Heri ya mwaka mpya wanajf wenzangu!!
Mimi si mtaalam wa hili lakini ktk pitapita yangu kwenye building site mbalimbali nimeona watu wanachagua tiles ambazo ni hatari kwa watakaoishi humo hasa watoto!
kuna site ilinishangaza hata mafundi wanateleza sasa watoto watakaoishi humo itakuwaje?
Si vizuri watoto kuanguka anguka lakini ni hatari zaidi wanapoangukia kwenye tiles.
Mpaka sasa nimeshuhudia watoto wawili mmoja alipata tatizo la kuzimia mara kwa mara tunashukuru amepona lkn huyu mwengine ameanguka mara nne mpaka Dr.ameshauri Wahame.
Ushauri.
tunapofikia hatua ya kuweka tiles tuwashirikishe wataalam ili tuweke tiles sahihi kwa ustawi wa watoto wetu.
Mimi si mtaalam wa hili lakini ktk pitapita yangu kwenye building site mbalimbali nimeona watu wanachagua tiles ambazo ni hatari kwa watakaoishi humo hasa watoto!
kuna site ilinishangaza hata mafundi wanateleza sasa watoto watakaoishi humo itakuwaje?
Si vizuri watoto kuanguka anguka lakini ni hatari zaidi wanapoangukia kwenye tiles.
Mpaka sasa nimeshuhudia watoto wawili mmoja alipata tatizo la kuzimia mara kwa mara tunashukuru amepona lkn huyu mwengine ameanguka mara nne mpaka Dr.ameshauri Wahame.
Ushauri.
tunapofikia hatua ya kuweka tiles tuwashirikishe wataalam ili tuweke tiles sahihi kwa ustawi wa watoto wetu.