Kwa hali inavyoendelea na mapokezi aliyopata Maalim Seif Zanzibar uchanguzi kwa upande wa Zanzibar unaonekana utakuwa mugumu kwa CCM na Hussein Mwinyi.
Kwa siasa za Zanzibar Kuna uwezekano mkubwa ACT wakashida. Hapa ndo penye shida je CCM wako tayari kukabidhi Zanzibar kwa ACT ?
Je, hatma ya Muungano chini ya Seif na ACT utadumu au itakuwa ni rasmi Zanzibar itakuwa dola kamili.
Mimi nafikiri kipimo cha uvumilivu na siasa za Zanzibar zitapimwa hapa. Uwezo na ustahimilivu wa raisi Magufuli utaonekana hapa na umahili wa Kikwete utahitajika sana
Ngoja tusubiri 28 oct 2020
Kwa siasa za Zanzibar Kuna uwezekano mkubwa ACT wakashida. Hapa ndo penye shida je CCM wako tayari kukabidhi Zanzibar kwa ACT ?
Je, hatma ya Muungano chini ya Seif na ACT utadumu au itakuwa ni rasmi Zanzibar itakuwa dola kamili.
Mimi nafikiri kipimo cha uvumilivu na siasa za Zanzibar zitapimwa hapa. Uwezo na ustahimilivu wa raisi Magufuli utaonekana hapa na umahili wa Kikwete utahitajika sana
Ngoja tusubiri 28 oct 2020