Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Mmezidi unyonge wacha muondolewe akili zikae sawa...Mlionywa na kigogo2014 mapema.
Milioni 6 ni kwa mujibu wa chumba kimoja pale MASAKIKama hawakujitokeza kugombea inaweza kuwa haina tatizo. Lakini kama wamegombea na wamezuiwa hapo kuna kitu watu wanataka kukiona. Najaribu kujiuliza wale watu milioni 6 na point waliochagua wapinzani walienda wapi? Kama bado wapo hai naogopa sana.
Kuthibitisha kwamba hakuna wapinzani ni kuruhusu uchaguzi huru na kuwashinda , hili mnalolifanya litaleta vitaUchaguzi huu utathibitisha ukweli kuwa Tanzania haina wapinzani na hawa waliopo ni Wajasiriasiasa......wanasaka fursa tu wapate kuishi!
Nasikia jikoni fedha hazipo ndio maana wameamua kuja na hii figisu ya kuwakata wapinzaniKwanini uingie gharama za uchaguzi?!
Nani kakudanganya?!Nasikia jikoni fedha hazipo ndio maana wameamua kuja na hii figisu ya kuwakata wapinzani
Ebu tueleze hali ipoje Mana unajua sanaNani kakudanganya?!
Chama Dume hakinaga mpinzani msidanganywe na hizo saccos!Ebu tueleze hali ipoje Mana unajua sana
Nadhani kuna vigezo viliwekwa...ili kuondoa utata...tupewe vigezo vilivyotumika kuwaondoa kwenye 'kuwania' nafasi walizoomba.Kama hawakujitokeza kugombea inaweza kuwa haina tatizo. Lakini kama wamegombea na wamezuiwa hapo kuna kitu watu wanataka kukiona. Najaribu kujiuliza wale watu milioni 6 na point waliochagua wapinzani walienda wapi? Kama bado wapo hai naogopa sana.
Wapinzani wanavuna walichopanda waliwekeza kwenye siasa za mitandaoni na kupinga kila kituMkapige kura wapi wakati CCM imepita bila kupingwa nchi nzima!