Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Kuna habari kuwa uchaguzi mkuu wa oktoba mwaka huu huenda usifanyike endapo serikali itaendelea na msimamo wake wa kutoruhusu mgombea binafsi inasemekana kuwa mawakili mbalimbali wakishirikiana na Mwenyekiti wa DP Mchg. Christopher Mtikila na vyama vingine wamejipanga vilivyo kwenda mahakamani mara hukumu itakapotolewa kuruhusu mgombea binafsi ili kusisitiza hukumu hiyo itekelezwe
Tetesi kutoka kwa mawakili zinapendekeza kuwa endapo kama serikali itaona muda uliobaki hautoshi kuandaa mgombea binafsi basi uchaguzi uahirishwe hadi Februari mwaka ujao au hadi serikali itakapokuwa tayari, hukumu hiyo imepangwa kusikilizwa tena April 8 ingawa serikali iliomba muda wa miezi minne kujiandaa iliyopingwa na Mahakama ya rufaa
Je tetesi hizi ni za kweli?
Tetesi kutoka kwa mawakili zinapendekeza kuwa endapo kama serikali itaona muda uliobaki hautoshi kuandaa mgombea binafsi basi uchaguzi uahirishwe hadi Februari mwaka ujao au hadi serikali itakapokuwa tayari, hukumu hiyo imepangwa kusikilizwa tena April 8 ingawa serikali iliomba muda wa miezi minne kujiandaa iliyopingwa na Mahakama ya rufaa
Je tetesi hizi ni za kweli?