BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Huu usajili unaofanyika sasa utakigharimu chama, sijaona hata mshambuliaji mmoja mwenye uwezo wa kujenga hoja.kwa sasa usajili ni wa makapi tu. Chama hakiwezi kujijenga kwa kujipima na kivuli chake chenyewe. Kwa sasa CCM haina mvuto kwa wananchi kilichobaki ni kujiaminisha kwamba chama kinapendwa.
(1) Wachumia matumbo CCM ni janga la chama
(2) Wapenda sifa wamepata pa kuonyesha mbwembwe zao
(3) Waimba mapambio nao hawajabaki nyuma.
Binafsi sioni sababu ya kusifia sifia vitu wakati huku wananchi wako hoi.
Mh Rais wangu mpendwa ukiruhusu mikutano ya kisiasa ndio utagundua usajili unaofanywa na wasaidizi wako ni wa hovyo na wala sio wa kukutakia ushindi mnono.
Ni vyema chama kihangaike na kuongeza wanachama sio hawa walafi.
Sent using Jamii Forums mobile app
(1) Wachumia matumbo CCM ni janga la chama
(2) Wapenda sifa wamepata pa kuonyesha mbwembwe zao
(3) Waimba mapambio nao hawajabaki nyuma.
Binafsi sioni sababu ya kusifia sifia vitu wakati huku wananchi wako hoi.
Mh Rais wangu mpendwa ukiruhusu mikutano ya kisiasa ndio utagundua usajili unaofanywa na wasaidizi wako ni wa hovyo na wala sio wa kukutakia ushindi mnono.
Ni vyema chama kihangaike na kuongeza wanachama sio hawa walafi.
Sent using Jamii Forums mobile app