Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Nawaza tu!
1. Kama hali ya Corona ikiendelea hivi with social distancing, kutakua na shamra shamra za kampeini nchi nzima?
2. Hali ikiendelea hivi wanachi watajitokeza kupiga kura?
3. Gonjwa hili likiendelea mpaka uchanguzi KUTAKUA NA WAANGALIZI WA KIMATAIFA WATAKAO KUJA NCHINI?
Na kama tutalazimisha uchaguzi, tutafanya bila wasimamizi wa kimataifa?
Chama gani kitafaidika kwa kutokuwepo waangalizi wa kimataifa?
4. Je nini kipaumbele chetu kama taifa UHAI WA WATU WETU NA AFYA ZAO au UCHAGUZI!
1. Kama hali ya Corona ikiendelea hivi with social distancing, kutakua na shamra shamra za kampeini nchi nzima?
2. Hali ikiendelea hivi wanachi watajitokeza kupiga kura?
3. Gonjwa hili likiendelea mpaka uchanguzi KUTAKUA NA WAANGALIZI WA KIMATAIFA WATAKAO KUJA NCHINI?
Na kama tutalazimisha uchaguzi, tutafanya bila wasimamizi wa kimataifa?
Chama gani kitafaidika kwa kutokuwepo waangalizi wa kimataifa?
4. Je nini kipaumbele chetu kama taifa UHAI WA WATU WETU NA AFYA ZAO au UCHAGUZI!