Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kama mtakumbuka takribani wiki mbili zilizopita Chadema Arusha kupitia katibu wake Amani Golugwa walitangaza kumvua udiwani dada yake Joshua Nassari na kutishia kuwavua uanachama wabunge saba.
Sasa imebainika fukuto hili lipo nchi nzima na kile kinachoitwa utovu wa nidhamu inatokana na idadi kubwa ya viongozi na wabunge kutoa hoja ya kutaka uitishwe uchaguzi wa mwenyekiti Taifa kwani muda wake ulishakwisha huku ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ikilaumiwa kumkingia kifua ndugu Mbowe.
My take.
Binafsi sioni haja ya Mbowe kutoitisha uchaguzi kwani hana mpinzani hasa ukizingatia Tundu Lissu ambaye haswa alitajwa kuwa mwenyekiti lakini kwa sasa kaogopa baada ya vitisho dhidi ya maisha yake.
Kama mtakumbuka takribani wiki mbili zilizopita Chadema Arusha kupitia katibu wake Amani Golugwa walitangaza kumvua udiwani dada yake Joshua Nassari na kutishia kuwavua uanachama wabunge saba.
Sasa imebainika fukuto hili lipo nchi nzima na kile kinachoitwa utovu wa nidhamu inatokana na idadi kubwa ya viongozi na wabunge kutoa hoja ya kutaka uitishwe uchaguzi wa mwenyekiti Taifa kwani muda wake ulishakwisha huku ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ikilaumiwa kumkingia kifua ndugu Mbowe.
My take.
Binafsi sioni haja ya Mbowe kutoitisha uchaguzi kwani hana mpinzani hasa ukizingatia Tundu Lissu ambaye haswa alitajwa kuwa mwenyekiti lakini kwa sasa kaogopa baada ya vitisho dhidi ya maisha yake.