share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Kutokana na ukiukwaji mkubwa wa sheria, kanuni, na taratibu za Uchaguzi Mkuu 2020 zikizowaweka madarakani wezi wa kura kwa mbinu chafu zikiweko kura feki, wanasheria mkae mkao wa kula.
Mna chanzo kizuri sana cha mapato baada ya wezi hawa kuapishwa.
Ushahidi wa wizi huu upo kila kituo, kila jimbo la uchaguzi na kila mkoa Tanganyika na Zanzibar.
Wezi nao wajiandae kutoa rushwa ya kutosha ili wachomoke.
Mna chanzo kizuri sana cha mapato baada ya wezi hawa kuapishwa.
Ushahidi wa wizi huu upo kila kituo, kila jimbo la uchaguzi na kila mkoa Tanganyika na Zanzibar.
Wezi nao wajiandae kutoa rushwa ya kutosha ili wachomoke.