YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Uchaguzi 2020 wale mpendao kujaza fomu za kugombea udiwani,ubunge na uraisi kuwa kazi zenu zinazoweza kipato ni wafanyabiashara wa chochote jiandaenini na Mahesabu yenu ya kodi mlizolipa
Mnaojaza kwenye fomu kuwa Ni wakulima muwe tayari kuonyesha mashamba yenu mnayolima yanayowafanya muishi
Mengine siandiki
Mnaojaza kwenye fomu kuwa Ni wakulima muwe tayari kuonyesha mashamba yenu mnayolima yanayowafanya muishi
Mengine siandiki