The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,415
Najiuliza, je ni mpango maridhawa wa baadhi ya wanao muogopa? Maana majina yaliyokuwa yanahusishwa na kumrithi JPM ni huyu bwana. Mh Majaliwa na Mh Lukuuvi hawa wajanja wawili kukiwa na jambo la kuboronga sana huwa wanakaa kimya si kwa bahati mbaya wanacheza bila kuharibu taswira yao kwa wananchi.
NINI KILIMPA RIDHAA YA JAMII (THE RISE OF JAFFO)
Ni kijana aliyekataa mfumo wa kufanya kazi kwa makiki; yeye alijikita kwenye umakini wa kazi na kufuata taratibu, mwanzo tulijua atapotea ila with time akajijengea BIG BRAND hadi wapinzani kama Zitto wamewahi kum-credit na kiasi cha kuonekana anafaa kuja shika nafasi ya juu kabisa .
THE FALL FOREVER OF JAFFO
Nina uhakika huyu kijana pasipo maagizo kazi ya kuipa ushindi wa wastani CCM kwa forgery za akili likuwa ndogo kwa huyu master mind ila wanasema "Kazi chafu lazima kuwe na wa kuifanya na lazima imchafue"
Kwa sasa ameshachemka, amejikita ku-force ionekane hajaharibu mfano kulazimisha majina ya waliojitoa yawepo why this? ELECTION IS A VOLUNTARY POLITICAL ACTIVITY.
Ubaya wapinzani wanao muda wa kutosha kumuacha uchi. 13 days are enough to make it look like the most foolish election ever on the continent
NAMSHAURI KAMA KAKA YANGU
Kinachomuua chura aliye kwenye sufuria ya maji ya kwenye gesi sio joto kali la maji bali kukazana kupandisha joto la ndani kuendana na la nje hadi inapofikia kugundua joto halitoshuka, anakuwa ametumia nguvu zote kuongeza joto maskini hata nguvu za kuruka hana inabidi aive Wachina wamle. KAKA RUKA RUKAA
NINI KILIMPA RIDHAA YA JAMII (THE RISE OF JAFFO)
Ni kijana aliyekataa mfumo wa kufanya kazi kwa makiki; yeye alijikita kwenye umakini wa kazi na kufuata taratibu, mwanzo tulijua atapotea ila with time akajijengea BIG BRAND hadi wapinzani kama Zitto wamewahi kum-credit na kiasi cha kuonekana anafaa kuja shika nafasi ya juu kabisa .
THE FALL FOREVER OF JAFFO
Nina uhakika huyu kijana pasipo maagizo kazi ya kuipa ushindi wa wastani CCM kwa forgery za akili likuwa ndogo kwa huyu master mind ila wanasema "Kazi chafu lazima kuwe na wa kuifanya na lazima imchafue"
Kwa sasa ameshachemka, amejikita ku-force ionekane hajaharibu mfano kulazimisha majina ya waliojitoa yawepo why this? ELECTION IS A VOLUNTARY POLITICAL ACTIVITY.
Ubaya wapinzani wanao muda wa kutosha kumuacha uchi. 13 days are enough to make it look like the most foolish election ever on the continent
NAMSHAURI KAMA KAKA YANGU
Kinachomuua chura aliye kwenye sufuria ya maji ya kwenye gesi sio joto kali la maji bali kukazana kupandisha joto la ndani kuendana na la nje hadi inapofikia kugundua joto halitoshuka, anakuwa ametumia nguvu zote kuongeza joto maskini hata nguvu za kuruka hana inabidi aive Wachina wamle. KAKA RUKA RUKAA