Analyses ni nyingi lakini naamini kwa umri wa CCM hawakustahili kuwa na viongozi wa ubora wa chini kiasi hiki. Hapa tatizo hata siyo Jafo au Magufuli. NI huko chini wanaotafuta kumpa furaha rais. Wanajikuta wanafanya mambo kama ya kindergarten.
Ni watu ambao ukiwatupia kamba hawawezi hata kujinyonga.
Ni watu ambao ukiwatupia kamba hawawezi hata kujinyonga.