Mpelijr
Member
- May 17, 2010
- 89
- 11
Hivi wana jamii uchaguzi unaofuta wa mwaka 2015 utzkuaje?kwa sababu ccm na uchakachuaji kura wao wameipata freshi mwaka huu na pia chadema imeonesha msimamo wake wa kuipigania Tanzania itoke katika mikono ya mafisadi na watu wasioitakia mema,kama kawaida vyama vingine vya upinzani navyo vimesindikiza...ila je mwaka 2015 itakuaje?ccm wakichakachua wanayo....chadema wakilegea imwkula kwao...cuf watazidi kupotea?mhh????:A S-danger: