uchaguzi umepita lakini sio mbaya tukijukumbusha baadhi ya matukio

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
69824_10150291850205475_544155474_15727417_4313365_n.jpg


LOL.
 
Ha ha ha! Ni kama anasema: "T-shirt na kofia zenu ntavaa lakini kura yangu kwa mnyika na CHADEMA" na kweli tunaamini ametenda hivyo, si unamuona Mnyika mjengoni?


Mtaani niliko ilikuwa maarufu sana hii. Siku ya kampeni za JK watu wakaamka asubuhi kwenda kuwahi T-shirt na Kofia na bendera.

Mkutano ulipoisha watu wako ndani ya uzi wa kijani na njano alafu vidole viwili juu. Acha FFU washuke kwenye magari. Mbona watu walitafutana.

Wenyewe wanasema, KODI YETU HII, WOte tunahaki ya kufaudu
 
Mtaani niliko ilikuwa maarufu sana hii. Siku ya kampeni za JK watu wakaamka asubuhi kwenda kuwahi T-shirt na Kofia na bendera.

Mkutano ulipoisha watu wako ndani ya uzi wa kijani na njano alafu vidole viwili juu. Acha FFU washuke kwenye magari. Mbona watu walitafutana.

Wenyewe wanasema, KODI YETU HII, WOte tunahaki ya kufaudu

haswa
 
73097_172543652762270_100000199094899_649978_1273277_n.jpg

picha ya kwenye kampeni. Picha hii imechakachuliwa na CCM ili kuonekane kulikuwa na nyomi kumbe hakuna kitu! CCM noma.
 
Back
Top Bottom