Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,895
- 33,457
Against chaguzi zipi za kishenzi?Zito anachanja mbuga kuelekea wapi? Hao Wapemba walikuwa hawaichugui CCM toka mfumo wa vyama vingi na wala sio kwa ushawishi wa Zito. Ungesema kwenye chaguzi nyingine zote za marudio ukiacha huko kwa wapemba ni wapi hata kaonyesha kufurukuta? Unaongea kama vile Cdm iko kwenye mashindano na ACT na sio kuwa against chaguzi za kishenzi.
Hivi huwa mnashiriki vipi chaguzi za kishenzi?
Mnajibaraguza kutoshiriki chaguzi ndogo ila kwenye uchaguzi mkuu mnahiriki tena kwa nguvu zote, hivi huwa hui ushenzi umeisha?
Unachekesha yani ni sawa na mtu kusema huwa sili kitimoto bali huwa nakunywa mchuzi tu.