Katika hali isiyo ya kawaida na nimeona ni tofauti sana na vijiji vingi ambapo CHADEMA wamesimamisha wagombea CCM wamechanganyikiwa ni baada ya mpango wao wa kutumia hoja ya udini kuwekwa wazi na kiongozi mmoja wa dini na kuchangiwa pesa nyingi na wanakijiji hao.(sikupata kujua ni jumla shilingi ngapi maana sherehe ziliendelea Mara baada ya kiongozi huyo kumaliza kwa kumnadi mgombea was CHADEMA).
Ni katika kijiji cha Mwakizega wilaya mpya ya Uvinza Jimbo la Kigoma kusini. Mazishi yamemalizika kwa wanaCCM kugona katika hali ya umati.
Hapa matokeo hayahitaji saa kumi jioni ni saa 4 asubuhi tu!!! Tutawajuza...
Unaweza kusema lolote kama hii imetokea mahali ulipohitimisha kampeni zako ama hiii ni ya kipekee!?
NB: Mgombea hapa ni mjeda mstaafu anakubalika sana pamoja na wajumbe wake!!!
Ni katika kijiji cha Mwakizega wilaya mpya ya Uvinza Jimbo la Kigoma kusini. Mazishi yamemalizika kwa wanaCCM kugona katika hali ya umati.
Hapa matokeo hayahitaji saa kumi jioni ni saa 4 asubuhi tu!!! Tutawajuza...
Unaweza kusema lolote kama hii imetokea mahali ulipohitimisha kampeni zako ama hiii ni ya kipekee!?
NB: Mgombea hapa ni mjeda mstaafu anakubalika sana pamoja na wajumbe wake!!!