Uchaguzi mkuu 2020 utakuwa kimbembe, wagombea mnaojaza kuwa wafanyabiashara malizaneni na TRA mapema

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,910
51,904
Uchaguzi 2020 wale mpendao kujaza fomu za kugombea udiwani,ubunge na uraisi kuwa kazi zenu zinazoweza kipato ni wafanyabiashara wa chochote jiandaenini na Mahesabu yenu ya kodi mlizolipa

Mnaojaza kwenye fomu kuwa Ni wakulima muwe tayari kuonyesha mashamba yenu mnayolima yanayowafanya muishi

Mengine siandiki
 
Uchaguzi 2020 wale mpendao kujaza fomu za kugombea udiwani,ubunge na uraisi kuwa kazi zenu zinazoweza kipato ni wafanyabiashara wa chochote jiandaenini na Mahesabu yenu ya kodi mlizolipa

Mnaojaza kwenye fomu kuwa Ni wakulima muwe tayari kuonyesha mashamba yenu mnayolima yanayowafanya muishi

Mengine siandiki

Chini ya jiwe hamna uchaguzi bali kuna zoezi la kuonyesha ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Namuonea huruma sipunda na mbowe maana hata wizi wa ruzuku uanawafanya wasipite

State agent
Nakuona kwenye ubora wako
tapatalk_1567627458569.jpeg
 
Chini ya awamu hii hakuna kula ruzuku pesa za watanzania bora wakajengee zahanati kuliko kuwapa watu wakale na wake zao

State agent
Chini ya jiwe hamna uchaguzi bali kuna zoezi la kuonyesha ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Nao mtasusia tena au?

Kama mazingira ni haya haya hatutajiandikisha kushiriki huo ushenzi. Vyama kama vyama watakuwa na mtazamo wao, mimi sio mwakilishi au msemaji wa chama chochote. Lakini mimi na watanzania wengine wanaojitambua hatuwezi kushiriki upuuzi wowote.
 
Chini ya awamu hii hakuna kula ruzuku pesa za watanzania bora wakajengee zahanati kuliko kuwapa watu wakale na wake zao

State agent

Hilo utajua we na wote wanaotegemea ruzuku kuendesha maisha yao. Sijawahi kula hata senti tano ya serikali toka niwe mtu mzima kupitia mlango wa siasa. Na wala sijawahi kufanya kazi yoyote na taasisi yoyote ya serikali, hivyo pesa za serikali sio sehemu ya kuendeshea familia yangu.
 
Kama mazingira ni haya haya hatutajiandikisha kushiriki huo ushenzi. Vyama kama vyama watakuwa na mtazamo wao, mimi sio mwakilishi au msemaji wa chama chochote. Lakini mimi na watanzania wengine wanaojitambua hatuwezi kushiriki upuuzi wowote.
Basi ngojeni 2025 tuchukue nchi wazee wa demokrasia turud kwenye ushindani tena hawa waliopo hawawez kushindana mana presha hawaziwez
 
Back
Top Bottom