Elections 2010 Uchaguzi mkuu kufanyika kabla ya okt 2010

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,260
kwa wale wanaotaka kugombea uongozi ktk uchaguzi mkuu ujao wamejiandaaje iwapo mh rais atalazimika kuvunja bunge kutokana na serikali yake kushindwa kutekeleza maazimio ya bunge, inawezekana rais akachukua uamuzi huo ili kuwapoteza mafisadi ili wasipate muda wa kurudi kwa wananchi ili kuwalaghai,
 
kwa wale wanaotaka kugombea uongozi ktk uchaguzi mkuu ujao wamejiandaaje iwapo mh rais atalazimika kuvunja bunge kutokana na serikali yake kushindwa kutekeleza maazimio ya bunge, inawezekana rais akachukua uamuzi huo ili kuwapoteza mafisadi ili wasipate muda wa kurudi kwa wananchi ili kuwalaghai,

Hii ni tetesi au wewe unafikilia hivyo?
 
Back
Top Bottom