubiri pia huko.
 
Mkuu, Msikilize hapa ndugu Trump akielezea mafanikio na changamotomkatika utawala wake wa miaka minne.

Anasema atarudi kwa mtindo mwingine. Baada ya hapa anaelekea Florida. Umati wa wamarekani unamsubiri pia huko.

Una roho ngumu ndugu yangu. Mhuni Trump amekwisha na kama unaamini atarudi, bila shaka unaamini dunia ni tambarare na si duara. Katika hiyo ndege ya Rais inayomsindikiza katika safari yake mwisho, atakaposhuka tu itapuliziwa dawa kuhakikisha hata harufu yake haisikiki tena. Hii si kwaheri ya kuonana kuonana tena na sidhani kama ataikanyaga tena Washington...eti RSBN Network!
 
Mkuu, Msikilize hapa ndugu Trump akielezea mafanikio na changamotomkatika utawala wake wa miaka minne.

Anasema atarudi kwa mtindo mwingine. Baada ya hapa anaelekea Florida. Umati wa wamarekani unamsubiri pia huko.

Democrats will win elections ad-infinitum:

This 2020 election was the safest and cleanest ever... but there were unfounded claims that the election was rigged. 50% or so of Americans (wrongfully) believe that to be indeed the case that it was stolen. Uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka ukweli. Most of these believers are the Trump voters. Most of them won't see the point of voting ever again. If they indeed won't be voting, the Republicans are done.
 
Democrats will win elections ad-infinitum:

This 2020 election was the safest and cleanest ever... but there were unfounded claims that the election was rigged. 50% or so of Americans (wrongfully) believe that to be indeed the case that it was stolen.
Mlenge, najua kuna wakati maelezo yangu yamekuwa makali kidogo na uwezekanao upo kwamba kuna kipindi umekwazika kwa michango yangu mikali pale jambo ninalolielewa kuwa ni uongo wanapotokea wanaolitetea kama ukweli. Nyakati kama izo uvumilivu hunishinda na kujikuta nikitoa maneno yanayoweza kutafsiriwa vibaya...kama hilo limetokea kwako naomba samahani.
Uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka ukweli. Most of these believers are the Trump voters. Most of them won't see the point of voting ever again. If they indeed won't be voting, the Republicans are done.
Kwa kuongeza ni kwamba uongo ukiachwa ukarudiwarudiwa bila kukanushwa, baadhi ya watu watauchukulia kama ukweli. Mfano ni kwamba hadi jana saa chache kabla Rais-mteule Joe Biden hajaapishwa wako wafuasi wake wengi walioamini Trump hawezi kuruhusu kitu kama hicho kufanyika. Walikuwa wanasubiri muda muafaka ufike atangaze hali ya hatari ikifuatiwa na kufutwa kwa hafla hiyo.

Waliamini kuwa hata hao wanajeshi waliotapakaa jijini Washington DC, utii wao ulikuwa kwa Rais wao mpendwa Donald Trump na kwamba Joe Biden angekamatwa na kuswekwa ndani. Waliamini hakushinda kihalali na kwamba ushindi wake ulitokana na wizi wa kura ulioendeshwa na watu wanaotaka kuigeuza Marekani kuwa ya watu waovu na wazembe wanaopenda vya bure bila kufanya kazi.

Waliamini kabisa kwamba kuna DEEP STATE ambayo lengo lake ni kuigeuza Marekani taifa la kishetani lisilomwabudu Mungu. Waliamini kwamba wanapambana kuliokoa taifa hilo kutoka mikononi mwa nguvu za giza na kwamba likiangukia mikononi mwa mtu kama Biden litaangamia. Ni ajabu iliyoje kuwa baadhi ya watu wenye imani potofu kama hii wanashikilia nafasi kubwa katika jamii hadi vyombo vya dini.
 
Mkuu, Msikilize hapa ndugu Trump akielezea mafanikio na changamotomkatika utawala wake wa miaka minne.

Anasema atarudi kwa mtindo mwingine. Baada ya hapa anaelekea Florida. Umati wa wamarekani unamsubiri pia huko.


The United States isn't a third world country. And majority of people have experienced one of the best standards of living in the world since they were born. So, at personal level, trump's achievements haven't changed the quality of life of many people. As a matter of fact even his ardent supporters have enjoyed the same standard of living the one they enjoyed before January 2017. Yes, during his tenure he managed to appointed 3 conservative judges to the supreme courts. The truth is majority of Americans don't settle their issues in the low courts or in the supreme courts. It is true that he cut taxes. But for majority of people that adds up to around 1000 dollars or less annually to their pockets which is nothing.

The point I want to make is as a president he managed to score some victory here and there. However, his leadership style didn't resonate with many people. He didn't show empathy. He wasn't compassionate. He stirred divisions. For many Americans, that was enough to kick him out.
 
Democrats will win elections ad-infinitum:

This 2020 election was the safest and cleanest ever... but there were unfounded claims that the election was rigged. 50% or so of Americans (wrongfully) believe that to be indeed the case that it was stolen. Uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka ukweli. Most of these believers are the Trump voters. Most of them won't see the point of voting ever again. If they indeed won't be voting, the Republicans are done.

Here's a thing. To some extent, Trump was good for America. Not because he was a good leader, but because his style of leadership and rhetoric prompted people on the both sides of the political spectrum to register and vote. People used to take election for granted. For example, a sizable number of democrats or left leaning didn't vote in previous elections because they didn't expect a republican president to be that vicious. In 2016, they were wrong. They stay home and Trump won. So, the Trump's presidency is a good reminder for them that elections have consequences. On the republican side, republicans have consistently participated in all elections and if they maintain their numbers as in previous elections, they have a chance in the next elections. So, I don't see the drop of participation in 2022 or 2024.
 
Here's a thing. To some extent, Trump was good for America. Not because he was a good leader, but because his style of leadership and rhetoric prompted people on the both sides of the political spectrum to register and vote. People used to take election for granted. For example, a sizable number of democrats or left leaning didn't vote in previous elections because they didn't expect a republican president to be that vicious. In 2016, they were wrong. They stay home and Trump won. So, the Trump's presidency is a good reminder for them that elections have consequences. On the republican side, republicans have consistently participated in all elections and if they maintain their numbers as in previous elections, they have a chance in the next elections. So, I don't see the drop of participation in 2022 or 2024.
According to what some vocal Trump supporters post online, they voted for Trump, not for Republicans. To the supporters, the republicans and dems are one and the same (at least versus second-term of Trump -- they both detest him). Looks like the supporters would vote for a Trump's party (Patriots Party/America First Party/whatever its name), or if no Trump Party is formed, they'd stop voting altogether. Remember, regardless what is the truth on the ground, polls show the greater majority of Trump supporters believe US 2020 elections was goli la mkono that would have Maradona blush.

So, you are confounding Trump supporters with Republican supporters, that is why you do not see the drop in their participation in the coming elections.
 
According to what some vocal Trump supporters post online, they voted for Trump, not for Republicans. To the supporters, the republicans and dems are one and the same (at least versus second-term of Trump -- they both detest him). Looks like the supporters would vote for a Trump's party (Patriots Party/America First Party/whatever its name), or if no Trump Party is formed, they'd stop voting altogether. Remember, regardless what is the truth on the ground, polls show the greater majority of Trump supporters believe US 2020 elections was goli la mkono that would have Maradona blush.

So, you are confounding Trump supporters with Republican supporters, that is why you do not see the drop in their participation in the coming elections.
Trump’s supporters who aren’t republicans are delusional. For, without the republican party, they wouldn’t have known Trump, the politician. As a matter of fact, Trump used the existing platforms within the republican party such as the Tea Party, CPAC, election primaries etc. to make inroads into the American politics. So, if they think they can exist in isolation without the republican party, let them try.

Furthermore, it is absurd to say that they voted for Trump, not for the republicans. Do these people really know politics and how the government work? In the last four years, Trump relentlessly pursued hard core republican policies such as appointing conservative judges, low taxes, environment deregulations, anti-abortion policies and many more. So, the question is what did they get in return which isn’t characteristically republican? Tariff on Chinese products?

I think the behavioral characteristics of the hard-core Trump’s supporters and those of religious fanatics don’t differ. They tend to overestimate their own ability. They participation in the republican party has stirred the same level of participation or even more in the democrat party.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom