Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Maelezo ya KATA
Sehemu:Kata ya CHIPOGOLO ipo Mkoa wa Dodoma,Jimbo la Kibakwe,Wilaya ya Mpwapwa,kata ilipo ni kilometa zaidi ya 91 kutoka Makao Makuu ya Mkoa.
Vyama vilivyochua Fomu na kutudisha ni
1.CHADEMA
2.CCM
Wagombea ni vijana wote wana umri chini ya miaka 30 na wahitimu wa Vyuo vikuu...
HOSEA MANYIA FWEDA ni mgombea wa CCM
.
JAFARY JUMANNE SIMBA ni mgombea wa CHADEMA....
Kipenga kiipurizwaaaaaa Chipogolo kazi inaanza,nimeanzisha huu Uzi kwaajili ya kueleza kampeni zote mpaka mwisho kwenye Uchaguzi huu mdogo pekee mkoani Dodoma!
Sehemu:Kata ya CHIPOGOLO ipo Mkoa wa Dodoma,Jimbo la Kibakwe,Wilaya ya Mpwapwa,kata ilipo ni kilometa zaidi ya 91 kutoka Makao Makuu ya Mkoa.
Vyama vilivyochua Fomu na kutudisha ni
1.CHADEMA
2.CCM
Wagombea ni vijana wote wana umri chini ya miaka 30 na wahitimu wa Vyuo vikuu...
HOSEA MANYIA FWEDA ni mgombea wa CCM
.
JAFARY JUMANNE SIMBA ni mgombea wa CHADEMA....
Kipenga kiipurizwaaaaaa Chipogolo kazi inaanza,nimeanzisha huu Uzi kwaajili ya kueleza kampeni zote mpaka mwisho kwenye Uchaguzi huu mdogo pekee mkoani Dodoma!