Uchaguzi US: 2020

Na kwa kuwa hakuna kura zilizoibiwa, hata akikagua kwa magnifying glass, hatopata kitu. Kwa hiyo tumwachie aangalie wee mpaka achoke; hapati ushahidi. Isn't it then kinda premature kusema hana ushahidi wakati ndio michakato ya kupitia upya kura inafanyika? Tuache mpaka mwisho tuone kama ushahidi upo au la.
Marekani sheria inafuata mkondo na haki inalindwa. Trump ana haki na anatuimia. Sijui kama una habari alitoa madai ya wizi wa kura kabla ya kupigwa kura. Alisema '' namna pekee atakayoshindwa ni kwa wizi wa kura''
Matokeo yalipotangazwa kasema kura zimeibwa. Hakuwa na ushahidi. Kamtuma AG Barr kutafuta kura zilizoibwa.
Yaani nikutuhumu kwa wizi na kisha kwenda kutafuta ushahidi.

Kule Arizona na Georgia alisema hakuna wizi, baada ya kushindwa kuna wizi!
Uchaguzi huu mazingira yake "ya kawaida" ni ya kulinganisha na ya Gore-Bush saga. Gore aliconcede lini? [Disemba 13]; Lini Bush Jr alitambuliwa Rasmi kwamba ni rais mteule?
Nina uhakika wakati wa Gore-Bush kuna haya; ima ulikuwa hujazaliwa, au ulikuwa mdogo au ulikuwa mkubwa usielewa au hukuelewa kabisa. Kuna upande wa pili, umejitahidi kusoma na kupata uelewa. Sina uhakika kama umamalize kitabu au kusoma kingine

Tofauti ya kura za Bush na Gore ilikuwa 500 (mia tano). Gore ali ' concede' kabla ya ku-retract.
Kura 500 si sawa na tofauti ya kura milioni 5 iliyiopo leo kati ya Trump na Biden.
Katika Gore-Bush kesi ilikwenda mahakamani kwasababu ilikuwa ''too close to call'', kura 500

Trump- Hillary, tofauti ya kura za electoral college ilikuwa chini ya 80,000. Hillaru ali concede usiku ule ule hata pale alipokuwa na tofauti ya kura 10,000 katika state moja.

Mfano wa Gore-Bush !

Waliosema uchaguzi umeibiwa mwaka 2016 walikuwa Democrats, na stori za udukuzi wa Urusi, ambazo uchunguzi rasmi nadhani ulifanyika na kuonekana madai hayakuwa ya kweli.
Please kuna tatizo gani ukinukuu mtu kwa usahihi? Nilichosema ni hivi
Madai ya kwamba uchaguzi umeibwa si mageni. Mwaka 2016 alikuwa na madai kama hayo kabla ya uchaguzi.

Maana yake ni kuwa kabla ya uchaguzi 2016 Trump alisema kuna wizi wa kura unafanyika.
Hapa ni kabla ya kura hata moja kupigwa.

Unachosema wewe ni kuhusu Russia investigation. Hakuna Democrats aliyesema kuna wizi wa kura, kilichosemwa ni kuwa kulikuwa na interference kutoka Russia. Hili lipo katika taarifa ya Mueller ambayo AG Barr ameificha lakini itapatikana tu baada ya January 20.

Pili, kamati ya senate ikiongozwa na Chuck Grassley ambaye leo hii ana Corona katika umri wa 87, ilisema wazi kuwa Russia iliingilia uchaguzi wa 2016. Haya ni kwa uchache. Kwahiyo, tofautisha kuiba kura na ku influence uchaguzi, ni vitu viwili tofauti. Kubwa zaidi umeninukuu kwa jazba ukajibu kisichoulizwa, na watu wengi hufeli mitihani kwa kutoelewa hoja au kuvamia bila kujua msingi wa hoja
Na ndivyo pia kwa Team Biden: "Whatever happens, do not concede", alisikika Mdemokrati mwandamizi akimwambia Biden.
Siyo Joe Biden. Kumbe alikuwa mwandamizi tu hilo ni tofauti na PEOTUS au POTUS
Trump alichukua hatua kwa kuanzisha CISA. Na kuweka executive order ya kuhakikisha chaguzi zijazo (ukiwemo huu) uchunguzwe na vyombo vya usalama ili kuzuia au kubaini kuvurugwa uchaguzi na mataifa ya nje.
Sijui kama una taarifa Dir Kreb amefukuzwa kwa tweet jana kwa kosa la kusema ''uchaguzi huu umekuwa salama zaidi katika historia ya Marekani''. Una taarifa hiyo?
Pili, hiyo kauli ya hakuna fraud kubwa kiasi cha kubadili matokeo inasigana na hoja kuu ya kwamba hakuna fraud.
Katika miaka 20 fraud ya uchaguzi Marekani haiafikia hata 0.01% ni katika kiwango cha chini sana
Katika milioni zaidi ya 140 na ushee huwezi kukosa watu wawili au watatu waliofanya tofauti.

kuna kitu kinaitwa widespread voter fraud. Kule Carolina Trump aliwahi kusema kuna wizi wa kura mwaka 2016 kwa Reprsentative. Uchunguzi ulibaini Republican walifanya hivyo hadi mshindi akaamua mwenyewe kuachia ngazi na kukiri hilo.
Tatu, mfumo wa shirikisho unatoa mamlaka ngazi za chini ambako kunaleta fursa za wizi kufanyika. Trump alishinda uchaguzi huu kwa kura nyingi, viti vingi vya Seneti na Congress, kwa kiwango ambacho hakikuwahi kuonekana toka 1776. Sema tu, wizi wa kura ulizipunguza sana. Hata hivyo, siku ya uchaguzi bado Trump alikuwa anashinda, ikabidi wasitishe kuhesabu ili waibe kura za Urais tu, tena bila haya wala kujificha kivile (the end justifies the means); panga pangua Trump asipewe awamu ya pili.
Eeh Mungu wangu!
Nimejiuliza niendelee au niache, jibu likawa rahisi, sina uzoefu katika level hii
 
Marekani sheria inafuata mkondo na haki inalindwa. Trump ana haki na anatuimia. Sijui kama una habari alitoa madai ya wizi wa kura kabla ya kupigwa kura. Alisema '' namna pekee atakayoshindwa ni kwa wizi wa kura''
Matokeo yalipotangazwa kasema kura zimeibwa. Hakuwa na ushahidi. Kamtuma AG Barr kutafuta kura zilizoibwa.
Yaani nikutuhumu kwa wizi na kisha kwenda kutafuta ushahidi.

Awali ya yote nikumbushe tu kwamba I am playing the devil advocate. Mazungumzo yakiwa ya upande mmoja tu itakuwa ni echo-chamber, isiyoleta burudani.

Nina uhakika wakati wa Gore-Bush kuna haya; ima ulikuwa hujazaliwa, au ulikuwa mdogo au ulikuwa mkubwa usielewa au hukuelewa kabisa. Kuna upande wa pili, umejitahidi kusoma na kupata uelewa. Sina uhakika kama umamalize kitabu au kusoma kingine

Ni kweli ninayoyaposti hapa ni yale ninayoyasoma upande wa pili wanavyosema. Bado ninajifunza kusikiliza upande wa pili ili kubalansi stori. Hapa tumekuwa tukionyesha mahabat yetu kwa upande mmoja tu. Ili kuleta balance kwenye universe, ni vema pia kuwasikiliza na wale tusiowapenda. Hivyo nitafurahi kupata mapendekezo yako ya vitabu vya kuvisoma. Kuhusu Gore-Bush saga, tulikuwa tunafuatilia hivihivi kwenye mitandao; na tulikuwa tunashabikia kama vile Simba na Yanga. How entertaining it was! Gazeti moja la Tanzania liliandika headline mpaka Wamarekani wakalalamika! Kwa sasa, baada ya kusoma MSM, inalazimu kwenda upande wa pili kama mifano ifuatayo ili kusikia counter-arguments.



Mfano wa Gore-Bush !


Please kuna tatizo gani ukinukuu mtu kwa usahihi? Nilichosema ni hivi
Madai ya kwamba uchaguzi umeibwa si mageni. Mwaka 2016 alikuwa na madai kama hayo kabla ya uchaguzi.

Maana yake ni kuwa kabla ya uchaguzi 2016 Trump alisema kuna wizi wa kura unafanyika.
Hapa ni kabla ya kura hata moja kupigwa.

Wala hata siyo TU uchaguzi wa 2016. Trump alitoa madai ya wizi wa kura mwaka 2012.

Siyo Joe Biden. Kumbe alikuwa mwandamizi tu hilo ni tofauti na PEOTUS au POTUS

Sijui kama una taarifa Dir Kreb amefukuzwa kwa tweet jana kwa kosa la kusema ''uchaguzi huu umekuwa salama zaidi katika historia ya Marekani''. Una taarifa hiyo?

Nimeona mtandaoni. Kadhalika, officially, as of past 24 hours ago, there is no PEOTUS, yet.


In future, panapo majaliwa, nitaweka bayana a grand-unified theory about US 2020 elections. By using that theory, I postulated the following in the past:


This 2020 US Presidential Election has hallmarks for an explosive post-election situation:

  1. Biden/Left supporters see the election as one and perhaps the only realistic way to consign President Trump to the dustbin of history, and therefore rescue America. They cannot imagine to what extent four more years of Trump will harm The United States.
  2. Trump/Right supporters see the election as one and perhaps the only realistic way to consign Vice-President Biden to the dustbin of history, and therefore rescue America. They cannot imagine to what extent four more years of Biden will harm The United States.
Interesting Times.

Uchaguzi wa mwaka huu Marekani utakuwa, IMHO, unprecedented: na matokeo yanaweza kuamuliwa na SCOTUS.

And if the Grand Unified Theory of America [GUTA] holds true: then the following will happen; whatever happens in the intervening times, Trump will be the US President for his second term, palipo majaliwa ya uhai.
 
Trump kuwa Rais wa marekani ilikuwa ni failure kubwa sana kwa demokrasi ya marekani in the first place. Kitu cha ajabu safari hii amepata kura milioni 71! kwa hiyo unaweza kujua wamarekani ni watu wa namna gani. Nilichogundua ni kuwa viongozi wa dini huo vijijini walikuwa wanahamasisha sana wafuasi wao wampigie kura hasa wale ambao huwa hawapigi kura; kwa hiyo amebebwa sana na viongozi wa dini mwaka huu kuliko mwaka 2016.
 

Trump news – live: President told to ‘stop golfing and concede’ as Biden set to announce cabinet picks​

Donald Trump has come under fire for missing a G20 virtual side-summit centred on pandemic preparedness in favour of playing golf, according to reports.

The president was apparently at his golf course in Virginia at the time that the event was due to start yesterday and did not appear on the list of speakers for the meeting.

Meanwhile, GOP ally Chris Christie and several Republican governors have condemned the president’s legal team’s attempts to undermine the results of the 2020 election, with one governor warning that the US looks like a “banana republic” following Mr Trump’s refusal to concede.

Maryland’s Republican governor Larry Hogan told the president to “stop golfing and concede” after the president criticised his coronavirus response.

President-elect Joe Biden on Tuesday will announce the first members of his incoming cabinet, as the Trump administration continued to stymie the transition process.

Trump news – live: President told to ‘stop golfing and concede’ as Biden set to announce cabinet picks (msn.com)

What a shame!
 
Mlenge said:
And if the Grand Unified Theory of America [GUTA] holds true: then the following will happen; whatever happens in the intervening times, Trump will be the US President for his second term, palipo majaliwa ya uhai.
Breaking News:: Mbio za sakafuni za Rais wa Marekani, dikteta uchwara Donald Trump, zaishia ukingoni! Jitihada zake za kutaka kung’ang’ania madaraka zagonga mwamba na makabidhiano rasmi yanatakiwa yaanze mara moja.

If wishes were horses, beggars would have a field day...riding!
 
Trump kuwa Rais wa marekani ilikuwa ni failure kubwa sana kwa demokrasi ya marekani in the first place. Kitu cha ajabu safari hii amepata kura milioni 71! kwa hiyo unaweza kujua wamarekani ni watu wa namna gani. Nilichogundua ni kuwa viongozi wa dini huo vijijini walikuwa wanahamasisha sana wafuasi wao wampigie kura hasa wale ambao huwa hawapigi kura; kwa hiyo amebebwa sana na viongozi wa dini mwaka huu kuliko mwaka 2016.

Pamoja na viongozi wa dini, Trump has attracted a good number of people for being authentic. The guy never changed his political brand, view or posturing. In American political landscape, it is common for candidates to campaign on popular issues or to be politically correct just to gain votes. However, many candidates fail to transform their political rhetoric into policies or actions. This tendency has frustrated many voters because they don't see the end goal of their participation in the electoral process. When people vote, they expect something in return. Many politicians have forgotten that. With regard to Trump, voters saw something different. First, he took a different route in his political career. He was an outsider who decided to take an ineffective political machine. Second, from the get go, he picked his constituents and he has never disappointed them in the campaign trail or while in office.
 
Pamoja na viongozi wa dini, Trump has attracted a good number of people for being authentic. The guy never changed his political brand, view or posturing. In American political landscape, it is common for candidates to campaign on popular issues or to be politically correct just to gain votes. However, many candidates fail to transform their political rhetoric into policies or actions. This tendency has frustrated many voters because they don't see the end goal of their participation in the electoral process. When people vote, they expect something in return. Many politicians have forgotten that. With regard to Trump, voters saw something different. First, he took a different route in his political career. He was an outsider who decided to take an ineffective political machine. Second, from the get go, he picked his constituents and he has never disappointed them in the campaign trail or while in office.
Zakumi, on the contrary...
The USA, the experiment, is back!
The USA, the world's sanctuary nation is back!
The USA, the land of immigrants from all nations is back!
The USA, the land of the free and the brave is back!

The Distinctiveness of the American Experiment as Laid Down by the Founding Fathers of the USA;
  • It acknowledged that individual rights are derived from a Creator.
  • It was based on enduring principles compatible with “the laws of nature and of nature’s God.”
  • It recognized human imperfection and that a tendency to abuse power is ever present in the human heart.
  • It restrained those in power through a written Constitution which carefully divided, balanced, and separated the powers of government and then intricately knitted them back together again through a system of checks and balances.
  • It left all powers with the people, except those which, by their consent, the people delegated to government and then made provision for their withdrawing that power, if it was abused.
USA is a republic if you can keep it...
 
Zakumi, on the contrary...
The USA, the experiment, is back!
The USA, the world's sanctuary nation is back!
The USA, the land of immigrants from all nations is back!
The USA, the land of the free and the brave is back!

The Distinctiveness of the American Experiment as Laid Down by the Founding Fathers of the USA;
  • It acknowledged that individual rights are derived from a Creator.
  • It was based on enduring principles compatible with “the laws of nature and of nature’s God.”
  • It recognized human imperfection and that a tendency to abuse power is ever present in the human heart.
  • It restrained those in power through a written Constitution which carefully divided, balanced, and separated the powers of government and then intricately knitted them back together again through a system of checks and balances.
  • It left all powers with the people, except those which, by their consent, the people delegated to government and then made provision for their withdrawing that power, if it was abused.
USA is a republic if you can keep it...

The republic is as good as the people who live in it. And equally important, the constitution of a country is as good as the people who believe and follow it. I understand what you have enumerated above, but it is the people who make the differences. Trump got 71milion votes. This is almost half of the people who voted in this election. More than that, he has received more votes in this election than what the winners of the previous presidential elections received individually. Now, if one takes this election as the barometer of the well-being of the republic and what it stands for, the individual will have hard time to make a convincing argument that the experiment is back.

Don’t get me wrong. I don’t subscribe to what Trump stands for. But I can’t ignore his message and how it resonates with almost half of the population. If the people who voted for Trump are in a movement which can sustain or prolong its activities for a long period of time, the country will experience a profound change at its core. It won’t surprise me if Trump run again in 2024 and win convincingly. I hope that won’t be the case.
 
It won’t surprise me if Trump run again in 2024 and win convincingly.
Trump? Running again in 2024? No, never, not in the USA that some of us grew up knowing and you can take that to the bank!
Trump? Winning convincingly? Not a chance, that just won't happen...the same poison is never tasted twice, not in the USA!
I hope that won’t be the case.
Don't worry Zakumi...that can't happen, the Americans cannot allow it to happen. But if it were in Africa, why not? Wonders will never cease in our kind of world!
 
Like us, in 2016 the US made a mistake the first time but I definitely doubt if they will repeat that same mistake the second time and one can take that to the bank ndugu yangu. Blowout? Why not, just may be!

In Tanzania we made a mistake in 2015 lakini badala ya kujisahihisha we have decided to make even a bigger one and for that we should suffer and yes, we deserve whatever we get...we just never learn!

Kosa si kosa bali kurudia kosa!
......kwa Tanzania mwaka 2020 haukuwa na alternative na vile vile hakukuwa na kosa!
 
The republic is as good as the people who live in it. And equally important, the constitution of a country is as good as the people who believe and follow it. I understand what you have enumerated above, but it is the people who make the differences. Trump got 71milion votes. This is almost half of the people who voted in this election. More than that, he has received more votes in this election than what the winners of the previous presidential elections received individually. Now, if one takes this election as the barometer of the well-being of the republic and what it stands for, the individual will have hard time to make a convincing argument that the experiment is back.

Don’t get me wrong. I don’t subscribe to what Trump stands for. But I can’t ignore his message and how it resonates with almost half of the population. If the people who voted for Trump are in a movement which can sustain or prolong its activities for a long period of time, the country will experience a profound change at its core. It won’t surprise me if Trump run again in 2024 and win convincingly. I hope that won’t be the case.

You are raising important arguments, Zakumi , about REPUBLIC and the CONSTITUTION of the republic.

Uchaguzi huu utaingia kwenye vitabu vya Historia ya JAMHURI ya Marekani kwa karne na milenia kadhaa zijazo: for better or worse. Marekani iko njia panda katika safari yake ya historia. Uchaguzi wa Rais 2020 Marekani, unaleta burudani kubwa kwa watazamaji, hasa tulio jukwaani, tukitizama kwa mbali pambano linavyoendelea uwanjani.
 
US imepitia vipindi tofauti vigumu, mara zote imetoka katika ugumu ikiwa na nguvu zaidi.
Uzuri wa US ni uwezo wa kufanya makosa, kuyasahihisha na kuyafanyia utafiti yasijirudie tena.

Kubwa zaidi ni kujengwa juu ya misingi ya taasisi (insitutions) na si mtu au makundi ya watu.

Uwepo wa Trump umefunua macho , academicians, researchers n.k. wanafanyia kazi matatizo yaliyojitokeza

Kwa mfano, us iliamini kuwa WH si rahisi kwa mwendawazimu au mpuuzi kuingia na akiingia kulikuwa na 'rail guards' kama Congress. Wamarekani waliamini ' written and unwritten rules'.
Trump amedhhirisha kuna siku mwendawazimu anaweza kushika madaraka na kuyatumia kuumiza Marekani.

Baada ya jaribio la Nixon kushindwa kwa nguvu za taasisi, hakuna aliyeamini atatokea mwingine akawa salama. Trump ameonyesha si kweli , kuna uwezekano kwa taasisi kama congress na hasa Senate kupokwa nguvu zake kama ilivyo kwa senate ya Mitch .

Nina uhakika muda si mrefu kutakuwa na mabadiliko yatakyolenga kuzuia au kudhibiti watu kama Trump wanapopewa madaraka. Hili linafanyiwa kazi na ndipo nguvu ya US ilipo,kufanya kosa na kujisahihisha kwa ubora

Uchaguzi huu umechagizwa na sababu nje ya sera. Kulikuwa na mkaundi mawili, linaloamini katika 'Marekani yetu' likiwa na white supremacist na proud boys ambao wana support kubwa sana vijijini.
Trump ametumia watu wake akina Steve Banon, Rush Limbaugh, Stephen Miller n.k.kuhamisha kundi hili

Hao white supremacist walikuwa na nguvu na support ya Trump, na yeye alijua anaweza kushinda Marekani kwa wingi wa weupe tu. Mwaka 2016 kulikuwa na voter suppression kupitia Russia na hilo lilisaidia sana.

Lakini pia ni ukweli, Trump alicheza karata ya center right na kukonga nyoyo za independents na Dems
Karata hiyo ndiyo amecheza Biden mwaka huu, ndiyo maana Trump alimhofia tangua mwanzo

Mwaka 2020 hakukuwa na Russia tena, lakini pia incumbent ali expose incompetence yake.
Ilikuwa wazi independents na Dems wangeshinda hasa kwa kuhamasisha Voting block ya weusi, seniors na Veterans .Kuna maeneo Trump alijifunga goli kutokana na kauli zake za hovyo

Watu wa Trump akina Banon wakatumia karata ya kuwagawa Wamarekani.
Kwa upande mwingine ule urangi alioutengeneza Trump ukahamasisha Democrats.
Huo ndio msingi wa kuwa na kura nyingi 2020

Karata ya 'race' ambayo Trump alidhani itamsaidia hakuwa hivyo, kuna mabadiliko ya Demography

Kwa mfano Weupe waliopiga kura 2016 wamepungua 75% hadi 65%. Kwa watu milioni 300, 10% ni kiasi kikubwa

2024 Trump atarudi? Si rahisi na hata akirudi kushinda si rahisi.

Democrats watatumia fursa ya sasa kuanika uozo wake wote uliofichwa na Bill Bar.

Wapambe wake watatoboa siri zote hasa iliyopo nyuma ya Russia.
Lincoln Project tayari ipo kazini, kwanza, ikiwafuta akina Rubio, Ted Cruz na Nicky Haile katika kinyang'anyiro.

Tatizo linaloikabili Republican si sera na wala si kwamba wana sera mbaya, bali kuna conservative wajinga kama akina Ted Cruz wanaopunguza wigo wa wapiga kura.

GOP hakina mvuto kwa vijana hasa wa mijini na watu wa rangi.
Mabadiliko ya demography ni tatizo linaloanza kuonekana na litausumbua sana. Karata ya race inapoteza nguvu

Tusemezane
 
Baada ya jaribio la Nixon kushindwa kwa nguvu za taasisi, hakuna aliyeamini atatokea mwingine akawa salama. Trump ameonyesha si kweli , kuna uwezekano kwa taasisi kama congress na hasa Senate kupokwa nguvu zake kama ilivyo kwa senate ya Mitch .

Senate ilikuwa na nguvu sana mpaka pale Uongozi ulipohamia kwa Bill Frist. Tangu wakati huo, Senate ilianza kuwa inajiondolea nguvu zake pole pole kwanza kwa kutumia ovyo matumizi ya fillibuster, na baadaye kushusha standard ya upigaji kura kutoka supermajority (60)had simple majority (51), na sasa wanaelekea kwenye prularity kiasi kuwa kura za abstantion hazitakuwa na effect tena. Ni kutokana na senate ya sasa kutokuwa na nguvu ndiyo maana majority leader ndiye amekuwa senate yenyewe; yeye akishakuwa kibaraka wa rais (kama huyu Mitch) basi senate yote inkuwa hivyo! Wakati John McCain angali hai alikuwa anajaribu kukumbusha thamani ya senate, na wakati huo Lindsey naye akajifanya statesman. Baada ya John kufariki, Lindsey ameonyesha rangi zake halisi.
 
US imepitia vipindi tofauti vigumu, mara zote imetoka katika ugumu ikiwa na nguvu zaidi.
Uzuri wa US ni uwezo wa kufanya makosa, kuyasahihisha na kuyafanyia utafiti yasijirudie tena.
Na hapo ndipo naliona tatizo...wapo watu hawajui Marekani imewahi kupitia nyakati ngumu kuliko haya tunayoyashuhudia leo na mara zote ilitoka ikiwa imeimarika zaidi.
 
US imepitia vipindi tofauti vigumu, mara zote imetoka katika ugumu ikiwa na nguvu zaidi.
Uzuri wa US ni uwezo wa kufanya makosa, kuyasahihisha na kuyafanyia utafiti yasijirudie tena.

Kubwa zaidi ni kujengwa juu ya misingi ya taasisi (insitutions) na si mtu au makundi ya watu.

Uwepo wa Trump umefunua macho , academicians, researchers n.k. wanafanyia kazi matatizo yaliyojitokeza

Kwa mfano, us iliamini kuwa WH si rahisi kwa mwendawazimu au mpuuzi kuingia na akiingia kulikuwa na 'rail guards' kama Congress. Wamarekani waliamini ' written and unwritten rules'.
Trump amedhhirisha kuna siku mwendawazimu anaweza kushika madaraka na kuyatumia kuumiza Marekani.

Baada ya jaribio la Nixon kushindwa kwa nguvu za taasisi, hakuna aliyeamini atatokea mwingine akawa salama. Trump ameonyesha si kweli , kuna uwezekano kwa taasisi kama congress na hasa Senate kupokwa nguvu zake kama ilivyo kwa senate ya Mitch .

Nina uhakika muda si mrefu kutakuwa na mabadiliko yatakyolenga kuzuia au kudhibiti watu kama Trump wanapopewa madaraka. Hili linafanyiwa kazi na ndipo nguvu ya US ilipo,kufanya kosa na kujisahihisha kwa ubora

Uchaguzi huu umechagizwa na sababu nje ya sera. Kulikuwa na mkaundi mawili, linaloamini katika 'Marekani yetu' likiwa na white supremacist na proud boys ambao wana support kubwa sana vijijini.
Trump ametumia watu wake akina Steve Banon, Rush Limbaugh, Stephen Miller n.k.kuhamisha kundi hili

Hao white supremacist walikuwa na nguvu na support ya Trump, na yeye alijua anaweza kushinda Marekani kwa wingi wa weupe tu. Mwaka 2016 kulikuwa na voter suppression kupitia Russia na hilo lilisaidia sana.

Lakini pia ni ukweli, Trump alicheza karata ya center right na kukonga nyoyo za independents na Dems
Karata hiyo ndiyo amecheza Biden mwaka huu, ndiyo maana Trump alimhofia tangua mwanzo

Mwaka 2020 hakukuwa na Russia tena, lakini pia incumbent ali expose incompetence yake.
Ilikuwa wazi independents na Dems wangeshinda hasa kwa kuhamasisha Voting block ya weusi, seniors na Veterans .Kuna maeneo Trump alijifunga goli kutokana na kauli zake za hovyo

Watu wa Trump akina Banon wakatumia karata ya kuwagawa Wamarekani.
Kwa upande mwingine ule urangi alioutengeneza Trump ukahamasisha Democrats.
Huo ndio msingi wa kuwa na kura nyingi 2020

Karata ya 'race' ambayo Trump alidhani itamsaidia hakuwa hivyo, kuna mabadiliko ya Demography

Kwa mfano Weupe waliopiga kura 2016 wamepungua 75% hadi 65%. Kwa watu milioni 300, 10% ni kiasi kikubwa

2024 Trump atarudi? Si rahisi na hata akirudi kushinda si rahisi.

Democrats watatumia fursa ya sasa kuanika uozo wake wote uliofichwa na Bill Bar.

Wapambe wake watatoboa siri zote hasa iliyopo nyuma ya Russia.
Lincoln Project tayari ipo kazini, kwanza, ikiwafuta akina Rubio, Ted Cruz na Nicky Haile katika kinyang'anyiro.

Tatizo linaloikabili Republican si sera na wala si kwamba wana sera mbaya, bali kuna conservative wajinga kama akina Ted Cruz wanaopunguza wigo wa wapiga kura.

GOP hakina mvuto kwa vijana hasa wa mijini na watu wa rangi.
Mabadiliko ya demography ni tatizo linaloanza kuonekana na litausumbua sana. Karata ya race inapoteza nguvu

Tusemezane

Can you explain to me what kinds of researches and policies you expect to come out of this that will make the US better than before?
 
Na hapo ndipo naliona tatizo...wapo watu hawajui Marekani imewahi kupitia nyakati ngumu kuliko haya tunayoyashuhudia leo na mara zote ilitoka ikiwa imeimarika zaidi.
Do you think the US is designed to last for eternity? May be are witnessing the beginning of the end. You can't screw out everyday and expect to recover from your mistakes. One day things will catch up with you and you will be gone for good. Just Saying..
 
Do you think the US is designed to last for eternity? May be are witnessing the beginning of the end. You can't screw out everyday and expect to recover from your mistakes. One day things will catch up with you and you will be gone for good. Just Saying..
In spite of all the hullabaloo taking place in the USA right now, a Trump-appointed judge at The U.S. Third Circuit Court has rejected the Trump campaign’s appeal of a federal lawsuit declaring:

"Free, fair elections are the lifeblood of our democracy,"
said the unanimous opinion from a three-judge panel, which was signed by Judge Stephanos Bibas. "Charges of unfairness are serious. But calling an election unfair does not make it so. Charges require specific allegations and then proof. We have neither here."

"Voters, not lawyers, choose the President," the court writes. "Ballots, not briefs, decide elections."

Zakumi, I don't know what you mean by The US being destined to last for eternity but there is one very important fact you are ignoring, the US is a very different nation, in actual fact it is more than just a nation...it has always been a refuge for all people of the world until the Trumps of the world came along. Take a walk any time along the streets of San Francisco, USA and you will have met people from all corners of the globe!
 
In spite of all the hullabaloo taking place in the USA right now, a Trump-appointed judge at The U.S. Third Circuit Court has rejected the Trump campaign’s appeal of a federal lawsuit declaring:

"Free, fair elections are the lifeblood of our democracy,"
said the unanimous opinion from a three-judge panel, which was signed by Judge Stephanos Bibas. "Charges of unfairness are serious. But calling an election unfair does not make it so. Charges require specific allegations and then proof. We have neither here."

"Voters, not lawyers, choose the President," the court writes. "Ballots, not briefs, decide elections."

Zakumi, I don't know what you mean by The US being destined to last for eternity but there is one very important fact you are ignoring, the US is a very different nation, in actual fact it is more than just a nation...it has always been a refuge for all people of the world until the Trumps of the world came along. Take a walk any time along the streets of San Francisco, USA and you will have met people from all corners of the globe!

The debacle in the court rooms shows that Trump isn’t a strategic leader. He thinks whatever worked for him in his business dealings and in 2016 campaign will work for him in 2020. For example, from the beginning, smart people have told him that in a real court you have to present facts and evidence regardless of whether you are right or wrong. He hasn’t listened to that yet. So, I don’t know what he is up to. He looks silly to me.

Now with regard to your last point, I am not one of those individuals who totally rely on the past events or history to predict the future. Yes, it is true that the system of government in the US is very robust and resilient to social and economic challenges. However, I don’t believe that the same system with the same types of people will continue to be effective even in the future. I think, Americans have become complacency and take everything for granted. I say this because the number of votes that Trump garnered is staggering. If Trump is crazy as we try to think, this election wasn’t supposed to be that close. A good number of people voted for him and have embraced Trump’s agenda: America First. However, the same group of people don’t want to invest in areas which would make the country competitive.
 
Do you think the US is designed to last for eternity? May be are witnessing the beginning of the end. You can't screw out everyday and expect to recover from your mistakes. One day things will catch up with you and you will be gone for good. Just Saying..

All nations are designed to last for eternity. Not that I say they will, but they think/wish they will. Hakuna kipengele kwenye katiba ya nchi yoyote ninayoifahamu isemayo "how to dissolve the republic". Granted, sifahamu katiba nyingi, lakini nadhani Marekani inapambania uhai wake. Ikishinda, itakuwa imepata new lease of life. Ikishindwa, it is done. Sasa hapo ni upande upi uko for the republic na upi uko against?

Kambi ya Trump yenyewe inaamini ndio iko kuitetea Jamhuri ya Marekani dhidi ya Globalist Biden.

Kambi ya Biden yenyewe inaamini ndio iko kuitetea Jamhuri ya Marekani dhidi ya Tyrant Trump.

Probably Marekani right now iko kwenye Cold-Civil-War au tuiite Silent-Civil-War? My wish is that it never gets to get to the hot or should we call it loud, Civil War 2.0 phase.


... I think, Americans have become complacency and take everything for granted. I say this because the number of votes that Trump garnered is staggering. If Trump is crazy as we try to think, this election wasn’t supposed to be that close. A good number of people voted for him and have embraced Trump’s agenda: America First....
Trump got more than 10million votes than he got in 2016. He got the most votes than any previous incumbent. If he is indeed Crazy, those who vote for him are the craziest. Trouble with being crazy is that one sees the rest of population as the crazy ones. So, likewise Trump supporters see the other side as being the crazy ones for voting for Biden. That's how polarizing this election has been. Obviously, 99% population of USA is not crazy, at least not with the classical definition of craze. Just that they have differing political opinions.

I wish good luck to the American People in this historical moment.

...

2024 Trump atarudi? Si rahisi na hata akirudi kushinda si rahisi.
...

Tusemezane

Listening to Trump and his supporters, he appears not going anywhere... or should we say, he appears to not want to go anywhere...

There likely shall never be aTrump 2024 campaign. If Biden wins against incumbent Trump in 2020, the out of DC Trump will be waste of time in 2024. If Trump wins this 2020 election, then competing in 2024 would be vying for a third-term...
 
In spite of all the hullabaloo taking place in the USA right now, a Trump-appointed judge at The U.S. Third Circuit Court has rejected the Trump campaign’s appeal of a federal lawsuit declaring:

"Free, fair elections are the lifeblood of our democracy,"
said the unanimous opinion from a three-judge panel, which was signed by Judge Stephanos Bibas. "Charges of unfairness are serious. But calling an election unfair does not make it so. Charges require specific allegations and then proof. We have neither here."

"Voters, not lawyers, choose the President," the court writes. "Ballots, not briefs, decide elections."

Zakumi, I don't know what you mean by The US being destined to last for eternity but there is one very important fact you are ignoring, the US is a very different nation, in actual fact it is more than just a nation...it has always been a refuge for all people of the world until the Trumps of the world came along. Take a walk any time along the streets of San Francisco, USA and you will have met people from all corners of the globe!

Actually, there’s a sort of culture war going on in America. We don’t see it because it hasn’t reached the fever pitch yet or because some of us are acquainted to social justice kind of politics, and we rely heavily on left leaning media outlets such as CNN for our daily dose of information. Therefore, we view Trump and those who voted for him from a very different angle. However, for Americans, in particular poor and working-class white Americas, he is an unlikely cult hero.

They regard him as a hero or one them for one or two reasons. First, they see him as a problem solver who can use his business experience to bring their former glories back on track. So, they overlook other characteristics which are normally ascribed to the president of the US. Second, they see him as the repudiation of the political establishment. By establishment, I mean career politician from both parties who have failed to address the economic decay for the middle-class families.

The use of labels with negative connotations to characterize Trump, his presidency and his supporters doesn’t paint the real picture or help the matter. This is the guy who has just added 10 million votes to his 2016 election tally. So, we can’t just call his supporters the craziest bunch and move on to another item. In fact, if we take a pause and step back to 2008 and 2016, we will find out that some of his supporters voted for Baraka Obama twice or at least once. So, the question one could ask now is what type of conversion these voters have gone through between 2008 and 2020? Additionally, can we say that they were rational voters when they voted for Baraka Obama and become insane when they voted for Trump?
 
Back
Top Bottom