Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Wagombea wa vyama vikubwa kwenye uchaguzi mkuu wa Kenya 2022 wameweka wagombea-wenza (Running mates) toka kabila kubwa la Wakikuyu.
Aidha, mgombea-mwenza wa Kenya Kwanza Mhe. Rigathi George Gachagua amepatikana na tuhuma za kufisadisha $65ml sawa na Euro 53ml. Hii inawezakuwa kikwazo kwake kama akithibitika Mahakamani maana mgombea anatakiwa kwa matarajio ya wapigakura kuwa mtu safi. Mhe. Ruto naye ana jalada The Hague la mauaji ya 2007 - 2008, na nyumbani tuhuma za uhaini.
Wapigakura wanatakiwa kuwa makini wasifanye kosa katika uchaguzi huu, nchi haifanyiwi majaribio kama ya karata tatu.
Aidha, mgombea-mwenza wa Kenya Kwanza Mhe. Rigathi George Gachagua amepatikana na tuhuma za kufisadisha $65ml sawa na Euro 53ml. Hii inawezakuwa kikwazo kwake kama akithibitika Mahakamani maana mgombea anatakiwa kwa matarajio ya wapigakura kuwa mtu safi. Mhe. Ruto naye ana jalada The Hague la mauaji ya 2007 - 2008, na nyumbani tuhuma za uhaini.
Wapigakura wanatakiwa kuwa makini wasifanye kosa katika uchaguzi huu, nchi haifanyiwi majaribio kama ya karata tatu.