Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kama mambo yanaenda jinsi yanavyoenda hasa kuelekea hizi siku chache za mwisho za uchaguzi kuna dalili za kutaka kusitisha uchaguzi huo mdogo hadi hali ya "usalama na utulivu" itakapotengemaa.
Hili linawezekana kutokea kwa mujibu wa "ka nzi" baada ya safu ya viongozi wa upinzani kuwasili na CCM na serikali yake kupima mwelekeo wa ushindi huko Tarime.
Kama kutatokea jambo lolote ambalo litasababisha vurugu kwa viongozi wa CCM au kuharibu mikutano ya kampeni yao basi uchaguzi utaahirishwa. Lakini the tipping point itakuwa ni kipimo kuwa CCM itashindwa kwa asilimia 60 na hilo halikubaliki kwao.
Vyanzo hivyo vinadokeza kuwa kama uamuzi wa kusitisha uchaguzi hautatolewa within the next 8 days (hadi Jumatano ijayo) basi uchaguzi utaendelea. Vinginevyo tuangalie siku hizi chache hadi Jumapili kwa habari za kushtua kutoka Tarime zitakazosababisha uchaguzi kusitishwa kwa muda na kupangiwa siku nyingine.
Hili linawezekana kutokea kwa mujibu wa "ka nzi" baada ya safu ya viongozi wa upinzani kuwasili na CCM na serikali yake kupima mwelekeo wa ushindi huko Tarime.
Kama kutatokea jambo lolote ambalo litasababisha vurugu kwa viongozi wa CCM au kuharibu mikutano ya kampeni yao basi uchaguzi utaahirishwa. Lakini the tipping point itakuwa ni kipimo kuwa CCM itashindwa kwa asilimia 60 na hilo halikubaliki kwao.
Vyanzo hivyo vinadokeza kuwa kama uamuzi wa kusitisha uchaguzi hautatolewa within the next 8 days (hadi Jumatano ijayo) basi uchaguzi utaendelea. Vinginevyo tuangalie siku hizi chache hadi Jumapili kwa habari za kushtua kutoka Tarime zitakazosababisha uchaguzi kusitishwa kwa muda na kupangiwa siku nyingine.