lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Ni matumaini yangu familia ya jf hamjambo! Kila tunapokaribia uchaguzi nchi huingia kwenye Lindi la mauaji makubwa ya albino,watoto na umri mbalimbali.
Unapokwisha uchaguzi na mauaji hukoma.
Hii inatoa tafsiri kuwa wanasiasa wanao kwenda kugombea ni wahusika wakubwa wa mauajibhayo.
Hivyo Watanzania tuwalinde watoto wetu ili wanasiasa wasiwatoe kafara kwaajili ya kupata nyadhifa serikali.
Hawa watu ni mabaya sana, wapo tayari kutoa roho za watu bila woga. Kwakuwa wafanyayo hayo ni wanasiasa,vyombo vya dola hukosa nguvu za kuchukua hatua za makusudi kuwabaini waharifu. Huko njombe watoto kumi wameuawa ikisadikiwa ni imani za kishirikina.nawasirisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokwisha uchaguzi na mauaji hukoma.
Hii inatoa tafsiri kuwa wanasiasa wanao kwenda kugombea ni wahusika wakubwa wa mauajibhayo.
Hivyo Watanzania tuwalinde watoto wetu ili wanasiasa wasiwatoe kafara kwaajili ya kupata nyadhifa serikali.
Hawa watu ni mabaya sana, wapo tayari kutoa roho za watu bila woga. Kwakuwa wafanyayo hayo ni wanasiasa,vyombo vya dola hukosa nguvu za kuchukua hatua za makusudi kuwabaini waharifu. Huko njombe watoto kumi wameuawa ikisadikiwa ni imani za kishirikina.nawasirisha
Sent using Jamii Forums mobile app