guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Sioni wapi kitu cha kubadilisha ushindi wa CCM
Sioni kipi cha kufanya CHADEMA kushinda zaidi ya viti vitano vya ubunge ukiacha labda Prof Jay kule Mikumi.
Sijaona mtu wa kumtingisha JPM(Mungu Amweke Salama-M.A.S)
Sijaona mtu wa kumtingisha Mama Tanzania kule Vunjo-Mhe Mrema keshaning'ata sikio kuwa na kampeni atampigia Mama Tanzania
Laiti kama Lowassa asingeivunja mkono Nguvu ya Umma mwaka 2015 leo nisingekuwa nayàandika haya.
Lile Katazo la watu kutokuingia barabarani kudai ushindi pamoja Mbogwe kuuahirisha OP ya UKUTA ndiyo vilikuwa kaburi la Upinzani.
Ila nina uhakika na haya.
As long as John Pombe Joseph Magufuli(Mungu Amweke Salama-M.A.S) yupo sijaona cha kubadilisha nilichokiandika hapa
Amina.
Sioni kipi cha kufanya CHADEMA kushinda zaidi ya viti vitano vya ubunge ukiacha labda Prof Jay kule Mikumi.
Sijaona mtu wa kumtingisha JPM(Mungu Amweke Salama-M.A.S)
Sijaona mtu wa kumtingisha Mama Tanzania kule Vunjo-Mhe Mrema keshaning'ata sikio kuwa na kampeni atampigia Mama Tanzania
Laiti kama Lowassa asingeivunja mkono Nguvu ya Umma mwaka 2015 leo nisingekuwa nayàandika haya.
Lile Katazo la watu kutokuingia barabarani kudai ushindi pamoja Mbogwe kuuahirisha OP ya UKUTA ndiyo vilikuwa kaburi la Upinzani.
Ila nina uhakika na haya.
As long as John Pombe Joseph Magufuli(Mungu Amweke Salama-M.A.S) yupo sijaona cha kubadilisha nilichokiandika hapa
Amina.