Uchaguzi US: 2020

'AMEBANA AMEACHIA'
HATAKIRI KUSHINDWA , UKUU WA TAASISI ZA USA UNAONEKANA

Si mara moja mbili au tatu Rais anayeondoka madarakani Bw Trump amekataa kukiri makosa
Wala si mara moja au mbili au tatu, Rais Trump amekubali kuwajibika.
Mara zote tendo la kushindwa, kwake ni dhalili , atalitafutia sababu hata za kipuuzi ilimradi tu

Kama alivyokataa kukiri makosa ya 'Birtherism' au kuomba msamaha ndivyo ambavyo amekataa kukubali ameshindwa uchaguzi na wala hataki kuwajibika katika kumpongeza na kuachia madaraka kwa amani

Dhidi ya yote hayo, wiki hii amekiri kutaka kushiriki katika kukabidhi madaraka kwa amani.

Hili limekuja baada ya pressure kutokana na aibu iliyotokea kwa Trump kushawishi wafuasi wake kuvuruga mchakato wa Bunge katika kumuidhinisha Biden kama Rais ajaye.

Rais Trump alirudi DC akiacha shughuli za mwaka mpya kwa kile alichosema tukutane ' DC tarehe 6'
Katika hali isiyo ya kawaida Trump alidhani anaweza kushawishi Mabunge mawili ya US kutoidhinisha matokeo

Hii ilikuwa ndoto ya mchana na ya kipuuzi. Kwa mtu anayejua katiba ya Marekani hilo lisingewezekana.

Trump si wa kulaumiwa sana kwasababu ya uwezo wake wa kufikiri.
Wapambe wake kama Seneta Hawley na Ted Cruz ndio waliomtia mkenge wa kumfurahisha.

Trump alishawishi makundi ya white supremacists wakiwa na jina la proud boys kuvamia viwanja vya Bunge.

Kulikuwa na uzembe mkubwa katika usalama pengine kwa kudhani ni wazungu na huenda ni '' waelewa' tofauti na Black lives matter. Madhara yaliyotokea na picha za matukio yamebaki kuwa aibu kwa US

Pamoja na vurugu, Mabunge yalirejea na kukamilisha kazi ya kuthibitisha matokeo.

Mjadala uliopo ni kuhusu hali ya afya ya Rais Trump kiakili.

Wengi wanahofia siku 11 zinaweza kuwa na tatizo la usalama.

Inasemwa, Rais Trump alijaribu kushawishi kushambulia sehemu moja ya dunia.
Tumaini la Trump ni kuwa uwepo wa vita ungevuta muda wakati akitafuta mbinu za kubaki madarakani

Katika ukuu wa taasisi za Marekani uligomea mpango mzima
Jana, mwenyekiti wa majeshi amekutana na Spika wa Bunge mama Pelosi kujadili usalama

Kinachowatisha Wamarekani ni pale wanapofikiria kuwa iwapo Rais amefungiwa Instagram, Facebook na Tweeter, inawezekanaje basi mtu huyo akaaminiwa kudhibiti nuclear codes?

Taasisi zimeweka plan A, B, C.

Kwanza, shinikizo la Trump ajiuzulu katika siku 11 kuepusha madhara kutokana na mawenge wenge aliyo nayo
Pili, baraza la mawaziri litumie kifungu 25 cha katiba kutangaza Rais hana uwezo wa kuongoza
Tatu, Bunge limuondoea kwa mashtaka ''impeachment'

Plan A na B haiwezekani, Trump hawezi kukubali kujiuzulu na Baraza lake la mawaziri lina waoga hawawezi kumuondoa. Plan C inawezekana lakini pia ina kikwazo. Bunge (House of Rep) lina Dems wengi na linaweza kuunga mkono hoja wakiweno Republicans .
Seneti imemeguka na kuna uwezekana hata wa kupata maseneta 20 kuunga mkono.

Tatizo lipo sehemu moja, hadi sasa seneti inaongozwa na M.McConnel. ambaye amesema seneti italiifikiria suala hilo tarehe 19 ya siku moja kabla ya Trump kuondoka WH.

Kwa mtazamo wa haraka kuna 'chaos' zinazochagizwa na Trump. Kwa mtazamo wa kina taasisi zinafanya kazi na nchi inaendelea bila shaka. Mathalan, waliofanya vurugu wanasakwa na kuchukuliwa hatua.

Kwa Marekani hakuna 'asiyejulikana'' sheria inafuata mkondo. Viongozi wa Polisi katika eneo la Bunge wamewajibishwa tayari, wengine wakiachia ngazi kwa kupukutika. Wahuni wanasakwa hata Wasiojulikana watajulikana. Ni USA na ukuu wa Taasisi si kundi, makundi, mtu au watu. Ni Taasisi zinazoongoza nchi

Tusemezane
 
...

Dhidi ya yote hayo, wiki hii amekiri kutaka kushiriki katika kukabidhi madaraka kwa amani.

Hili limekuja baada ya pressure kutokana na aibu iliyotokea kwa Trump kushawishi wafuasi wake kuvuruga mchakato wa Bunge katika kumuidhinisha Biden kama Rais ajaye.

..


Tusemezane
Nini nafasi ya nadharia ya Italygate kwa hayo yanayojiri?

Edit 1:
SOURCE
 
Mlenge
Rais Trump anapotumbukiza uongo watu hudhani ni mjinga.

Mara zote hurudia uongo huo akijua baada ya muda wapo watakaoamini na kwamba kadri anavyouzunguza atazoa watu tu hasa wasio na ufahamu au washabiki wa sensational info badala ya facts

Uchaguzi wa Marekani si central bali local, uwezekano wa kuwa na fraud kwa Taifa zima haupo.
Ni proved wala haihitaji ku prove tena.

Lindsey Graham ambaye ni mwanasheria na mpambe wa Trump kindaki ndaki aliomba iletewe ushahidi mmoja tu wa fraud, hakuletewa. Akataka 'marehemu' waliopiga kura majina yao hakuna.
GOP wote waliopita hakuna hata mmoja anayeunga mkono madai ya Trump.

Mlenge Trump alisema katika Primaries za GOP , Ted Cruz aliiba kura Iowa kwasababu alishindwa.
Wakati wa Hillary akatoa madai hayo hayo, na miaka 4 akiwa Rais hakuwahi kuziba mianya hiyo!!

Lakini pia Trump alishinda(2016), Pennsylvania , Michigan na Wisconsin. Vipi hakuibiwa wakati huo?
Uchaguzi wa 2020 Trump amepoteza Arizona na Georgia zinazoongozwa na Republican na ni red state

Kesi za Trump zimekwenda mahakamani na kuonekana upuuzi mtupu.
Sijui kama uliwahi kumsikiliza Rud Giulian

Majaji ni wale walioteuliwa katika utawala wake kuanzia circuit zote hadi Supreme, wote hawajaona tatizo

Kikubwa ambacho nina uhakika hujakisikia ni Trump kurekodiwa akiomba viongozi wa Georgia wabadilishe matokeo ndiye mtu unayemsikiliza kwamba kuna kitu anadai cha kweli

Hao wapuuzi ulioleta video yao ndio wale wa QAnon wanaoamini kuna genge la watu wanafanya ushetani pale Capitolhill, linaamini Hillary na Dems wanakula nyama za watoto n.k. Hao ndio kweli unatuletea tuwasikilize! Please.

Nakushauri ukisoma habari na theory zao ubaki nazo , utawatendea watu haki kwa kutopotosha

Trump ambaye mwezi mzima anaaminisha wajinga na wapuuzi wanaomfuata kuwa atashinda uchaguzi, sasa anaondoka WH akiwa na zaidi ya 207 Milion 'mfuko wa Rais'' kutoka kwa wapuuzi na wajinga

Nadhani siasa za DC ni nzito

Tusemezane
 
Mlenge
....wasio na ufahamu au washabiki wa sensational info badala ya facts

...

Nakushauri ukisoma habari na theory zao ubaki nazo , utawatendea watu haki kwa kutopotosha

Trump ambaye mwezi mzima anaaminisha wajinga na wapuuzi wanaomfuata kuwa atashinda uchaguzi, sasa anaondoka WH akiwa na zaidi ya 207 Milion 'mfuko wa Rais'' kutoka kwa wapuuzi na wajinga

Nadhani siasa za DC ni nzito

Tusemezane
Asante kwa ufafanuzi.

Kukubalika kwa Trump kumeongezeka baada ya matukio ya DC kwa mujibu wa kampuni moja ya kupigisha kura. Rasmussen: Trump's Approval Rating Rises After DC Protests Kwa makadirio yako, asilimia ya Wamarekani wasio na ufahamu na wanaoshabikia sensational info badala ya facts ni kiasi gani? 51% ndio ilikuwa kukubalika kwake siku ya Alhamis, kama taarifa hizo ni za ukweli.
 
Asante kwa ufafanuzi.

Kukubalika kwa Trump kumeongezeka baada ya matukio ya DC kwa mujibu wa kampuni moja ya kupigisha kura. Rasmussen: Trump's Approval Rating Rises After DC Protests Kwa makadirio yako, asilimia ya Wamarekani wasio na ufahamu na wanaoshabikia sensational info badala ya facts ni kiasi gani? 51% ndio ilikuwa kukubalika kwake siku ya Alhamis, kama taarifa hizo ni za ukweli.
Haina maana Trump si popular! Kuna sababu zinazomfanya mtu awe popular
Hitler ni popular kama alivyo Idd Amin
Snoop Dogg amewahi kutimuliwa Australia na UK kwasababu ya popularity yake.
Suala ni , je ni kutokana na nini na kwasababu gani mtu anaweza kuwa popular?

Uchaguzi uliokwisha Trump amepoteza popular votes kwa mamilioni kuliko Rais mwingine yoyote kwa %
Ni one term pres, sasa sijui kwanini Wamarekani wamekataa kumpa mkataba mwingine!

Ni wakati wa Trump, GOP imepoteza Congress na WH.
Ni Trump aliyepelekea GOP kupoteza Georgia na Arizona 'red'

Jiulize kwanini '' Approval rating' imeongezeka kwa kitendo cha uhalifu?
Nani amefanya polling na source ya data ilifanyika wapi ?

Kuna maswali mengine tu ya kujiuliza
 
Haina maana Trump si popular! Kuna sababu zinazomfanya mtu awe popular
Hitler ni popular kama alivyo Idd Amin
Snoop Dogg amewahi kutimuliwa Australia na UK kwasababu ya popularity yake.
Suala ni , je ni kutokana na nini na kwasababu gani mtu anaweza kuwa popular?

Uchaguzi uliokwisha Trump amepoteza popular votes kwa mamilioni kuliko Rais mwingine yoyote kwa %
Ni one term pres, sasa sijui kwanini Wamarekani wamekataa kumpa mkataba mwingine!

Ni wakati wa Trump, GOP imepoteza Congress na WH.
Ni Trump aliyepelekea GOP kupoteza Georgia na Arizona 'red'

Jiulize kwanini '' Approval rating' imeongezeka kwa kitendo cha uhalifu?
Nani amefanya polling na source ya data ilifanyika wapi ?

Kuna maswali mengine tu ya kujiuliza

Trump = Hitler? So, what kind of people who voted for Trump despite him being in the same league as Hitler and Idd Amin? The voters were in millions. Weren't they? What blinded them from seeing Trump for the Devil he is, and stop voting for him?
 
Trump = Hitler? So, what kind of people who voted for Trump despite him being in the same league as Hitler and Idd Amin? The voters were in millions. Weren't they? What blinded them from seeing Trump for the Devil he is, and stop voting for him?
Umechukua mifano yangu out of context, disingenuous !

Nimetoa majina hayo likiwemo la Snoop Dogg kuonyesha kuwa popularity ni kitu subjective.
Haina maana yoyote ile nyingine hasa ukiangalia mifano niliyotolea

Trump ni popular among Republicans kwa 90% lakini si popular kwa kiwango hicho kwa Wamarekani
Hapa ni ushahidi;

uchaguzi 2020 GOP wamefanya vizuri sana katika House kwa kupata viti, wameweza kutetea viti vya seneti.
Kule aliposhinda Seneta wa GOP , Trump alipigwa chini.

Maana yake moja watu waliridhika na Republican hawakuridhika na Trump.

Wakati akiwa popular kwa white supremacists and conservatives, siyo popular kwa Wamarekani.

Ni Rais aliyeshindwa kwa asilimia kubwa ya popular vote katika historia ya Marekani. Milioni Takribani 6

Kule vijijini Biden alimshinda vibaya, kwa maana kuwa alikataliwa na haina maana GOP ilikataliwa
 
SIASA NA HESABU ZA VIUNGA VYA DC

Tukio la luvamia Capitol Hill na kuvuruga taratibu za kuthibitisha matokeo ya uchaguzi limezua mengi

Pamoja na yote ukuu wa Taasisi za US umeonekana. Laiti ingalikuwa third world hali ingalikuwa tofauti.

Muda mchache tu Congress ilirudi kuendelea na shughuli. Pengine kwa third world tungesikia viongozi hawajulikani walipo, taarifa za kuchanganya , madereya ya jeshi na vifaru vikiponda watu mitaani hovyo n.k.

Kwa US kama tulivyoeleza bandiko 205 kumekuwa na machaguo 3.
Kwanza kumlazimisha Rais ajiuzulu. Hilo halitatokea kwa Trump.

Pili, kutumia kifungu 25 cha katiba kumuondoa Rais. Hapa kuna mtego, kwani makamu ndiye atakayeongoza kikao cha baraza la mawaziri. Kwasasa Mike Pence anasema option ipo mezani kwa kujua kuwa kama Trump atatumia madaraka vibaya , ni Pence atakayebeba lawama za kutotumia kifungu 25

Tatu, ni kupitia Impeachment. House chini ya Pelosi inaendelea na mchakato, na article of impeachment inaweza kupita kwa kutumia majority ya Dems. Tatizo ni kuwa katika seneti Mitch McConnel ambaye ni majority leader amesema seneti itajadili tarehe 19 na kuendelea akimaanisha wakati ChucK Schumer ni kiongozi.

McConnel anataka kutumia muda ili kupeusha dhahma kama ifuatavyo.
1. Kuacha article iende senate kuna uwezekano mkubwa sana wa kupata maseneta 17 na kupata 66 ambayo ni 2/3

Kwanza, kuna Republican wasiomjali tena Trump kama akina Mit Romney na Murkkowski n.k.

Pili, kuna wanaotamani kuwania 2024, hawa wanataka 'kichwa cha Trump kiponde ponde' asirudi tena

Tatu, kuna wanaorudi katika uchaguzi 2022 na hao pia hawataki kumsikia Trump

2. Ili kuepusha hayo hapo juu, McConnel anataka seneti isisikilize.

Maana yake ni moja hakuna seneta atakayepiga kura na hivyo wale wa 2022 watakuwa salama, wakati huo huo akimkarimu Trump kwani bado ana nguvu na anaweza kuwadhuru wale wa 2022.

Kinachoendelea kwa makono ni hesabu akitarajia kurejea katika kiti katika miaka 2 ijayo.

Jambo asilotambua McConnel ni kuwa kuna Lincoln Project na wale wanaopinga Trumpism.
Hawa hawatataka kumuona tena akiwa majority leader.

Sasa kama hivyo, kwanini Dems wanaendelea na mchakato wa Impeachment?

Well, kumshitaki tu katika House kutakuwa ni doa la kudumu na la kihistoria hata kama halina madhara

Trump atakuwa Rais aliyeshtakiwa mara 2 na hilo litamchafua na huenda kuhitimisha safari ya kisiasa

Kwa upande wa Joe Biden, yeye asingependelea mchakato wa Impeachment.

Biden anataka kuponya makovu na kufanya kazi na makundi yote.
Pengine angependa kuona Trump anaondoka na kusahaulika.

Hata hivyo Biden anakumbuna na nguvu ya far left (wahafidhina wa bawa la kushoto). Hawa ndio wanataka Impeachment. Kwa mantiki hiyo Biden anatembea katika nyuzi nyembamba kwa uangalifu isije mgharimu

Tusemezane
 
Asante kwa ufafanuzi.

Kukubalika kwa Trump kumeongezeka baada ya matukio ya DC kwa mujibu wa kampuni moja ya kupigisha kura. Rasmussen: Trump's Approval Rating Rises After DC Protests Kwa makadirio yako, asilimia ya Wamarekani wasio na ufahamu na wanaoshabikia sensational info badala ya facts ni kiasi gani? 51% ndio ilikuwa kukubalika kwake siku ya Alhamis, kama taarifa hizo ni za ukweli.
Umesoma maoni ya Newsmax siyo matokeo ya Rassmusssen polls!
 
Umesoma maoni ya Newsmax siyo matokeo ya Rassmusssen polls!
Labda amesoma Trump's new social media, TWEETER, alikohamia Trump baada ya kutimuliwa kila mahali...

trump's tweeter account (2).jpg
Ha ha haa!
Hata Arnold Schwarzenegger kashindwa kukaa kimya...

Former California Gov. Arnold Schwarzenegger, a Republican, compared the deadly riot at the U.S. Capitol last week to Kristallnacht, or the Night of Broken Glass, the 1938 anti-Semitic riot in Germany considered one of the preludes to the Holocaust.

 

Inauguration Day 2021: National Guard troops watch over Capitol | Daily Mail Online

''FBI warns of armed protests in all 50 states if Trump is removed before Inauguration Day as thousands of National Guardsmen watch over Capitol and all monuments are closed ahead of Biden's swearing in.​


  • An FBI bulletin released Monday warned of armed protests planned in all 50 states from January 16 to 20.
  • It said an 'identified armed group' is calling for the 'storming' of state, local, and federal government buildings should President Donald Trump be forcibly removed from office.
  • The group is allegedly planning to stage a major demonstration in Washington, DC, on January 17.
  • 'They have warned that if Congress attempts to remove POTUS via the 25th Amendment a huge uprising will occur,' the bulletin stated, according to ABC News.
  • The bulletin came to light as House Speaker Nancy Pelosi introduced articles of impeachment accusing Trump of incitement to insurrection on Monday.
  • More than 6,000 National Guardsmen were deployed to DC in the days after a mob of Trump's supporters stormed the Capitol grounds last Wednesday.
  • The Pentagon is considering sending up to 13,000 guardsmen to secure the city
  • The Department of Defense is aware of 'further possible threats posed by would-be terrorists in the days up to and including Inauguration Day'.
  • DC Mayor Muriel Bowser said she is 'extremely concerned' about security and called for a pre-emergency declaration.
1610390442707.png

The flash of a police munition lights up the steps of the Capitol during the invasion by a Trump-incited mob on Wednesday​

USA waliingia chaka walipompa urais Trumpet ambaye maisha yake yote hakuwahi kulipa kodi. Aibu kubwa kwa nchi kama USA ambayo inajinasibu kwamba ina mkono mrefu hapa duniani. Zile kelele za mabalozi wake zimepungua.
 
1610390539870.png

1610390636463.png
1610391161657.png
DC Mayor Muriel Bowser's letter to acting DHS Secretary Chad Wolf is shown in full above

Deputy DHS Secretary Ken Cuccinelli on Thursday insisted that the previous day's Capitol breach would be a 'one-time event' and assured that Inauguration Day will be kept under control.

'You're going to see immediate improvement, fully aggressive posture by the Department of Homeland Security, and the Department of Justice as well, because we accept violence from no one,' Cuccinelli told Fox News. The DHS has faced criticism for failing to step in when Capitol Police requested back-up during last week's insurrection.

Cuccinelli suggested the agency didn't get enough notice, saying that by the time the request came in, 'it was just too close to when everything began to heat up'. But a former top DHS official dismissed that assertion, arguing that authorities were aware of the possibility of violence well in advance.

'Law enforcement was ill-prepared for an event the entire country knew was coming, and one that POTUS had been signaling for weeks,' Brian Harrell, former DHS assistant secretary for infrastructure protection, told CNN, referencing the president.

'The normal "layers of security", with each inner layer being tougher to breach, was nearly non-existent. It's shocking, that in a post 9/11 world, we witnessed the "people's house" be breached and ransacked with ease', Harrell said.

Harrell said he expects much more substantial security will be implemented prior to the inauguration. He said the biggest threats to the event will be an active shooter scenario, vehicle ramming and the deliberate targeting of critical infrastructure.

1610390721350.png
Deputy DHS Secretary Ken Cuccinelli on Thursday insisted that the previous day's Capitol breach would be a 'one time event' and assured that Inauguration Day will be kept under control. Pictured: National Guardsmen gather on Monday

1610390746307.png
Members of the New York National Guard organize on the East Front of the US Capitol on Monday morning

1610390787854.png

The National Guardsmen added masks to their usual uniforms in light of the coronavirus pandemic


Images of Trump supporters clambering up the walls of the Capitol - supposedly one of the most secure buildings in the United States - and smashing their way in with little resistance shocked the world on Wednesday.

Five people, including one Capitol Police officer and four protesters, died as a result of the chaos. A Capitol Police officer also reportedly killed himself three days after the melee. More than 80 insurgents have already been arrested and at least 25 are facing domestic terrorism charges as the FBI continues searching for others.

DC Acting US Attorney Michael Sherwin said in the Sunday interview with NPR that potentially 'thousands' of people could have information on alleged crimes committed during the Capitol break-in.

'I don't think there's any similar case in DOJ history that compares to that', he said.

Capitol Police Chief Steven Sund and the Sergeants-at-Arms of both the House and Senate, announced their resignations on Thursday, at the request of congressional leaders.

Meanwhile, as Inauguration Day approaches, fears are mounting that the attack may have emboldened extremists to continue their campaign to block Biden's path to the White House, despite the fact that he won the election.

In the days since the Capitol riots, calls for future armed protests have only grown among far-right circles, according to Twitter, which has monitored the chatter on its service.

A former DHS official warned that the Capitol siege could serve as a 'rallying cry' for Trump supporters.

'We could start to see a lot of lives lost because of the moment that occurred on Wednesday, so very, very concerned about the cascading effects,' the official told CNN. 'It's a very concerning moment.'

Jonathan Greenblatt, the head of the Anti-Defamation League, expressed similar concerns, saying that far-right extremists and white supremacists were emboldened by their perceived success last week.

'We fully expect that this violence could actually get worse before it gets better,' Greenblatt said.


1610390822969.png

Hundreds of Trump supporters stormed the US Capitol on January 6 in a bid to block the certification of Joe Biden's victory

1610390859636.png

The protesters used flag poles and other objects to break doors and windows around the Capitol building

1610390903250.png

Members of Congress are seen running for cover as protesters attempted to enter the House Chamber

1610390943358.png
Shortly before 2pm, the rioters descended on Capitol Hill while lawmakers were inside certifying the vote. Over the next two hours, the violence escalated. Some broke into politicians' offices, tauntingly sat at their desks and left threatening notes. One of the protesters was shot dead by cops (bottom right)

Wednesday's unrest reverberated around the US as smaller protests were staged outside several state capitols. Local officials across the US fear that Inauguration Day could bring further violence to their communities as well.

Washington State Gov Jay Inslee on Friday announced that he was mobilizing up to 750 National Guardsmen to secure the state's capitol in Olympia at the start of the new legislative session on Monday.

'The actions we saw in both Washington, DC, and Olympia earlier this week were completely unacceptable and will not be repeated in our state again,' Inslee, a Democrat, said in a statement, referring to the dozens of people who occupied the state Capitol and breached the grounds of the governor's mansion last Wednesday.

'In light of the most recent insurrection activity, the state cannot tolerate any actions that could result in harm, mayhem or interruption of function of democratic institutions,' he said.

In New Jersey, state homeland security officials are monitoring plans for protests on January 12 and 20, an official with knowledge of the situation told CNN.

'Some of the online rhetoric has called for protests at all 50 capitals plus DC,' the official said. 'FBI in particular has been continuing to put our threat assessments and we are at the state level as well.'
 
Deputy DHS Secretary Ken Cuccinelli on Thursday insisted that the previous day's Capitol breach would be a 'one-time event' and assured that Inauguration Day will be kept under control.

'You're going to see immediate improvement, fully aggressive posture by the Department of Homeland Security, and the Department of Justice as well, because we accept violence from no one,' Cuccinelli told Fox News. The DHS has faced criticism for failing to step in when Capitol Police requested back-up during last week's insurrection.

Wait the second 'Capitol Hill Braves Show'!!!

There is high likelihood to prove the Deputy DHS Secretary wrong before, during or after 20/01/2021.

The 76 million US citizens, supporting Trump, can not be neglected by just calling them 'terrorists' and confining a few hundreds of them behind bars while immensely racketing to fabricate charges against them. They were exercising their liberty!

We saw the same in Ukraine in the famous show led by Ms Victoria Jane Nuland known as "Euro-Maidan". There is a thin line of difference between the Euro-Maidan and the Capitol Hill Braves show, yet we usher Euro-Maidan actors as liberty champions while the Capitol Hill braves are being demonized as terrorists! Supporting this scenario, equates exercising hypocrisy and double standard of the highest order.

However, Let's wait what the Capitol Hill Braves have in their 'folded sleeves' !
 
Wait the second 'Capitol Hill Braves Show'!!!

There is high likelihood to prove the Deputy DHS Secretary wrong before, during or after 20/01/2021.

The 76 million US citizens, supporting Trump, can not be neglected by just calling them 'terrorists' and confining a few hundreds of them behind bars while immensely racketing to fabricate charges against them. They were exercising their liberty!

We saw the same in Ukraine in the famous show led by Ms Victoria Jane Nuland known as "Euro-Maidan". There is a thin line of difference between the Euro-Maidan and the Capitol Hill Braves show, yet we usher Euro-Maidan actors as liberty champions while the Capitol Hill braves are being demonized as terrorists! Supporting this scenario, equates exercising hypocrisy and double standard of the highest order.

However, Let's wait what the Capitol Hill Braves have in their 'folded sleeves' !
Unaishi katika dunia ya kusadikika kama ya hao unaowaita eti Capitol Hill Braves! Utazunguka mbuyu unavyopenda kwa kuokoteza unayoyasoma kwenye websites unazozijua lakini nakuomba ukumbuke mambo mawili. Marekani Marais wamewahi hata kuuawa lakini misingi ya demokrasia na taasisi zake zilisimama imara...they prevailed.

Nafikiri kinachokusumbua ni kwamba huijui historia ya the USA! Hiyo misingi iliyowekwa ilizingatia yote unayoyaona yanatokea hivi sasa na ilijua kuwa lazima kuna siku watatokea populist leaders kama Donald Trump! Kama unafuatilia baadaye leo FBI na DOJ watatoa taarifa zao kuhusu yaliyojiri hao domestic terrorists walipovamia hilo jengo.

The USA is bigger and greater than any one individual!
 

Inauguration Day 2021: National Guard troops watch over Capitol | Daily Mail Online

''FBI warns of armed protests in all 50 states if Trump is removed before Inauguration Day as thousands of National Guardsmen watch over Capitol and all monuments are closed ahead of Biden's swearing in.​


  • An FBI bulletin released Monday warned of armed protests planned in all 50 states from January 16 to 20.
  • It said an 'identified armed group' is calling for the 'storming' of state, local, and federal government buildings should President Donald Trump be forcibly removed from office.
  • The group is allegedly planning to stage a major demonstration in Washington, DC, on January 17.
  • 'They have warned that if Congress attempts to remove POTUS via the 25th Amendment a huge uprising will occur,' the bulletin stated, according to ABC News.
  • The bulletin came to light as House Speaker Nancy Pelosi introduced articles of impeachment accusing Trump of incitement to insurrection on Monday.
  • More than 6,000 National Guardsmen were deployed to DC in the days after a mob of Trump's supporters stormed the Capitol grounds last Wednesday.
  • The Pentagon is considering sending up to 13,000 guardsmen to secure the city
  • The Department of Defense is aware of 'further possible threats posed by would-be terrorists in the days up to and including Inauguration Day'.
  • DC Mayor Muriel Bowser said she is 'extremely concerned' about security and called for a pre-emergency declaration.
View attachment 1675069

The flash of a police munition lights up the steps of the Capitol during the invasion by a Trump-incited mob on Wednesday​

USA waliingia chaka walipompa urais Trumpet ambaye maisha yake yote hakuwahi kulipa kodi. Aibu kubwa kwa nchi kama USA ambayo inajinasibu kwamba ina mkono mrefu hapa duniani. Zile kelele za mabalozi wake zimepungua.

..Trump alichaguliwa kihalali.

..Trump ameshindwa kihalali.
 
Breaking News: Joint Chiefs call riot a ‘direct assault’ on the constitutional process, affirm Biden as next commander in chief.

The Joint Chiefs of Staff, the group of the most senior uniformed leaders at the Pentagon, issued a force-wide statement Tuesday condemning the riot at the Capitol as a “direct assault” on Congress and the constitutional process and affirming President-elect Joe Biden will become the nation’s 46th commander in chief on Jan 20.

CC: TUJITEGEMEE
 
Breaking News: The House of Representatives has voted to impeach President Donald Trump.

Ten Republicans joined the Domocrats and the resolution to impeach was passed 232-197!

President Trump will go down in history as the first president ever to be impeached twice!


TUJITEGEMEE, are you there? Endelea kununua popcorn ufuatilie, ushuhudie na uone misingi ya demokrasia inavyolindwa na kutetewa na taasisi zake zilivyosimama imara bila kuyumba hata ikitikiswa na wahuni kama Trump.
 
On other side, since majority in his base believe that this election was rigged, Trump might consider he wasn't defeated in this election. As a matter of facts, he thinks the election was stolen from him. So, personally, I think, there's a chance he will run 2024.

He lives in a different universe. When he sees the swath of red states in the election map being bigger than that of blue states, he thinks he has won the election.

..but it seems like republicans want to get rid of donald trump; they are fed up with him.

..if they succeed, donald trump will have to consider running as an independent candidate.

..now, will he be willing to use his own money to support his campaign?

..and what effect will his candidacy have over the republican base?
 
@TUJITEGEMEE, are you there? Endelea kununua popcorn ufuatilie, ushuhudie na uone misingi ya demokrasia inavyolindwa na kutetewa na taasisi zake zilivyosimama imara bila kuyumba hata ikitikiswa na wahuni kama Trump.
Ha ha haa ! I am here, Mkuu.

Ila mkuu sijajua ni kwa nini hauoni mimi ninachokiona, kuwa kwa kiasi kikubwa, kuna madukuduku mengi juu ya hicho kinachohubiriwa cha ubora wa liberty na demokrasia huko US. Matukio ya hivi karibuni huko US ukweli yananitoa kwenye reli ya kuamini kuna liberty na demokrasia ya uhakika huko Marekani. Ngoja niendelee kuzibugia popcorn :).

 
Back
Top Bottom