Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
manina walahi, jana kuna mdau alikua kwenye kikao cha halmashauri flani wameambiwa wakimkuta mkulima anapeleka mpunga mashine kukoboa wamtoze ushuru, baada yapo wamsubiri tena akiwa anaupeleka huo mchele kuuza au kwenye ghala wamtoze tena ushuru.
wameelekezwa wakikutana na mama na karai la parachichi au hata mkungu mmoja wa ndizi anapeleka sokoni wamtoze ushuru, akifika tena sokoni wamtoze ushuru wa soko.
Wameambiwa wapite mpaka site zote wakachukue ushuru wa mchanga, mawe na kokoto bila kujali kuwa vilishalipiwa kwenye vizuizi.
Yote haya ni kwasababu wahisani wameondoa misaada ya kibajeti na mengineyo kwasababu CCM na mbuzi kama mleta mada walishiriki kuiba kura.
Inshort aliyepoteza kwenye uchaguzi wa October 28 sio Chadema bali ni bibi yako huko namtumbo.
NB:
Kama kuna mtu anamjua mtumishi yoyote wa Halmashauri yoyote amuulize target ya makusanyo mwaka huu waliyopewa na mbinu walizoelekezwa kukusanya ushuru.
Mi5 tena.
wameelekezwa wakikutana na mama na karai la parachichi au hata mkungu mmoja wa ndizi anapeleka sokoni wamtoze ushuru, akifika tena sokoni wamtoze ushuru wa soko.
Wameambiwa wapite mpaka site zote wakachukue ushuru wa mchanga, mawe na kokoto bila kujali kuwa vilishalipiwa kwenye vizuizi.
Yote haya ni kwasababu wahisani wameondoa misaada ya kibajeti na mengineyo kwasababu CCM na mbuzi kama mleta mada walishiriki kuiba kura.
Inshort aliyepoteza kwenye uchaguzi wa October 28 sio Chadema bali ni bibi yako huko namtumbo.
NB:
Kama kuna mtu anamjua mtumishi yoyote wa Halmashauri yoyote amuulize target ya makusanyo mwaka huu waliyopewa na mbinu walizoelekezwa kukusanya ushuru.
Mi5 tena.