Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Haihitajiki idadi ya wabunge CCM kuondoka madarakani, unafikiri walioondoka ilikuwa idadi ya wabunge?
Unachotakiwa kuelewa tu ni kwamba CCM kuna kundi kubwa la wajinga na ukitaka kuthibitisha angalia Rais anavyohangaika kuwabadilisha na amekiri mwenyewe kuwa bado.
Ujinga ninaouzungumzia hapa ni kile kitendo cha kukosa ujasiri wa kusema ukweli, na kitendo hicho ndio kimeliacha jeshi letu la polisi kutumia nguvu nyingi mno na pia malizia kuangalia wasimamizi wa mchakato wa uchaguzi walivyovurunda mpaka kuiacha tume kuhangaika na rufaa kibao. Sasa kwa ushahidi huo unataka nini kuamini wengi wenu ni wajinga na ujinga una mwisho na unakuja.
Kumbe niko nabishana na tahira hapa. Iam off!
 
Kumbe niko nabishana na tahira hapa. Iam off!
Wapi nabishana na wewe? Huo muda wa kubishana na mlemavu wa akili naupata wapi?
Wewe ndio umekurupuka kuja kujibu, sasa taahira ni nani hapa? Kwanza umeanza kuamini kila anayeipinga CCM ni upinzani ndio maana nikasema CCM kuna wajinga wengi ukiwa mmojawapo.
 
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi.

Kama Kuna mtu anawaza hivo na anamanisha na ana amini Mawazo yake hayo yanaweza kuwa uhalisia, basi huyo ana tatizo kubwa sana kifikira.

Uchaguzi huu CDM iliyopalaganyika ikiwa inamtegemea mtu mmoja inakwenda kupambana na:
1. Rais Magufuli
2.Chama Cha Mapinduzi.
3.Watanzania

1.Rais Magufuli
Rais Magufuli tangu aingie Madarakani amekuwa akifanya baadhi ya Mambo ambayo yanakuwa reflected Kama ya kwake.Hali hii imemfanya pengine awe maarufu kuliko hata Chama chake. Magufuli amejijengea ufalme wake ndani ya mioyo ya Watanzania, siyo lazima akubalike na wote na hakuna anayetegemea iwe hivo, lakini ukweli umaarufu wake unamfanya yeye Kama yeye apate kura ambazo atapigiwa yeye Kama Magufuli, na nyingi ni zile za wasio na Chama.

Hizi kelele za mitandaoni dhidi ya JPM ukizifatilia ni za wale wale, hata thread humu ukiangalia wale wale ndio wanakoment, lakini waulize je Mama zao, Dada zao, wajomba zao, shangazi zao, Babu zao na Bibi zao wanaijua Facebook, wanaijua JF, wanaijua tweeter au Instagram. Jibu wanalo, je hoja ya Uhuru na maendeleo ya vitu inaeleweka kwa Hawa watu. Mtu ambaye hakuwahi kuona umeme( sizungumzii Maria Sarungi Wala Fatuma Katume, na Hawa hawafiki hata 5000) leo kauona umeme unaweza kumueleza asimchague Magufuli eti kwakuwa amemnyima Uhuru wakati anaenda kanisani, anapiga simu, anaenda sokoni anaenda shambani Bila wasiwasi akakuelewa?.

2. Chama Cha Mapinduzi
Dubwasha linalotisha, Dude hatari Barani Africa, dude ambalo Lina historia ya kuwaweka viongozi kadhaa wa Afrika Madarakani. Hili dude Lina vichwa, Lina Consultants, lina rasilimali watu na fedha za kutosha, Lina uzoefu wa kutosha katika anga hii ya siasa. Halafu Kuna mtu anawaza linaweza kushindwa na mtu anaitwa Tundu Lissu.

Hebu angalia muundo was CCM kuanzia hapo kwenye mtaa unaoishi, angalia kwa sasa kwenye eneo lako la nyumbani kumi muundo wa CCM, angalia WanaCCM hao katika muundo huo katika eneo Hilo la nyumba kumi walivyojipanga na wanavyoendelea kuzisanya kura kwa ajiri ya CCM. Sasa unaona, Kuna kura za Magufuli ambazo atazipata yeye na kura ambazo Chama Cha Mapinduzi kitazipata. Hali hii iliwahi kutokea mwaka 2005 ambapo Jakaya Mrisho Kikwete yeye Kama yeye alipigiwa kura na CCM nayo ikapata kura zilivyounganishwa mkwere akapiga 80%. Lakini 2010 watu wakawa hawana hamu naye, lakini Chama Cha Mapinduzi kikamtafutia kura. Akapiga 61% Kama sikosei, hizi zilikuwa za Chama.

Najua wengi mmejaa kwenye Social Media, hamupo field, hamuoni huo muundo ulivyo hatari. CDM is no where, katika level hizi, CDM ipo mgongoni kwa Lissu. Upande mwingine Kuna CCM Kuna Magufuli na Kuna CCM.

Sasa ukiangalia hali ilivo Sasa unaona kabisa atapigiwa parefu, lakini bahati mbaya hata upande wa Wabunge Mambo ni magumu mno. Majimbo ambayo siku za nyuma yalikuwa ni hoja isiyobishaniwa Sasa mwaka huu ni hoja nzito, Pale Mbeya Sugu amekamatwa Ke....nde, na Dr. Tulia, Lema ameshikwa Pu....bu, na Gambo, hapo Arusha, Mbowe jasho linatirtika hadi kwenye meno, Mzee wa Kondoo wa bwana anapumulia Kisogo Cha Halima. CDM ni Kama wapo kwenye furushi ambalo tarehe 28 linadondoka.

3. Watanzania
Sisi tunayo Kariba ambayo tumejengewa na Mzee Baba mwenyewe, Mchonga, Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere. Ni Kariba ambayo unaweza iita utakavyo kulinga a na muono wako, Njema sana, Mbaya, woga, au uungwana.

Watanzania tunapenda Amani Bila kujali gharama yake, Watanzania ni wavumilivu bila kujali gharama, Watanzania tunapenda uungwana sana, hatupendi Shari, lakini mbaya zaidi tunayo Imani Kali kuwa Mabeberu ni watu hatari, na watu wabaya sana. Lakini sisi ni wanafiki, Watanzania ukiwa na sisi tutakueleza hivi, ukitoka tunafanya tofauti, Tunakutanguliza halafu tunasikilizia, upepo ukibadilika tunaingia mitini!

Watanzania ukishaonyesha dalili za ushari, dalili za kuleta uvunjifu wa Amani au ukajinasibisha na Mababeru, au ukasingiziwa Mambo hayo, basi sisi Watanzania tunachofanya, tunakukwepa.

Tarehe 28 Watanzania bila kujali gharama, bila kujari Lissu anaahidi nini Watamkwepa, watajiepusha naye.
Msisahau hapa sijazungumzia swala la CCM kuwa Chama Dora!!

Nimevaa ngao🤣🤣🤣
Si mlisema upinzani umekufa, naomba comment yako!
 
Si mlisema upinzani umekufa, naomba comment yako!
Kuna sehemu nimesema upo hai kwani!? Read me btn lines Mzee wangu. Wewe hivo vituko vinavyoendelea huko vinakupa picha ipi!?
Anyways nashukuru kwa kufika kwako kwenye Uzi wangu maana si kawaida yako Uzi wangu kupita bila wewe kutia neno, teh teh teh teh
 
Kwa hiyo mishahara ya waalomu na mafao ya wazee yataongezwa
Ndiyo kiongozi, Mhe.JPM ameahidi baada ya kuweka sawa msingi sasa anakuja na ustawi wa wananchi! Kwanza ilikuwa kukuza uwezo wa Serikali, miundombinu ya kimkakati , huduma za msingi za jamii ikiwemo afya, elimu, maji nk. Sasa ni kujenga juu ya hayo mfano Bima za Afya, mafao, madawa na vifaa tiba (ndani ya hospitali siyo kwenye mwembe) nk
 
Anzisha wewe tuone unapata ngapi. Wewe si unasema Mimi nimekurupukia komenti yako, kumbe hujui wewe ndiye umekurupukia Uzi wangu. Mikumi Oyeee
Yaani unaona kuazisha uzi nako ni jambo la maana sana? Aisee kweli vita ya ujinga bado ni ngumu mno.
 
SABABU 31 ZA KUMKATAA MAGUFULI 28 OKTOBA 2020:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8. Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. Kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai

28. Ni mwongo kupindukia – mwaka 2015 wakati anaomba kura aliongopa mengi km kumpa kila mwalimu kompyuta, kukipa kila Kijiji milioni 50 nk. Leo hii tunaingia uchaguzi mwingine, hajatimiza hayo na anaahidi mapya bila aibu.

29. Kudhalilisha akina mama kwenye majukwaa yake ya kisiasa

30. Kula rambirambi za wahanga wa majanga. Rais anayekula rambirambi zilizotolewa na watu mbalimbali ikiwemo nchi rafiki hatufai Watanzania.

31. Kuwakana Watanzania waliopata majanga km Wanakagera wakati wa tetemeko la ardhi.



Kuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi.

Kama Kuna mtu anawaza hivo na anamanisha na ana amini Mawazo yake hayo yanaweza kuwa uhalisia, basi huyo ana tatizo kubwa sana kifikira.

Uchaguzi huu CDM iliyopalaganyika ikiwa inamtegemea mtu mmoja inakwenda kupambana na:
1. Rais Magufuli
2.Chama Cha Mapinduzi.
3.Watanzania

1.Rais Magufuli
Rais Magufuli tangu aingie Madarakani amekuwa akifanya baadhi ya Mambo ambayo yanakuwa reflected Kama ya kwake.Hali hii imemfanya pengine awe maarufu kuliko hata Chama chake. Magufuli amejijengea ufalme wake ndani ya mioyo ya Watanzania, siyo lazima akubalike na wote na hakuna anayetegemea iwe hivo, lakini ukweli umaarufu wake unamfanya yeye Kama yeye apate kura ambazo atapigiwa yeye Kama Magufuli, na nyingi ni zile za wasio na Chama.

Hizi kelele za mitandaoni dhidi ya JPM ukizifatilia ni za wale wale, hata thread humu ukiangalia wale wale ndio wanakoment, lakini waulize je Mama zao, Dada zao, wajomba zao, shangazi zao, Babu zao na Bibi zao wanaijua Facebook, wanaijua JF, wanaijua tweeter au Instagram. Jibu wanalo, je hoja ya Uhuru na maendeleo ya vitu inaeleweka kwa Hawa watu. Mtu ambaye hakuwahi kuona umeme( sizungumzii Maria Sarungi Wala Fatuma Katume, na Hawa hawafiki hata 5000) leo kauona umeme unaweza kumueleza asimchague Magufuli eti kwakuwa amemnyima Uhuru wakati anaenda kanisani, anapiga simu, anaenda sokoni anaenda shambani Bila wasiwasi akakuelewa?.

2. Chama Cha Mapinduzi
Dubwasha linalotisha, Dude hatari Barani Africa, dude ambalo Lina historia ya kuwaweka viongozi kadhaa wa Afrika Madarakani. Hili dude Lina vichwa, Lina Consultants, lina rasilimali watu na fedha za kutosha, Lina uzoefu wa kutosha katika anga hii ya siasa. Halafu Kuna mtu anawaza linaweza kushindwa na mtu anaitwa Tundu Lissu.

Hebu angalia muundo was CCM kuanzia hapo kwenye mtaa unaoishi, angalia kwa sasa kwenye eneo lako la nyumbani kumi muundo wa CCM, angalia WanaCCM hao katika muundo huo katika eneo Hilo la nyumba kumi walivyojipanga na wanavyoendelea kuzisanya kura kwa ajiri ya CCM. Sasa unaona, Kuna kura za Magufuli ambazo atazipata yeye na kura ambazo Chama Cha Mapinduzi kitazipata. Hali hii iliwahi kutokea mwaka 2005 ambapo Jakaya Mrisho Kikwete yeye Kama yeye alipigiwa kura na CCM nayo ikapata kura zilivyounganishwa mkwere akapiga 80%. Lakini 2010 watu wakawa hawana hamu naye, lakini Chama Cha Mapinduzi kikamtafutia kura. Akapiga 61% Kama sikosei, hizi zilikuwa za Chama.

Najua wengi mmejaa kwenye Social Media, hamupo field, hamuoni huo muundo ulivyo hatari. CDM is no where, katika level hizi, CDM ipo mgongoni kwa Lissu. Upande mwingine Kuna CCM Kuna Magufuli na Kuna CCM.

Sasa ukiangalia hali ilivo Sasa unaona kabisa atapigiwa parefu, lakini bahati mbaya hata upande wa Wabunge Mambo ni magumu mno. Majimbo ambayo siku za nyuma yalikuwa ni hoja isiyobishaniwa Sasa mwaka huu ni hoja nzito, Pale Mbeya Sugu amekamatwa Ke....nde, na Dr. Tulia, Lema ameshikwa Pu....bu, na Gambo, hapo Arusha, Mbowe jasho linatirtika hadi kwenye meno, Mzee wa Kondoo wa bwana anapumulia Kisogo Cha Halima. CDM ni Kama wapo kwenye furushi ambalo tarehe 28 linadondoka.

3. Watanzania
Sisi tunayo Kariba ambayo tumejengewa na Mzee Baba mwenyewe, Mchonga, Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere. Ni Kariba ambayo unaweza iita utakavyo kulinga a na muono wako, Njema sana, Mbaya, woga, au uungwana.

Watanzania tunapenda Amani Bila kujali gharama yake, Watanzania ni wavumilivu bila kujali gharama, Watanzania tunapenda uungwana sana, hatupendi Shari, lakini mbaya zaidi tunayo Imani Kali kuwa Mabeberu ni watu hatari, na watu wabaya sana. Lakini sisi ni wanafiki, Watanzania ukiwa na sisi tutakueleza hivi, ukitoka tunafanya tofauti, Tunakutanguliza halafu tunasikilizia, upepo ukibadilika tunaingia mitini!

Watanzania ukishaonyesha dalili za ushari, dalili za kuleta uvunjifu wa Amani au ukajinasibisha na Mababeru, au ukasingiziwa Mambo hayo, basi sisi Watanzania tunachofanya, tunakukwepa.

Tarehe 28 Watanzania bila kujali gharama, bila kujari Lissu anaahidi nini Watamkwepa, watajiepusha naye.
Msisahau hapa sijazungumzia swala la CCM kuwa Chama Dora!!

Nimevaa ngao🤣🤣🤣
 
Serious lissu alikosea hesabu kumtanguliza amsterdam na the hague kwenye hii battle, wengi tunamchukulia kama dalali wao kwetu
Kweli kabisa! Hata kutembea Nchi mbalimbali kuomba zisiisaidie Tanzania ikiwemo Marekani, kutuhadaa kuwa hatutashinda vita vya kutetea raslimali za Taifa kama madini ,makeniakia wakati juma hili tumepata gawio, kupinga kila kitu wakati anapita kwenye lami, kutumia umeme, ndege, viwanja nk vilivyojengwa na Serikali za CCM. kwa ujumla anatumika na mabeberu ili tusishinde vita vya kiuchumi. Lissu na chama chake walitaka tujifungie (lockdown ya COVID-19) ili uchumi wetu uanguke ashinde kirahisi.Ningemuelewa angeacha kupiga kampeni akatumia mitandao ili kuepuka maambukizi ya COVID-19. Kwa ujumla hawaishi wanayoyaamini na kuhubiri!
 
Bora sema wewe, tukisema sisi, tutanyooshewa vidole vya Makada!.
P
Acha waendelee kujipa moyo mkuu ila ndani ya nafsi zao wanajua fika hawataing'oa ccm madarakani, ndio maana mgombea wao ana tiketi ya ndege trh 30 oct. Kaja kuvuruga aman kisha asepe zake majuu atuachie majanga lkn hilo halitatokea kamwe!
 
Haihitajiki idadi ya wabunge CCM kuondoka madarakani, unafikiri walioondoka ilikuwa idadi ya wabunge?
Unachotakiwa kuelewa tu ni kwamba CCM kuna kundi kubwa la wajinga na ukitaka kuthibitisha angalia Rais anavyohangaika kuwabadilisha na amekiri mwenyewe kuwa bado.
Ujinga ninaouzungumzia hapa ni kile kitendo cha kukosa ujasiri wa kusema ukweli, na kitendo hicho ndio kimeliacha jeshi letu la polisi kutumia nguvu nyingi mno na pia malizia kuangalia wasimamizi wa mchakato wa uchaguzi walivyovurunda mpaka kuiacha tume kuhangaika na rufaa kibao. Sasa kwa ushahidi huo unataka nini kuamini wengi wenu ni wajinga na ujinga una mwisho na unakuja.

Wajinga kama werevu, hakuna siku wataisha. Kama ilivyo kwa chochote kizuri mungu huwa hatoi kwa wengi, na hii ni dunia yote na kila wakati.
 
Watanzania wa wapi unawasemea? au watanzania wako binafsi hapo ulipo? Tambua kuwa huu ni mwaka 2020 tayari watanzania wametaabika kwa mateso manyanyaso makubwa wana machungu hasira kubwa hawataki kusikia history za huko nyuma wanakuja kivingine kabsa kusaka Haki na uhuru toka kwa Mkoloni kaburu mweusi
Acha uongo, mimi na familia yangu ni watz na tutamchagua anko magu hatutaki ujinga
 
Ndiyo kiongozi, Mhe.JPM ameahidi baada ya kuweka sawa msingi sasa anakuja na ustawi wa wananchi! Kwanza ilikuwa kukuza uwezo wa Serikali, miundombinu ya kimkakati , huduma za msingi za jamii ikiwemo afya, elimu, maji nk. Sasa ni kujenga juu ya hayo mfano Bima za Afya, mafao, madawa na vifaa tiba (ndani ya hospitali siyo kwenye mwembe) nk
Vipi kuhusu haki uhuru na demokrasia?
 
Acha waendelee kujipa moyo mkuu ila ndani ya nafsi zao wanajua fika hawataing'oa ccm madarakani, ndio maana mgombea wao ana tiketi ya ndege trh 30 oct. Kaja kuvuruga aman kisha asepe zake majuu atuachie majanga lkn hilo halitatokea kamwe!
Teh teh teh, na hizi ndoto huwa wanazo kila Uchaguzi tangu 2010
 
Atapita JPM na wabunge wote watakuwa wa CCM.
Huku tukisuburi maendeleo makubwa mno..baada ya hapo tutamwongezea tena mitano 2025.Kwanini tupate shida maisha mepesi haya.
 
Hatutaki Rais dikteta ,sauti za wananchi kuzizima, bunge letu kuwa kibogoyo, Radio zote kutangaza habari za ccm,magazeti yote kutangaza habari za ccm,watu kupigwa risasi ovyo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa ,kulagai wakulima kuwa nitanunua mazao lakini ndio kwanza mazao yamekufa, korosho hola, alizeti hola, mpunga hola, kahawa hola biashara nyingi zimefungwa sasa serikali ya namna hii ni ya nini huyu ni Idd Amini wa Tanzania hafai hata kwa kulumagia
Mbona alidhihirisha kuviogopa kwa kuvinyima uhuru wa kujijenga. Sasa kamasi zitamtoka
 
Back
Top Bottom