Acha uongo
Mkoani ruvuma, wilayani mbinga kijiji cha lukanzauti, mwenyekiti ccm 325, cdm 180! Kwa hiyo ccm waibuka washindi!
mkoa gani mkuu
[font=arial
black]chadema ... Poleeeeeeeeeeeeeeeeeees...
Hapa sengerema mjini ccm wameshinda mitaa 4 na chadema wameshinda mitaa zaidi ya mitaa 20
CCM 8, ACT 8, CHADEMA 2 and ADC 1 ndio matokeo ya Mji Mdogo wa Mwandiga. Ili kupata Meya inabidi CHADEMA na ADC waunge mkono ACT. Je CHADEMA watapiga kura na ACT?
Wasengerema watu wa ajabu sana!Hapa sengerema mjini ccm wameshinda mitaa 4 na chadema wameshinda mitaa zaidi ya mitaa 20
bora wewe ni mkweli
viva ukawa! viva chadema. mpaka sasa morogoro kata ya kilakala chadema imeshinda mitaa 6. diwani alisema kama chadema watachukua mtaa mmoja ataachia ngazi. tunasubiri ajing'atue.