Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Vyote ulivo taja, and more :gossip:una mashamba nini? au mashimo ya uchimbaji mdogo mdogo au boda boda! au mtu nini?
fanya ukachukue mama, usije ukakosa hali sio yenyewe sasa
Vyote ulivo taja, and more :gossip:una mashamba nini? au mashimo ya uchimbaji mdogo mdogo au boda boda! au mtu nini?
fanya ukachukue mama, usije ukakosa hali sio yenyewe sasa
Jean pièrre Mbemba agegombea,Kabila asingekatiza.
ile nchi ina utajiri wa asili kuliko Tanzania,ila inatia huruma.Kabila hajafanya lolote kwanza si mcongolais ndo maana hana uchunguWalijua hilo ndio maana wakampoteza mapema, ila Kabila kapata somo kwa kweli, kapelekwa pelekwa sana mara hii
ile nchi ina utajiri wa asili kuliko Tanzania,ila inatia huruma.Kabila hajafanya lolote kwanza si mcongolais ndo maana hana uchungu