kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,904
- Thread starter
- #241
Kumbe niko nabishana na tahira hapa. Iam off!Haihitajiki idadi ya wabunge CCM kuondoka madarakani, unafikiri walioondoka ilikuwa idadi ya wabunge?
Unachotakiwa kuelewa tu ni kwamba CCM kuna kundi kubwa la wajinga na ukitaka kuthibitisha angalia Rais anavyohangaika kuwabadilisha na amekiri mwenyewe kuwa bado.
Ujinga ninaouzungumzia hapa ni kile kitendo cha kukosa ujasiri wa kusema ukweli, na kitendo hicho ndio kimeliacha jeshi letu la polisi kutumia nguvu nyingi mno na pia malizia kuangalia wasimamizi wa mchakato wa uchaguzi walivyovurunda mpaka kuiacha tume kuhangaika na rufaa kibao. Sasa kwa ushahidi huo unataka nini kuamini wengi wenu ni wajinga na ujinga una mwisho na unakuja.