Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Kina Kiongozi mmoja kinara wa Upinzani ambaye anakosoa kila kitu kuwa nchi haijafanya maendeleo yoyote ya Maana.
Jina: ........
Kazaliwa Katika Kijiji cha MAHAMBE
Kata ya UNYAHATI
Wilaya ya IKUNGI
Mkoa wa SINGIDA
Kasoma Shule ya Msingi ya MAHAMBE
Ni Mbunge wa ..............
Cha ajabu zogo lote alilonalo ukienda kijijini kwao Mahambe watu ni Masikini wa Kutupwa hawana hata Maji Safi na Mpaka leo wanatumia vyoo vya Mabua.
Sasa mtu aliyeshindwa kuhamasisha hata maendeleo kijinini kwao kweli ataweza kuyaleta nchi nzima?
Jina: ........
Kazaliwa Katika Kijiji cha MAHAMBE
Kata ya UNYAHATI
Wilaya ya IKUNGI
Mkoa wa SINGIDA
Kasoma Shule ya Msingi ya MAHAMBE
Ni Mbunge wa ..............
Cha ajabu zogo lote alilonalo ukienda kijijini kwao Mahambe watu ni Masikini wa Kutupwa hawana hata Maji Safi na Mpaka leo wanatumia vyoo vya Mabua.
Sasa mtu aliyeshindwa kuhamasisha hata maendeleo kijinini kwao kweli ataweza kuyaleta nchi nzima?