Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
Naona ulitingwa sana na JpiliTume ya uchaguzi imetangaza tarehe 19/05/2019 kuwa siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Arumeru mashariki lililoachwa wazi na Joshua Nassari.
Source ITV habari!
Madhara ya kupata madaraka mtoto halafu ukawa hujitambui na kudhani kuwa ilikuwa ni halali yako na waweza kufanya lolote kumbe ilikuwa ni ngekewa tuu!!!!!! unaleta kautetezi dhaiiifu!!! eti mke wangu mara familia kwanini hukufuata utaratibu!!!??? hizo ni power ulipewa na wananchi sasa wanazichukua unarudi zero!!! uheshimiwa kwisha habari yake
Kwaresma mkuu!Naona ulitingwa sana na JpiliView attachment 1059488
Kwaresma mkuu!
Sio Utoto Ni ujinga
Miaka 34 Ni Mtoto?
Colonel Ghadafi kachukua Madaraka Libya akiwa Na 26 1969 Na akaweza kutawala
Dr Salim Ahmed Salim kuwakilisha Nchi Egypt akiwa Na 21
Dr Hassy Kitine kawa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa akiwa Na 28
Huyu Kijana alikuwa hajielewi alilewa sifa Hata kuifuatilia Michango yake Bungeni hakuwa Na kitu special zaid ya Kubebwa kwa Kuwa kwake Na Umri mdogo sio vinginevyo
Ukiacha ushabiki Pamoja Na Shule zao ndogo Sugu Na Lema walikuwa Na contents zenye maana Kuliko Huyu Graduate
Its sadBil 2 zinaenda kuteketea tena hizooooo kwa sababu za ajabuajabu.....
Watupatie m 50 zetu kila kijiji .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapinzani wameiachia nafasi kwa makusudi hivyo ni zamu ya CCM.Bil 2 zinaenda kuteketea tena hizooooo kwa sababu za ajabuajabu.....
Watupatie m 50 zetu kila kijiji .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uchaguzi wa nini si wa mtangaze mshindi wao mambo mengine yaendeleeWapinzani wameiachia nafasi kwa makusudi hivyo ni zamu ya CCM.
Mgombea apite bila kupingwa!
Wapinzani wameiachia nafasi kwa makusudi hivyo ni zamu ya CCM.
Mgombea apite bila kupingwa!
Hivi kwa huu upuuzi wenu mnaouchorachora humu JF mnajihisi mna akili sawasawa?Sio Utoto Ni ujinga
Miaka 34 Ni Mtoto?
Colonel Ghadafi kachukua Madaraka Libya akiwa Na 26 1969 Na akaweza kutawala
Dr Salim Ahmed Salim kuwakilisha Nchi Egypt akiwa Na 21
Dr Hassy Kitine kawa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa akiwa Na 28
Huyu Kijana alikuwa hajielewi alilewa sifa Hata kuifuatilia Michango yake Bungeni hakuwa Na kitu special zaid ya Kubebwa kwa Kuwa kwake Na Umri mdogo sio vinginevyo
Ukiacha ushabiki Pamoja Na Shule zao ndogo Sugu Na Lema walikuwa Na contents zenye maana Kuliko Huyu Graduate
Hivi kwa huu upuuzi wenu mnaouchorachora humu JF mnajihisi mna akili sawasawa?
Uchaguzi unafanyika CCM!Sasa uchaguzi wa nini si wa mtangaze mshindi wao mambo mengine yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app