Uchaguzi Monduli, CHADEMA waambuliwa kuulizwa nyie ni akinanani? Lowassa afanya new style ya siasa

CCM hatuna washabiki na hatutaki washabiki wa kisiasa. CCM siyo club na haitaweza kuwa club ya kisiasa yenye washabiki. Hawo washabiki wa kisiasa unaowasema tunawaachia ninyi CHADEMA.

CCM tunahitaji wananchi wanaozijua sera zetu na waichague CCM kwa sera zake na siyo kwa ushabiki. CCM haitaki maisha na mstakabali wa taifa ugeuzwe kuwa ushabiki. Every citizen who entitled to vote have only ONE vote after FIVE years. This is very expensive vote na haiwezi kugeuzwa kuwa ushabiki.

Haya mawazo ya kibavicha bavicha ni janga la Taifa.

Mkuu, kiingeredha chako kigumu!! hadi nimetoka kapa, ni cha wilaya gani ya TZ. Kwa nini usingeandika lugha ya Kiswahili ukaeleweka vizuri kuliko hicho ulichokiandika, ni aibu, sijui ni cha wapi?
 
Kwa ufupi

  • Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.



Monduli. Kampeni za kuwania nafasi ya udiwani katika Kata ya Makuyuni wilayani Arusha juzi ziliambatana na tukio la kuchekesha baada ya wazee wa huko kupata wakati mgumu kutamka jina la
CHADEMA ambacho ni kifupi cha jina la Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kata ya Makuyuni ina wakazi wengi ambao kwa kawaida huwa ni wafugaji na hawafahamu vizuri Lugha ya Kiswahili kutokana na maisha yao ya kijadi.
Mzee mmoja aliyetajwa kwa jina la Olengalepo aliwachekesha watu kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Naiti wakati aliposhindwa kutamka jina CHADEMA na badala yake kusema Sabena.
“Hawa Sabena (CHADEMA) kwani wametokea wapi?” alihoji Mzee huyo licha ya Mbunge wa Monduli, Lowassa kumwelimisha kwamba ni CHADEMA na siyo Sabena.
Mzee Olengalepo alichekesha zaidi watu wakati alipomjibu Lowassa.”Hiyo hawezi mimi tamka, maana siijui.” Jibu hilo lilifanya watu kuangua kicheko zaidi wakati wa mkutano huo ulioanza saa nane mchana kijijini hapo.
Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.
Lowassa anaongoza kampeni ya CCM ya kutetea kiti cha udiwani wilayani Monduli, ambao uchaguzi wake unafanyika Jumapili hii.
Goodluck Lerunya anawania nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM wakati Japhet Sironga ndiye anapeperusha bendera ya CHADEMA kwenye jimbo hilo.

Chanzo:gazeti la mwananchi
Tar.13/06/2013

Nyumba ndogo ya mwigulu kazini,kazi unayo mwaka huu,mtoto wa kiume unapelekeshwa na mwanaume mwenzako.
 
duh hali mbaya sana.hadi lowassa anapiga kampeni za udiwani kwenye ngome yake.........lema punguza bwana unawachanganya
 
CCM hatuna washabiki na hatutaki washabiki wa kisiasa. CCM siyo club na haitaweza kuwa club ya kisiasa yenye washabiki. Hawo washabiki wa kisiasa unaowasema tunawaachia ninyi CHADEMA.

CCM tunahitaji wananchi wanaozijua sera zetu na waichague CCM kwa sera zake na siyo kwa ushabiki. CCM haitaki maisha na mstakabali wa taifa ugeuzwe kuwa ushabiki. Every citizen who entitled to vote have only ONE vote after FIVE years. This is very expensive vote na haiwezi kugeuzwa kuwa ushabiki.

Haya mawazo ya kibavicha bavicha ni janga la Taifa.

...ha ha ha creche darasani .... sagara geteh.....
 
Kama ni chama makini huwezi kuwazia kuiua ccm wazia kuwasaidia wananchi na kama unaamini kuwa upinzani hujenga na kuongeza uwajibikaji kwa nn kuua ccm?
 
kazi wa taiona jumapili huo ni mwanzo tu .lowassa piga kazi wasiambulie hata kijiji kimoja pia hata kata moja
 
CCM hatuna washabiki na hatutaki washabiki wa kisiasa. CCM siyo club na haitaweza kuwa club ya kisiasa yenye washabiki. Hawo washabiki wa kisiasa unaowasema tunawaachia ninyi CHADEMA.

CCM tunahitaji wananchi wanaozijua sera zetu na waichague CCM kwa sera zake na siyo kwa ushabiki. CCM haitaki maisha na mstakabali wa taifa ugeuzwe kuwa ushabiki. Every citizen who entitled to vote have only ONE vote after FIVE years. This is very expensive vote na haiwezi kugeuzwa kuwa ushabiki.

Haya mawazo ya kibavicha bavicha ni janga la Taifa.

Mbona jazba chama chochote kinawanachama na mashabi, wale mnaowanuanua kwa kofia na viroba wana na kanga an T. shirt wanazijua sera za ccm ? for your information ccm hajawahi kuwa na wanachama wanaoijua sera ya ccm inasemaje hata mwenezi nape anaeneza sera za CHADEMA, niambie ni wapi kwa sasa ulimuona kiongozi wa ccm akieleza sera za ccm kwa wananchi ? zaidi ya kutukana matusi ?
 
Badala ya kumsikitikia huyo mzee kwa kitendo cha kukosa ELIMU watu mnafurahi! Kweli CcM mtaji wenu pekee uliobaki ni ujinga/ukosefu wa elimu wa Watz.
 
Mkuu, kiingeredha chako kigumu!! hadi nimetoka kapa, ni cha wilaya gani ya TZ. Kwa nini usingeandika lugha ya Kiswahili ukaeleweka vizuri kuliko hicho ulichokiandika, ni aibu, sijui ni cha wapi?

Mnafiki mkubwa huyo kuna kura ya mtanzania yenye thamani ? kura zinanunuliwa kama njugu, Makongoro mahanga alikamatwa na kura za wizzi na akatangazwa kuwa mshindi , vilaza wa nchi hii na wavivu wa kufikiri mnaliangamiza taifa, na kibaya zaidi utakuwa ni kijana mdogo tu mawazo mgando
 
CCM imekufa mapema sana tofauti na matarajio ya wengi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mawazo ya kibavicha bavicha kama haya mngekuwa mnayaacha kwenye ofisi zenu za bavicha mtaa wa Togo, Kinondoni.

Chama chenye wabunge zaidi ya 257 na kinaongoza nchi na bunge kimekufa na kile chenye wabunge just over 46 sijui ndiyo kimefufuka au ndiyo kimezaliwa tokea kisajiliwe 20 years ago huku kikiongoza nchi ya kufikirika. It's just fun if not sad kuwa na mtu katika jukwaa la watu wazima JF akiwa na mawazo ya chekechea kama haya.
 
CCM hatuna washabiki na hatutaki washabiki wa kisiasa. CCM siyo club na haitaweza kuwa club ya kisiasa yenye washabiki. Hawo washabiki wa kisiasa unaowasema tunawaachia ninyi CHADEMA.

CCM tunahitaji wananchi wanaozijua sera zetu na waichague CCM kwa sera zake na siyo kwa ushabiki. CCM haitaki maisha na mstakabali wa taifa ugeuzwe kuwa ushabiki. Every citizen who entitled to vote have only ONE vote after FIVE years. This is very expensive vote na haiwezi kugeuzwa kuwa ushabiki.

Haya mawazo ya kibavicha bavicha ni janga la Taifa.
Mnafiki mkubwa huyo kuna kura ya mtanzania yenye thamani ? kura zinanunuliwa kama njugu, Makongoro mahanga alikamatwa na kura za wizzi na akatangazwa kuwa mshindi , vilaza wa nchi hii na wavivu wa kufikiri mnaliangamiza taifa, na kibaya zaidi utakuwa ni kijana mdogo tu mawazo mgando
 
Kwa ufupi

  • Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.



Monduli. Kampeni za kuwania nafasi ya udiwani katika Kata ya Makuyuni wilayani Arusha juzi ziliambatana na tukio la kuchekesha baada ya wazee wa huko kupata wakati mgumu kutamka jina la
CHADEMA ambacho ni kifupi cha jina la Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kata ya Makuyuni ina wakazi wengi ambao kwa kawaida huwa ni wafugaji na hawafahamu vizuri Lugha ya Kiswahili kutokana na maisha yao ya kijadi.
Mzee mmoja aliyetajwa kwa jina la Olengalepo aliwachekesha watu kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Naiti wakati aliposhindwa kutamka jina CHADEMA na badala yake kusema Sabena.
“Hawa Sabena (CHADEMA) kwani wametokea wapi?” alihoji Mzee huyo licha ya Mbunge wa Monduli, Lowassa kumwelimisha kwamba ni CHADEMA na siyo Sabena.
Mzee Olengalepo alichekesha zaidi watu wakati alipomjibu Lowassa.”Hiyo hawezi mimi tamka, maana siijui.” Jibu hilo lilifanya watu kuangua kicheko zaidi wakati wa mkutano huo ulioanza saa nane mchana kijijini hapo.
Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.
Lowassa anaongoza kampeni ya CCM ya kutetea kiti cha udiwani wilayani Monduli, ambao uchaguzi wake unafanyika Jumapili hii.
Goodluck Lerunya anawania nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM wakati Japhet Sironga ndiye anapeperusha bendera ya CHADEMA kwenye jimbo hilo.

Chanzo:gazeti la mwananchi
Tar.13/06/2013
Hata CCM wapare wanatamka THITHIEMU..!!Umechunguza huyo mzee kama anamwanya?? maana lazima atashindwa maneno mengi kuyatamka,hata jina lako sijui kama anaweza tamka vizuri!
 
Bado atabebewa na mke wake anacheza na Chemba ya Maji taka
teh teh teh huyu chemba anatumia vidonge vya viagra kama jeshi la gaddafi maana atamalza wote hawa vijana kaanza na juliano shonzo kamla kama ugali mtindi(ziwa) limekuwa kubwa utazani ana tender ya kunyonyesha wanyama waliotoroka gombe(kina wassira),na sasa ni zamu ya mtaro mwampamba huyu nasikia kaziba na gunzi kwenye makalio maana savimbi(chemba ya choo) amehalibu utaratibu kwa hiyo kinyesi kina toka bila utaratibu maarumu. wana jukwaa karibuni UDSM nina test mchana huu nilikuwa napita tu.
 
sera gani hizo,hv ccm mnasera?! zakudumisha chama au taifa? takataka kabisa. wanyama hai na ujangili wa tembo kisha kusaga meno ya tembo na mengine kusafirisha ili mpate hela za kampeni mzagni hatujui?! majambazi wakubwa nyie
Kama kuandika kwako ni tatizo unategemea utaweza kujenga hoja mbadala katika jukwaa la wakubwa hapa JF. Kajifunze kwanza kuandika. Kazi ya kujenga hoja mbadala waachie wasiokuwa na tatizo la msingi katika mawasiliano.

Tatizo mmepewa kazi ya kuitetea CDM kwenye mitandao ya kijamii kwa haraka haraka bila kufanyiwa usahili wa kutosha, matokeo yake ndiyo haya.
 
Kwa ufupi

  • Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.

Monduli. Kampeni za kuwania nafasi ya udiwani katika Kata ya Makuyuni wilayani Arusha juzi ziliambatana na tukio la kuchekesha baada ya wazee wa huko kupata wakati mgumu kutamka jina la
CHADEMA ambacho ni kifupi cha jina la Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Kata ya Makuyuni ina wakazi wengi ambao kwa kawaida huwa ni wafugaji na hawafahamu vizuri Lugha ya Kiswahili kutokana na maisha yao ya kijadi.
Mzee mmoja aliyetajwa kwa jina la Olengalepo aliwachekesha watu kwenye mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Naiti wakati aliposhindwa kutamka jina CHADEMA na badala yake kusema Sabena.
“Hawa Sabena (CHADEMA) kwani wametokea wapi?” alihoji Mzee huyo licha ya Mbunge wa Monduli, Lowassa kumwelimisha kwamba ni CHADEMA na siyo Sabena.
Mzee Olengalepo alichekesha zaidi watu wakati alipomjibu Lowassa.”Hiyo hawezi mimi tamka, maana siijui.” Jibu hilo lilifanya watu kuangua kicheko zaidi wakati wa mkutano huo ulioanza saa nane mchana kijijini hapo.
Tukio hilo limetokea baada ya Lowassa kuibua staili mpya ya kampeni ya chama chake, ambapo badala ya kuhutubia amekuwa akiwapa nafasi wananchi kupanda jukwaani na kuzungumza.
Lowassa anaongoza kampeni ya CCM ya kutetea kiti cha udiwani wilayani Monduli, ambao uchaguzi wake unafanyika Jumapili hii.
Goodluck Lerunya anawania nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM wakati Japhet Sironga ndiye anapeperusha bendera ya CHADEMA kwenye jimbo hilo.

Chanzo:gazeti la mwananchi
Tar.13/06/2013

Hao wananchi wanapanda jukwaani kueleza nini??na kutoa ahadi gani? na kunadi sera zipi??
 
Unaenda kuongea na watu ambao hadi sasa wanajua Rais Ni J.K. Nyerere hapo kuna uhalisia. Toa uharo wako hapa.
 
Ni aibu kubwa kwa watu na akili zao, eti fisadi lowassa yeye ndio ana wachaguliwa viongozi huyu mgombea wa Chadema LOWA HAS alimkataa kwa sababu ni msomi na hayuko kambi yake,
Mtela historia itakuhumu milele, ni kweli low has anatumia uelewa mdogo wa wamasai kuwafanya chochote anacho taka, ila kila jambo ni wakati wake, na uhakika ni kwamba mwisho wake ni aibu,subiri time will tell.
SHAME UPON ALL CCM MEMBERS AND THEIR CADRES.
 
Back
Top Bottom