Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,807
- 11,969
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa upinzani wameondolewa na CCM wote kupitishwa
Ruangwa, Lindi: wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa. Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
Mtaa wa Jitegemee kata ya Mabibo Maelekezo ya Kitowateuwa Wagombea wetu wa ACT Wazalendo na Vyama Vyengine Vya Upinzani kwa Nafasi zote na Kuwapitisha CCM peke yao
Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara kwa Wagombea Wote ACT Wazalendo na Chadema Wamekatwa na Msimamizi kutekeleza Maagizo
CCM kimepita bila kupingwa katika vijiji 12 kati ya 62 na vitongoji 110 kati ya 294 vya jimbo la Hai baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kutochukua fomu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, Juma Masatu Kasoga amesema.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa upinzani wameondolewa na CCM wote kupitishwa
Ruangwa, Lindi: wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa. Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
Mtaa wa Jitegemee kata ya Mabibo Maelekezo ya Kitowateuwa Wagombea wetu wa ACT Wazalendo na Vyama Vyengine Vya Upinzani kwa Nafasi zote na Kuwapitisha CCM peke yao
Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara kwa Wagombea Wote ACT Wazalendo na Chadema Wamekatwa na Msimamizi kutekeleza Maagizo
CCM kimepita bila kupingwa katika vijiji 12 kati ya 62 na vitongoji 110 kati ya 294 vya jimbo la Hai baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kutochukua fomu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, Juma Masatu Kasoga amesema.