Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mkono mgombea wa CUF!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,437
113,445
Wanabodi,

Kwenye siasa, lazima tukubali tukatae kuna maeneo yanayoitwa "strong hold" ya chama fulani, mfano jimbo la Moshi Mjini, hata CCM ikeshe usiku na mchana kwa mwaka mzima, hawawezi kuiondoa Chadema!. Vivyo hivyo kwa chama cha CUF, strong hold yake ni Pemba, hata CCM ipige kampeni ya usiku na mchana kwa muda wa mwaka mzima, haiwezi kuambulia kitu, au kuing'oa CUF. Vivyo hivyo kwa maeneo ya maeneo fulani fulani ya Mwambao, Chedema haina kitu, ndio maana kwenye ule uzi wangu "mwiba" niliposema "
[h=3]CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!"[/h]", niliwashauri Chadema Peke Yao, kamwe hawawezi kulitoa madarakani hili "dubwana CCM!", hivyo ili kuishinda CCM lazima Chadema wakubali ushirikiano na wengine wenye lengo la kukupata kupata na kukosa "win win situation" kwa kukubali kutokusimamisha mgombea na badala yake kumuunga mkono mgombea wa chama kingine anayekubalika zaidi!.
Uchaguzi huu mdogo wa jimbo la Chalinze ni mmoja wa mifano hai!.

Hakuna ubishi kuwa CCM imechokwa, na katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi, lakini lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya maeneo, CCM inapendwa, na kuna mengine, inapendwa mpaka basi, hivyo kwa baadhi ya maeneo ambapo CCM inapendwa mpaka basi, Chadema kusimamisha mgombea its not only its a wastage of time and money, bali kutaka kujiabisha tuu!.

Kuna baadhi ya shule za private, mwanafunzi kabla hajapokelewa, humpatia amplitude test kumpima IQ yake, wakimkuta iko low, hapokelewi ili kulinda image ya shule husika maana wanajua kumpokea mwisho wa siku ataishia kuiletea aibu tuu hiyo shule!. Naamini ndicho kilichoikumba shule ya Fedha kumpokea mwanafunzi mwenye jina kubwa, mwisho wa siku, ikawapata aibu!. Vivyo vivyo kwa Chadema, wanapaswa kuilinda public image yao ukanda wa Pwani, kwa kujiepusha na aibu, hivyo ni bora wamuunge mkono mgombea wa CUF amba kwa mambo ya pwani, wanaweza kuitingisha CCM, japo kupata ushindi ni aghlabu sana!.

Siku zote "Umoja ni Nguvu" na "utengano ni udhaifu", moja ya matatizo makubwa ya Chadema ni "umimi", hivyo hii sasa ni fursa kwa Chadema kuonyesha spirit ya ushirikiano na wengine, hata kama huwapendi, but you have to work together against the common enemy!.

Jimbo la Chalinze, kunaweza kutokea zali kama lile la Lindi kwa CCM kupigiwa kura ya chuki, hivyo CUF kuweza kushinda kama CCM itamsimamisha mgombea kutokana na jina la mzazi wake na sio uwezo wake!.

Huu ni ushauri tuu wa bure!. Sisi wengine tusio na vyama, kazi yetu ni kushauri tuu, ushauri ukubalike, ukatalike, makes no diference to me, ila baada ya matokeo ya kutosikiliza ushauri, nitakumbushia nilishauri nini, na nini kimetokea!.
Mnaweza kuangalia hapa mwaka 2010 niliishauri nini CCM, walifanya nini na nini kilitokea.
QUOTE=Pasco;1259846]
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to du anything, doi it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.[/QUOTE]

Hapa tena nikaishauri nini huyu mtu, akafanya nini, na nini kikatokea!.
[h=3]Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.[/h]
Chadema lazima mjifunze kusikiliza!.

Pasco.


NB. Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote ya kijamii, ni Mtanzania ambaye hajaajiriwa na yoyote, hamtumikii yoyote, wala hawajibiki kwa yoyote, bali mwenye mapenzi makubwa na Taifa lake!.
 
Lini CUF waliitema ccm hadi ushauri Chadema kiungane nao?

Hujui kuwa kukiunga mkono cuf ni sawa na kuwapa ccm kibali cha kutawala milele, kifupi ni sawa na kuua upinzani moja kwa moja.

Acha CHADEMA kisimamishe mgombea tujue madhambi ya familia ya JK.!
 
.....Chadema ving'ang'anizi wazo lako zuri but Im afraid to say ni sawa na kumpigia mbuzi gita!
 
CUF na CCM wameoana tayari kule Zanzibar sasa utaingiaje kwenye ndoa na mtu aliye ndani ya ndoa nyingine. CUF akiwa Zanzibar ni Mtawala akirudi Tanganyika anakuwa mpinzani, mnaona tatizo lilivyo zito.

CDM ingieni wenyewe!!
 
Wazo zuri mkuu Pasco. Ila naomba kukuuliza, ushauri huu kuntu mbona hujawapa CUF kwenye chaguzi ambazo CDM ilikuwa na nguvu? Madiwani Arusha CUF ilishiriki hali kadhalika Arumeru na kama sikosei Kalenga pia wanashiriki.

Kuna siku utaishauri CCM wasigombee Moshi kwakuwa tu piga ua hawatashinda?
 
Last edited by a moderator:
Wazo zuri mkuu Pasco. Ila naomba kukuuliza, ushauri huu kuntu mbona hujawapa CUF kwenye chaguzi ambazo CDM ilikuwa na nguvu? Madiwani Arusha CUF ilishiriki hali kadhalika Arumeru na kama sikosei Kalenga pia wanashiriki.

Kuna siku utaishauri CCM wasigombee Moshi kwakuwa tu piga ua hawatashinda?
kaka huko mbona umeenda mbali mfano mzuri ni kwa nini Profesa Lipumba hakujiunga na CDM ili kuindoa CCM madaraka 2010 ili hali alijua fika nafasi yake ilikuwa finyu mno?
 
Pasco naweza kukubali na kukataa ushauri wako,kwa sababu moja kuu,je vyama hivi viwili vipo tayari kutekeleza sera ya kusaidiana?Au kimoja kikipata nafasi ni wakati wa kukinanga kingine?

Haya yatawezekana kama pale tu UPINZANI utakapokaa meza moja na kukubaliana,vinginevyo CCM kuondoka kabisa sina uhakika.Nitakupa mfano mzuri kabisa kwa swali:Je kulikuwa na sababu zozote za upinzani kuanzisha chama kipya?Kwa nini wasingeomba kuingia kwenye vyama vilivyopo ili kuendeleza upinzani?

Hapo ndipo utaona Watanzania bado hatupo tayari kuiondoa CCM madarakani na si CCM tu hata viongozi wabaovu,na tutazidi kuwaweka kwa kuwa wanatumia kofia za wazazi wao.
 
Pasco wewe ni mwandishi wa habari...
Naomba utumie muda wako tu kidogo utuwekee matokeo ya ubunge Chalinze (Kama CHADEMA na/au CUF waligombea) ya mwaka 2010 ili tuweze kucomment tukiwa na data... Ni ombi tu. Nimejaribu online sijayakuta

Nimefanikiwa kuyapata

Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
BWANAMDOGO SAIDI RAMADHANI
CCM
32,924 87.3
KINGWALA MIRAJI ALLY
CUF
2,837 7.52
NEEMA MFUNGO MASAMAKI
DP
299 0.79
WAZIRI ISSA TOWAKALI
UPDP
263 0.7
SPOILT VOTES1,391 3.69
TOTALS 37,714 100

Sasa kutokana na hayo matokeo hapo juu...
Nimefanya vijihesabu kidogo, nikaiassign CDM kura 0 (japo sio sahihi, bu is the minimum they could get), nika-compare (nilitumia unpaired t-test), statistically hakuna significant difference kati ya CUF. UDP, UPDP na CDM (kama wangepata kura 0).

Kwa mantiki hiyo, hakuna chance kwamba endapo hatachaguliwa wa CCM, atakayechaguliwa ni wa CUF...
 
Huu ushauri kwenye chaguzi ndogo haukubaliki maana hapa CHADEMA haitafuti tu ushindi bali pia ni fursa ya pekee kuamsha wazaramo na jamii ya waswahili iliyolala usingizi wa pono wakiamini kuwa maisha ya kuishi kwenye nyumba ya tembe ni kutoka kwa mwenyezi Mungu wakati ni kutoka kwa Kikwete na ccm. Kwa hiyo hii ni fursa ya kipekee kabisa kutoa elimu ya Uraia kwa umma wa pwani.

Pasco kuizuia CHADEMA isishiriki ni sawa na kusema basi acha wananchi wa pwani wabaki kwenye usingizi na waendelee na maisha duni.

Ninaamini baada ya kampeni kama chadema itachukua au laa lakini tutakuwa tumepata wafuasi kadha wa kadha na chama kitajegwa sana kuelekea uchaguzi wa serikali za mtaa na urais
 
Wanabodi,

Kwenye siasa, lazima tukubali tukatae kuna maeneo yanayoitwa "strong hold" ya chama fulani, mfano jimbo la Moshi Mjini, hata CCM ikeshe usiku na mchana kwa mwaka mzima, hawawezi kuiondoa Chadema!. Vivyo hivyo kwa chama cha CUF, strong hold yake ni Pemba, hata CCM ipige kampeni ya usiku na mchana kwa muda wa mwaka mzima, haiwezi kuambulia kitu, au kuing'oa CUF. Vivyo hivyo kwa maeneo ya maeneo fulani fulani ya Mwambao, Chedema haina kitu, ndio maana kwenye ule uzi wangu "mwiba" niliposema "
[h=3]CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!"[/h]", niliwashauri Chadema Peke Yao, kamwe hawawezi kulitoa madarakani hili "dubwana CCM!", hivyo ili kuishinda CCM lazima Chadema wakubali ushirikiano na wengine wenye lengo la kukupata kupata na kukosa "win win situation" kwa kukubali kutokusimamisha mgombea na badala yake kumuunga mkono mgombea wa chama kingine anayekubalika zaidi!.
Uchaguzi huu mdogo wa jimbo la Chalinze ni mmoja wa mifano hai!.

Hakuna ubishi kuwa CCM imechokwa, na katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi, lakini lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya maeneo, CCM inapendwa, na kuna mengine, inapendwa mpaka basi, hivyo kwa baadhi ya maeneo ambapo CCM inapendwa mpaka basi, Chadema kusimamisha mgombea its not only its a wastage of time and money, bali kutaka kujiabisha tuu!.

Kuna baadhi ya shule za private, mwanafunzi kabla hajapokelewa, humpatia amplitude test kumpima IQ yake, wakimkuta iko low, hapokelewi ili kulinda image ya shule husika maana wanajua kumpokea mwisho wa siku ataishia kuiletea aibu tuu hiyo shule!. Naamini ndicho kilichoikumba shule ya Fedha kumpokea mwanafunzi mwenye jina kubwa, mwisho wa siku, ikawapata aibu!. Vivyo vivyo kwa Chadema, wanapaswa kuilinda public image yao ukanda wa Pwani, kwa kujiepusha na aibu, hivyo ni bora wamuunge mkono mgombea wa CUF amba kwa mambo ya pwani, wanaweza kuitingisha CCM, japo kupata ushindi ni aghlabu sana!.

Siku zote "Umoja ni Nguvu" na "utengano ni udhaifu", moja ya matatizo makubwa ya Chadema ni "umimi", hivyo hii sasa ni fursa kwa Chadema kuonyesha spirit ya ushirikiano na wengine, hata kama huwapendi, but you have to work together against the common enemy!.

Jimbo la Chalinze, kunaweza kutokea zali kama lile la Lindi kwa CCM kupigiwa kura ya chuki, hivyo CUF kuweza kushinda kama CCM itamsimamisha mgombea kutokana na jina la mzazi wake na sio uwezo wake!.

Huu ni ushauri tuu wa bure!. Sisi wengine tusio na vyama, kazi yetu ni kushauri tuu, ushauri ukubalike, ukatalike, makes no diference to me, ila baada ya matokeo ya kutosikiliza ushauri, nitakumbushia nilishauri nini, na nini kimetokea!.
Mnaweza kuangalia hapa mwaka 2010 niliishauri nini CCM, walifanya nini na nini kilitokea.
QUOTE=Pasco;1259846]
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to du anything, doi it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.


Hapa tena nikaishauri nini huyu mtu, akafanya nini, na nini kikatokea!.
[h=3]Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.[/h]
Chadema lazima mjifunze kusikiliza!.

Pasco.


NB. Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote ya kijamii, ni Mtanzania ambaye hajaajiriwa na yoyote, hamtumikii yoyote, wala hawajibiki kwa yoyote, bali mwenye mapenzi makubwa na Taifa lake!.
[/QUOTE]

Asiyekubali kushindwa si mshindani,chadema kama chama sioni shida wakisimamisha mgombea chalinze na ktk siasa pesa na muda is the biggest sucrifice.kama unahofu kupoteza muda na pesa kwenye siasa wewe umepotea siasa si mahala pako.
 
Wanabodi,

Kwenye siasa, lazima tukubali tukatae kuna maeneo yanayoitwa "strong hold" ya chama fulani, mfano jimbo la Moshi Mjini, hata CCM ikeshe usiku na mchana kwa mwaka mzima, hawawezi kuiondoa Chadema!. Vivyo hivyo kwa chama cha CUF, strong hold yake ni Pemba, hata CCM ipige kampeni ya usiku na mchana kwa muda wa mwaka mzima, haiwezi kuambulia kitu, au kuing'oa CUF. Vivyo hivyo kwa maeneo ya maeneo fulani fulani ya Mwambao, Chedema haina kitu, ndio maana kwenye ule uzi wangu "mwiba" niliposema "
[h=3]CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!"[/h]", niliwashauri Chadema Peke Yao, kamwe hawawezi kulitoa madarakani hili "dubwana CCM!", hivyo ili kuishinda CCM lazima Chadema wakubali ushirikiano na wengine wenye lengo la kukupata kupata na kukosa "win win situation" kwa kukubali kutokusimamisha mgombea na badala yake kumuunga mkono mgombea wa chama kingine anayekubalika zaidi!.
Uchaguzi huu mdogo wa jimbo la Chalinze ni mmoja wa mifano hai!.

Hakuna ubishi kuwa CCM imechokwa, na katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi, lakini lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya maeneo, CCM inapendwa, na kuna mengine, inapendwa mpaka basi, hivyo kwa baadhi ya maeneo ambapo CCM inapendwa mpaka basi, Chadema kusimamisha mgombea its not only its a wastage of time and money, bali kutaka kujiabisha tuu!.

Kuna baadhi ya shule za private, mwanafunzi kabla hajapokelewa, humpatia amplitude test kumpima IQ yake, wakimkuta iko low, hapokelewi ili kulinda image ya shule husika maana wanajua kumpokea mwisho wa siku ataishia kuiletea aibu tuu hiyo shule!. Naamini ndicho kilichoikumba shule ya Fedha kumpokea mwanafunzi mwenye jina kubwa, mwisho wa siku, ikawapata aibu!. Vivyo vivyo kwa Chadema, wanapaswa kuilinda public image yao ukanda wa Pwani, kwa kujiepusha na aibu, hivyo ni bora wamuunge mkono mgombea wa CUF amba kwa mambo ya pwani, wanaweza kuitingisha CCM, japo kupata ushindi ni aghlabu sana!.

Siku zote "Umoja ni Nguvu" na "utengano ni udhaifu", moja ya matatizo makubwa ya Chadema ni "umimi", hivyo hii sasa ni fursa kwa Chadema kuonyesha spirit ya ushirikiano na wengine, hata kama huwapendi, but you have to work together against the common enemy!.

Jimbo la Chalinze, kunaweza kutokea zali kama lile la Lindi kwa CCM kupigiwa kura ya chuki, hivyo CUF kuweza kushinda kama CCM itamsimamisha mgombea kutokana na jina la mzazi wake na sio uwezo wake!.

Huu ni ushauri tuu wa bure!. Sisi wengine tusio na vyama, kazi yetu ni kushauri tuu, ushauri ukubalike, ukatalike, makes no diference to me, ila baada ya matokeo ya kutosikiliza ushauri, nitakumbushia nilishauri nini, na nini kimetokea!.
Mnaweza kuangalia hapa mwaka 2010 niliishauri nini CCM, walifanya nini na nini kilitokea.
QUOTE=Pasco;1259846]
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to du anything, doi it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.


Hapa tena nikaishauri nini huyu mtu, akafanya nini, na nini kikatokea!.
[h=3]Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.[/h]
Chadema lazima mjifunze kusikiliza!.

Pasco.


NB. Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote ya kijamii, ni Mtanzania ambaye hajaajiriwa na yoyote, hamtumikii yoyote, wala hawajibiki kwa yoyote, bali mwenye mapenzi makubwa na Taifa lake!.
[/QUOTE]
 
Hivi,we pasco unasema waunganishe nguvu unawajua vizuri CDM? Kuna swala la mapato na matumizi ikiwemo ruzuku ndio shida. Endapo wataunganisha nguvu na chama chochote chenye wajanja wengi, watastukiwa namna wanavyofuja pesa za kampeni mbali mbali, hilo kwa Mbowe ni Big NO!
 
Wanabodi,

Kwenye siasa, lazima tukubali tukatae kuna maeneo yanayoitwa "strong hold" ya chama fulani, mfano jimbo la Moshi Mjini, hata CCM ikeshe usiku na mchana kwa mwaka mzima, hawawezi kuiondoa Chadema!. Vivyo hivyo kwa chama cha CUF, strong hold yake ni Pemba, hata CCM ipige kampeni ya usiku na mchana kwa muda wa mwaka mzima, haiwezi kuambulia kitu, au kuing'oa CUF. Vivyo hivyo kwa maeneo ya maeneo fulani fulani ya Mwambao, Chedema haina kitu, ndio maana kwenye ule uzi wangu "mwiba" niliposema "
CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!"

", niliwashauri Chadema Peke Yao, kamwe hawawezi kulitoa madarakani hili "dubwana CCM!", hivyo ili kuishinda CCM lazima Chadema wakubali ushirikiano na wengine wenye lengo la kukupata kupata na kukosa "win win situation" kwa kukubali kutokusimamisha mgombea na badala yake kumuunga mkono mgombea wa chama kingine anayekubalika zaidi!.
Uchaguzi huu mdogo wa jimbo la Chalinze ni mmoja wa mifano hai!.

Hakuna ubishi kuwa CCM imechokwa, na katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi, lakini lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya maeneo, CCM inapendwa, na kuna mengine, inapendwa mpaka basi, hivyo kwa baadhi ya maeneo ambapo CCM inapendwa mpaka basi, Chadema kusimamisha mgombea its not only its a wastage of time and money, bali kutaka kujiabisha tuu!.

Kuna baadhi ya shule za private, mwanafunzi kabla hajapokelewa, humpatia amplitude test kumpima IQ yake, wakimkuta iko low, hapokelewi ili kulinda image ya shule husika maana wanajua kumpokea mwisho wa siku ataishia kuiletea aibu tuu hiyo shule!. Naamini ndicho kilichoikumba shule ya Fedha kumpokea mwanafunzi mwenye jina kubwa, mwisho wa siku, ikawapata aibu!. Vivyo vivyo kwa Chadema, wanapaswa kuilinda public image yao ukanda wa Pwani, kwa kujiepusha na aibu, hivyo ni bora wamuunge mkono mgombea wa CUF amba kwa mambo ya pwani, wanaweza kuitingisha CCM, japo kupata ushindi ni aghlabu sana!.

Siku zote "Umoja ni Nguvu" na "utengano ni udhaifu", moja ya matatizo makubwa ya Chadema ni "umimi", hivyo hii sasa ni fursa kwa Chadema kuonyesha spirit ya ushirikiano na wengine, hata kama huwapendi, but you have to work together against the common enemy!.

Jimbo la Chalinze, kunaweza kutokea zali kama lile la Lindi kwa CCM kupigiwa kura ya chuki, hivyo CUF kuweza kushinda kama CCM itamsimamisha mgombea kutokana na jina la mzazi wake na sio uwezo wake!.

Huu ni ushauri tuu wa bure!. Sisi wengine tusio na vyama, kazi yetu ni kushauri tuu, ushauri ukubalike, ukatalike, makes no diference to me, ila baada ya matokeo ya kutosikiliza ushauri, nitakumbushia nilishauri nini, na nini kimetokea!.
Mnaweza kuangalia hapa mwaka 2010 niliishauri nini CCM, walifanya nini na nini kilitokea.
QUOTE=Pasco;1259846]
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to du anything, doi it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.


Hapa tena nikaishauri nini huyu mtu, akafanya nini, na nini kikatokea!.
Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.


Chadema lazima mjifunze kusikiliza!.

Pasco.


NB. Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote ya kijamii, ni Mtanzania ambaye hajaajiriwa na yoyote, hamtumikii yoyote, wala hawajibiki kwa yoyote, bali mwenye mapenzi makubwa na Taifa lake!.
[/QUOTE]
Siasa za Kijiografia kwa kuangalia kuimarishwa kwa chama kikabila ama kidini zinaposabikiwa na waandishi wa habari wa Tanzania
 
Pasco wewe ni mwandishi wa habari...
Naomba utumie muda wako tu kidogo utuwekee matokeo ya ubunge Chalinze (Kama CHADEMA na/au CUF waligombea) ya mwaka 2010 ili tuweze kucomment tukiwa na data... Ni ombi tu. Nimejaribu online sijayakuta

Nimefanikiwa kuyapata

Candidate

Political Party

Number of Votes

Percentage Votes
BWANAMDOGO SAIDI RAMADHANI

CCM
32,924
87.3
KINGWALA MIRAJI ALLY

CUF

2,837


7.52

NEEMA MFUNGO MASAMAKI

DP
299
0.79
WAZIRI ISSA TOWAKALI

UPDP
263
0.7
SPOILT VOTES
1,391
3.69
TOTALS
37,714
100

Sasa kutokana na hayo matokeo hapo juu...
Nimefanya vijihesabu kidogo, nikaiassign CDM kura 0 (japo sio sahihi, bu is the minimum they could get), nika-compare (nilitumia unpaired t-test), statistically hakuna significant difference kati ya CUF. UDP, UPDP na CDM (kama wangepata kura 0).

Kwa mantiki hiyo, hakuna chance kwamba endapo hatachaguliwa wa CCM, atakayechaguliwa ni wa CUF...
Asante Tuko kwa muktasari huo wa matokeo ya 2010.

Swali kwa Pasco, Ni vigezo vipi umetumia kuwaambia CDM waungane na CUF ili kuishinda CCM- hasa ukizingatia matokeo kwenye jedwali hili?
 
Last edited by a moderator:
Bwanamdogo, mbona una hoja za kitoto kiasi hicho, hivi umefanya utafiti wa kutosha kabla ya kutoa huo ushauri wako, au ndio njaa zinakusumbua, hivi unaifahamu cuf au unaisikia, hujui kuwa cuf huwa wanaipa ccm kura kwenye uchaguzi, kuiacha cuf igombee bila Chadema kusimamisha mgombea, ni sawa kumpitisha Ridhiwani bila kupingwa, hujui kuwa cuf ni serikali na mpaka sasa washirikiana na ccm kuitafuna nchi, wewe wa wapi, ngoja nikuamshe usingizini, Tanzania kuna vyama vingi vya upinzani, ila watanzania wanakitaka chama cha upinzani, na wanakielewa, kama hukijui chama hicho mpaka leo, wewe ni mbulula kama alivyo Simiyu yetu.
 
Back
Top Bottom