hasason
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 1,648
- 1,538
Kutokana na mlipuko wa bomu uliotokea jana na kugharimu maisha ya watu kadhaa na majeruhi zaidi ya 40
uchaguzi wa kuchagua madiwani katika kata za jiji la arusha umehairishwa na tume ya uchaguzi Tanzania.
mpaka tarehe 30 ya mwezi hu. imetolewa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Tanzania
uchaguzi wa kuchagua madiwani katika kata za jiji la arusha umehairishwa na tume ya uchaguzi Tanzania.
mpaka tarehe 30 ya mwezi hu. imetolewa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Tanzania