Umefikiria mbali sana mkuu. Kuna watu ajira zitapotea halafu wanashabikia kifo cha mama anayewanyonyesha.IKO HIVI BROTHER USIANGAIKE SANA KUUUMIZA AKILI YAKO NA MOYO WAKO KUHUSU CHADEMAA.........
SISI KAMA CHADEMA HATUNA SHIDA YOYOTE HATA TUKIPOTEZA MAJIMBO YOTE NCHINI HATA IKIFIKIA HATUA TUKAWA HATUNA MBUNGE WALA DIWANI SISI KWETU NI POAAA TUU.
ILA SHIDA IPO KWENU KWA NYINYI WENZANGU NA MIMI AMBAO MMEZOEA KUPEWA PESA ZA BURE KWA AJILI YA KUPAMBANA CHADEMA SASA SIJUI KAMA CHADEMA IKIFIKAA SIJUI MTAPAMBANA NA NANI
Usilinganishe talent na uchafu wenu.Zote ni mbinu za medani katika kutafuta ushindi................unafikiri Christiano Ronaldo amelala tu kila siku na makombe yanamfuata kitandani
Upepo umegeuka au huoni hayo mawimbi upande wa pili.....sijui kama unaweza kuzuia mawimbi ya bahari....Unaweza kufanya huo upumbavu unaouita mbinu za medani bila support ya vyombo vya dola!? Halafu kuna wakati unaandika kama mtu mwelewa lakini kuna wakati kama hapa unaandika kama shabiki maandazi vile. Unaandika watu wa vijijini wanaipenda CCM wakati wewe mwenyewe umekiri awali majimbo hayo yalikuwa upinzani? Hao waluowapigia kura awali walitoka mjini? Siku hizi umeacha kusifia Kazi yako ya polisi unajificha ficha ukidhani tumekusahau?
ARE YOU SURE?IKO HIVI BROTHER USIANGAIKE SANA KUUUMIZA AKILI YAKO NA MOYO WAKO KUHUSU CHADEMAA.........
SISI KAMA CHADEMA HATUNA SHIDA YOYOTE HATA TUKIPOTEZA MAJIMBO YOTE NCHINI HATA IKIFIKIA HATUA TUKAWA HATUNA MBUNGE WALA DIWANI SISI KWETU NI POAAA TUU.
ILA SHIDA IPO KWENU KWA NYINYI WENZANGU NA MIMI AMBAO MMEZOEA KUPEWA PESA ZA BURE KWA AJILI YA KUPAMBANA CHADEMA SASA SIJUI KAMA CHADEMA IKIFIKAA SIJUI MTAPAMBANA NA NANI
Ndio imewekeza ujinga vijijini. Kwa hiyo kura wanazipata lakini maendeleo hakuna! Utapataje maendeleo toka kundi LA wajinga?tutatumia mbinu zote wewe endelea kulalamika wakati umelala tu halafu unategemea kumlisha ng'ombe siku ya mnada eti anenepe....kamwe utaishia kuuza kwa bei ndogo tu.....CCM ilishawekeza vya kutosha vijijini....
1.5t ziko wapi?
Kukimbia na masanduku ya kura ndio kulinda kura? Kamdanganye mumeoHakuna Jeshi linalopora kura ila wanaimarisha ulinzi wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Maendeleo yanakwenda kasi sana vijijini nyumba za nyasi siku hizi ni za kuhesabu tofauti na miaka ya sitini na sabini,maji,vituo vya afya na shule ni za uhakika miaka hii barabara zina nafuu kubwa sana nguo zinapatikana chakula kipo cha kutosha unataka nini zaidiNdio imewekeza ujinga vijijini. Kwa hiyo kura wanazipata lakini maendeleo hakuna! Utapataje maendeleo toka kundi LA wajinga?
Wa mjini wajanja wale wachumia tumbo mambo yakienda kombo anapiga sana kelele za kulaani kisha anatangaza kuunga mkono juhudi na kujiunga kisha analamba bingo.
Hivi kupeta kwa wizi nako unajisifia? Hiyo ni sawa wewe tatum uwe shoga na uanze kujisifu kuwa "nyie semeni tu natiwa lakini mie napeta nala bata!"Kwani ukiwa macho ndiyo utabadili matokeo....endelea kulalamika tu na macho yako mawili wakati wenzako wanapeta
sasa wewe ikiambiwa hayo maneno na hauko hivyo shida yuko nini si unaendelea kula bata......na kuwaacha wanaopiga kelele waendelee kupiga hizo kelele zao ......tunachoangalia sisi ni ushindi tu hayo mengine yakwenu nyie msiojiamini wala kuwa mipango ya ushindi.hata shuleni kama hujajipanga vizuri mtihani utafeli tu.Hivi kupeta kwa wizi nako unajisifia? Hiyo ni sawa wewe tatum uwe shoga na uanze kujisifu kuwa "nyie semeni tu natiwa lakini mie napeta nala bata!"
Utawala upi na ni chama kipi kilikuwa madarakani na sasa ni chama kipi kipo madarakani? Nani alimteua kugombea kama siyo hao unaowang'ong'a na ambao wametungiwa hata nyimbo?Hayo mbona yanaboreshwa kila iitwapo leo...au miaka ya 80 na leo ni sawa mbona kuna hatua kubwa sana zimepigwa....Rais Magufuli anaondoa ile mentality ya kula pesa ya umma halafu mtu anaona ni kawaida kama ilivyokuwa utawala wa nyuma
Hata kama chama ni kilekile lakini watu ni tofauti na huyu wa sasa anawashughulikia wa chama chake waliokuwa wanakwenda kinyume na sheria taratibu na kanunni (STK) zilizowekwaUtawala upi na ni chama kipi kilikuwa madarakani na sasa ni chama kipi kipo madarakani? Nani alimteua kugombea kama siyo hao unaowang'ong'a na ambao wametungiwa hata nyimbo?