Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Wote tunajua kuwa kuna mbunge kutoka Zanzibar amefariki ila sijasikia uchanguzi kule utafanyika lini! Kama utafanyika basi itakuwa nafasi nyingine adimu kuwaelezea wazanzibari wanachokosa katika Uongozi wao yaani viongozi bora na sio viongozi wachumia tumbo waliopo sasa. Kwahiyo ninataka kukumbusha kwamba changuzi ndogo bado zipo na vyama viendelee kujipanga ili tuone demokrasia ya kweli nchini.