TANZANIA LEO
Member
- Jun 21, 2013
- 91
- 10
Du! hii imekaa sawa inatakiwa hii iwe nchi nzima
Mkuu kimara gani hyo?
Habari wakuu,
Kama tunavyofahamu leo ni siku ya upigaji kura kwa ajili ya kuwapata viongozi wetu kwa ngazi ya serikali za mitaa Tanzania Bara, Muda si mrefu tutaingia kwenye awamu ya pili ya utangazaji matokeo baada upigaji kura, tutasaidiana hapa kukusanya matokeo kadri yanavyotolewa.
Kuanzia saa 10:15 alasiri matokeo yanaanza kutangazwa kwa sehemu ambazo wagombea wamepita bila kupingwa.
=====================
engmtolera unaweza kudhibitisha hii kitu...!?
i chadema bado sana taarifa kutoka igunga. Kata igunga mjini inayoongozwa na chadema ccm vitongoji na mitaa 11 chadema 5,kata ya kinungu inayoongozwa na chedema CCM vitongoji 8 cjadema 1.vijiji vyote ccm.kata ya mbutu chadema kijiji 1 ccm 5 vitongoji vyote ccm.Kata ya kitangiri CCM vitongoji 18 chadema 2 vijiji vyote vitatu CCM.hakika CCM kuiangusha ni karne nyingi jamani looooohJ
Hahahaha usidanganye kata INA mitaa na vitongoji 1y CCM 11 chadema t.Mbutu chadema imepata vitongoji sifuri kijiji kizima ambacho diwani wake no wa chadema
Matokeo ya JF ukiyafuatilia sana unaweza kupata ugonjwa wa moyo
Wewe inakuhusu nini, issue ni Magamba chaliiMbona sisikii vyama washirika wa ukawa vikishinda tofauti na chadema?
Kata ya Msigani; Mtaa wa Malambamawili
CHADEMA 608
CCM 482
Monduli; Kitongoji Kambi ya Mkaa
CHADEMA 27
CCM 13
Mwanga Mtaa wa Lwami;
CHADEMA 55
CCM 35
Arumeru Magh. Kitongoji Endulele
CHADEMA 170
CCM 130
Ushirombo mjini;
CHADEMA inaongoza vitongoji 10
CCM inaongoza vitongoji 4
Moshi Manispaa; Kitongoji Longuo A
CHADEMA 206
CCM 66
Mbozi Mtaa wa Mbugani
CHADEMA 227
CCM 160
Mbozi; Mtaa Masaki
CHADEMA 99
CCM 44
Kigoma Mjini; Mtaa wa Gezaulole
CHADEMA 240
CCM 198
Ukonga- Mtaa wa Kivule Majohe
CHADEMA 231
CCM 77
Musoma Vijijini- Kijiji cha Muhoji
CHADEMA 197
CCM 464
Ubungo- Mtaa wa Msewe
CHADEMA 683
CCM 356
Kinondoni- Mwenge Nzasa
CHADEMA 344
CCM 318
Tarime Forodhani boda (kitongoji)
CHADEMA 289
CCM 90
Tarime Forodhani Kijiji
CHADEMA 312
CCM 99
Monduli Mto wa Mbu Kijiji Jangwani
CHADEMA 147
CCM 124
Mwanga Kitongoji Mgagao
CHADEMA 56
CCM 32
Rorya- Mtaa Ngasaro
CHADEMA 480
CCM 360
Arumeru Mash. Mtaa wa Manyata
CHADEMA 168
CCM 91
Ubungo- Mbezi Yusuph
CHADEMA 190
CCM 163
Mwanga- Mtaa Mtahang'a
CHADEMA 116
CCM 73
Ilemela- Mtaa wa Pasiansi
CHADEMA 689
CCM 247
Karatu- Mtaa Mazingira
CHADEMA 290
CCM 130
Karatu Mtaa wa Maliasili
CHADEMA 240
CCM 77
Karatu- Mtaa wa Manyara
CHADEMA 220
CCM 170
Tarime Mtaa wa Bugosi
CHADEMA 438
CCM 138
Tarime Mtaa wa Regoryo
CHADEMA 191
CCM 75
Segerea Mtaa wa Migombani
CHADEMA 547
CCM 225
Mamlaka ya Mji mdogo Shirati-Rorya ina mitaa 9
CHADEMA mitaa 7
CCM mitaa 2
Mererani mitaa 8
CHADEMA mitaa 7
CCM mtaa 1