Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mawakala wa vyama vyote walikuwa wanatiliana shaka lakini baada ya kutambulishana issue ikatatuliwa.
mkuu kutokuaminia kwenye siku kama ya leo si kitu cha kushangaza na inaruhusiwa kama mtu una mashaka nae asachiwe..mfano kwenye mapochi ya wana wake na vyombo vya kuhifadhia vyakula lazima uhakikishe hakuna namna humo..