Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
Maisha ni safari ndefu sana
"Never say never"
Hatimaye vingunge wawili nchini Kenya Mh. Rais Uhuru Kenyatta na mtunduizi RAO (Raila Amollo Odinga) wanakutana huko PWANI kupanga mipango ya kwenda pamoja uchaguzi mkuu ujao.
Ni mipango ya kutengeneza mwamvuli utakaokuwa na vyama vya JUBILEE na ODM.
Upande wa pili Mh. Naibu Rais William Rutto naye anakusanya nguvu katika muungano wa chama cha UDA (United democratic alliance).
Siasa za Kenya zinafurahisha, kushangaza, kuajabisha sana 🤣🤣🤣
Waliokuwa marafiki sasa ni mahasimu.
Waliokuwa mahasimu sasa ni marafiki.
Kweli NEVER SAY NEVER
Je, RAO (Raila Amollo Odinga), BABA AGWAMBO, AKOM atakuwa Rais wa Kenya baada ya Mh. Uhuru Kenyatta?
#The time is not our best ally
#The time will tell
*****************
#KaziInaendelea
#NchiKwanza (Tanzania)
#SiempreJMT
"Never say never"
Hatimaye vingunge wawili nchini Kenya Mh. Rais Uhuru Kenyatta na mtunduizi RAO (Raila Amollo Odinga) wanakutana huko PWANI kupanga mipango ya kwenda pamoja uchaguzi mkuu ujao.
Ni mipango ya kutengeneza mwamvuli utakaokuwa na vyama vya JUBILEE na ODM.
Upande wa pili Mh. Naibu Rais William Rutto naye anakusanya nguvu katika muungano wa chama cha UDA (United democratic alliance).
Siasa za Kenya zinafurahisha, kushangaza, kuajabisha sana 🤣🤣🤣
Waliokuwa marafiki sasa ni mahasimu.
Waliokuwa mahasimu sasa ni marafiki.
Kweli NEVER SAY NEVER
Je, RAO (Raila Amollo Odinga), BABA AGWAMBO, AKOM atakuwa Rais wa Kenya baada ya Mh. Uhuru Kenyatta?
#The time is not our best ally
#The time will tell
*****************
#KaziInaendelea
#NchiKwanza (Tanzania)
#SiempreJMT