Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,434
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe kwa Waandishi wa Habari, kwamba anatishiwa kuondolewa uhai wake kwa kuomba Uongozi wa Simba.
Sasa tunajiuliza hapa Simba pana nini hadi watu waanze kutaka kuwaua wenzao?
Sasa tunajiuliza hapa Simba pana nini hadi watu waanze kutaka kuwaua wenzao?