Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,129
- 18,743
Ukiangalia mchakato mzima na mambo yaliyotokea kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa, ni wazi kwamba ushindi wa uchaguzi wa serikali za mitaa ni ushindi ambao mwanachama yeyote wa CCM mwenye akili timamu na busara atapaswa kuuonea aibu badala ya kuushangilia.Na hata zaidi, kuna maeneo ya uchaguzi ambayo ushindi huo unapaswa kukemewa na wanaCCM wenyewe kabla ya watu wengine.
Sasa swali la kujiuliza ni kwamba, kuna wanachama wangapi wa CCM ambao ni watu wenye akili timamu na busara? Sasa hilo litakuwa wazi matokeo ya uchaguzi yatakapotangazwa
Sasa swali la kujiuliza ni kwamba, kuna wanachama wangapi wa CCM ambao ni watu wenye akili timamu na busara? Sasa hilo litakuwa wazi matokeo ya uchaguzi yatakapotangazwa