JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,260
kwa wale wanaotaka kugombea uongozi ktk uchaguzi mkuu ujao wamejiandaaje iwapo mh rais atalazimika kuvunja bunge kutokana na serikali yake kushindwa kutekeleza maazimio ya bunge, inawezekana rais akachukua uamuzi huo ili kuwapoteza mafisadi ili wasipate muda wa kurudi kwa wananchi ili kuwalaghai,