Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage ametangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki utafanyika Mei 19 mwaka huu.
Nasikia Nasari anajipanga kukata rufaa itakuwaje, lkn mbona NEC wamefanya haraka haraka sana ina maana wanafanyakazi hadi wikendi.
Nasikia Nasari anajipanga kukata rufaa itakuwaje, lkn mbona NEC wamefanya haraka haraka sana ina maana wanafanyakazi hadi wikendi.